Mama .
Nyie wabunge mkiwa Bungeni mnalipwa posha kila siku. Je huko anawalipa nani Posho? na vipi hao wnaowahamasisha wanalipwa na nani? au ndio kuwadanganya watu wakati nyie mpo kazini?
CCM wapeleke hoja Bungeni ya kufuta ruzuku ya vyama vya siasa hata kama na wao wataathirika. Inaelekea CDM hawafanyi kosa na ruzuku yao; ruzuku inatumika kuibomoa CCM kisawasawa. Dawa ya kukomesha haya maandamano na mikutano ya CDM isiyosha ni kuwaondolea uwezo wa mapato. CCM wao si wana vyanzo vingine vya mapato kama viwanja vya mipira na majengo!!!!
kama kawaida yako kijana wa vapour tupu.Mama .
Nyie wabunge mkiwa Bungeni mnalipwa posha kila siku. Je huko anawalipa nani Posho? na vipi hao wnaowahamasisha wanalipwa na nani? au ndio kuwadanganya watu wakati nyie mpo kazini?
CCM wapeleke hoja Bungeni ya kufuta ruzuku ya vyama vya siasa hata kama na wao wataathirika. Inaelekea CDM hawafanyi kosa na ruzuku yao; ruzuku inatumika kuibomoa CCM kisawasawa. Dawa ya kukomesha haya maandamano na mikutano ya CDM isiyosha ni kuwaondolea uwezo wa mapato. CCM wao si wana vyanzo vingine vya mapato kama viwanja vya mipira na majengo!!!!
Achana na huyo hafifu. Yeye anashangilia serikali ya mafisadi.Wakishaleta Machafuko Makubwa ni nani atafaidika? Fikiri kabla ya kuandika mtanzania mwenzangu!!!!
Mama .
Nyie wabunge mkiwa Bungeni mnalipwa posha kila siku. Je huko anawalipa nani Posho? na vipi hao wnaowahamasisha wanalipwa na nani? au ndio kuwadanganya watu wakati nyie mpo kazini?
Unajua haya maandamano yametusaidia kuweka sawa mambo mengi sana:
1. Baada ya CCM & Co. Ltd (yaani muungano waa CCM-A, B &C, Spika, etc.) kuiadhibu CHADEMA bungeni kwa njia mbalimbali, huku wakifurahia super-majority yao, CHADEMA ime-demonstrate power yake katika supreme authority wa nchi hii: Wananchi. penda usipende, piga ua garagaza, wananchi wanaipenda CHADEMA.
2. CHADEMA wame-demonstrate kwamba shutuma wanazorushiwa kwamba wana udini na ukabila, hazina ukweli wowote. katika maandamano yao kuna watu wa dini mbalimbali: waislamu kwa wakristo na pia dini ya asili. kwa nini? kwa sababu CHADEMA hawahubiri dini majukwaani, bali wanaongea maslahi ya wananchi walio wengi. Hawaongei maslahi ya kabila fulani, bali maslahi ya taifa. mikutano yao na maandamano yana sura za kitaifa.
3. CHADEMA wamesaidia kutuonesha wapinzani wa kweli, hata ndani ya CHADEMA yenyewe, na katika vyama vya upinzani. na kwa maoni kama haya unayotoa, inaonekana wewe una matatizo na CHADEMA kwa vile tu Dr. Slaa ni padri. kama angebadili dini leo na kutwa Dr. Abdul Slaa, ungekuwa huna tatizo naye, hata kama angeendelea kufanya hayo afanyayo. ungekuwa tayari kutamka, hata kama si kweli, kwamba pesa wanazotumia zinatoka Oman. CHADEMA wametusaidia kukuelewa zaidi. cha kufanya fungua macho, achana na upofu huo. hapo hauhitajiki muujiza!