Wakuu... yale maandamanoya CHADEMA ya amani ya kupinga ugumu wa maisha yanayoende mikoa ya kusini. leo yanafanyika hapa Songea mjini yakiongozwa na m/kiti taifa Mbowe na Katibu mkuu Dr.Slaa. yataanza saa saba kuanzia Msamara mpaka Lizabon ( km4) , ambapo kutakuwa na mkutano mkubwa wa hadhara . makamanda mbalimbali wa chadema wanategemewa kuwasili hapa wakiwa full team...wabunge wote na baadhi ya viongozi wa kitaifa CHM
hapa mjini mambo yameshaanza kupamba moto... watu wana shangwe kubwa na wameshasogea eneo la tukio. Kiufupi Songea ni ngome Kubwa ya Chadema Lakini mara zote CCm wanachakachua kuna madiwani zaidi ya 8kati ya 12. ni jimbo linaloongozwa na Nchimbi, wz michezo na utamaduni
Kuna pikipiki nyingi saana sijapata kuona, vijana wote wana bendera, cap na skaf za CDM
mambo yapo hot... stay tuned