Ntemi Kazwile
JF-Expert Member
- May 14, 2010
- 2,182
- 307
Inaonesha Mkutano utakuwa mzuri sana kwani maandalizi mazuri yamefanyika.Baadhi ya Wabunge tuko hapa Twiga Lodge tunasubiri muda ufike.Jana nako Chato mambo yalikuwa mazuri sana.
Mheshimiwa tunaomba picha tafadhali. Tuko nyuma yenu na msiyumbishwe na propaganda mfu za kina Kikwete na jeshi lake. Wana siraha lakini tutawashinda kwa sababu Mungu yuko upande wetu (sauti ya wengi ni sauti ya Mungu)