Aisee, unajua police ya DOHA hapa Qatar wanakutafuta? Kuna information fulani ninazo, bado nafuatilia.Je inawezekana kumtoa mtu aliyewekwa madarakani kwa wingi wa kura za wananchi na kuapishwa kisheria. Chadema lazima mtumie japo akili kidogo kujua kuwa hamtaweza kumng'oa JK mpaka miaka mitano yake imalizike. sasa msituletee balaa kwa maneno yenu ya uchochezi na kufarakanisha watu ili damu imwagike.
Sisi tunazidi kuomba amani itawale na wenye nia tofauti na hiyo Mola awaadhibu sana.
Kitila,Mabango ya Bukoba yametia fora. This country has changed greatly and will never be the same!
they used ballot boxes, now people are using ballot roads!
They voted by their hands, now people are voting by their feet!
who's got the power?
HII nchi inakoelekea pabaya!!
Naona hamko serious. Kwa hiyo mnafanya mchezo wa kuigiza? Nilifikiri mnawasha moto moja kwa moja hadi nchi nzima iandamane kwenda ikulu, sasa unaandamana kidogo halafu mnaacha moto unapoa kisha mnaandamana tena. Huu usanii
lakini mbona hamna anayekanusha ama kukubali kwamba dr kakamatwa huko kahama, is this tetesi true or not?
Wakuu.Habari!!!
Yale Maandamano ya CHADEMA katika Kanda ya Ziwa yanatarajiwa kuhitimishwa leo kwa maandamano makubwa na ya aina yake Bukoba Mjini. Maandamano hayo yanatarajiwa kuanza saa 7 mchana.Maandalizi yameshakamilika na msafara wa Vikosi Kazi ndio unajiandaa kutoka Kahama vilipotia nanga kuelekea Bukoba. Kazi kamili itahitimishwa kesho kwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye Wilaya za Mkoa wa Kagera. Baada ya hapo Vikosi vitarudi Dar es salam kwa maandalizi ya Kanda nyingine baada ya Bunge la Aprili. Habari ya matukio baadaye kazi ikianza.
Kutoka Kahama
Regia E Mtema
Waziri Kivuli- Kazi na Ajira.
kazi iko
Naona hamko serious. Kwa hiyo mnafanya mchezo wa kuigiza? Nilifikiri mnawasha moto moja kwa moja hadi nchi nzima iandamane kwenda ikulu, sasa unaandamana kidogo halafu mnaacha moto unapoa kisha mnaandamana tena. Huu usanii
Mbowe ndio anamalizia.
Kweli kabisa. Hata mimi niko very disappointed namna mwisho wa hii move ulivyopanga. Vipi kuhusu siku 9? Ina maana kama serikali haijatimiza matakwa ya wananchi katika hizo siku 9,CHADEMA watafanya nini? Sasa kwa hii taarifa kua baada ya Bukoba wanarudi Dar,napata wasiwasi hilo takwa la serikali kupewa siku 9 litaishia hewani tu.
Amandlah.
hata redio station kwa kuanzia sio mbaya, naamini watanzania wanahitaji taarifa za kweli kuhusu taifa lao.Natoa wazo Chadema waanzishe tv yao bila shaka tungewapata live
unajua unachokizungumza au umeandika tu?
Mama sisi tunaomba tu AMANI itawale na kusiwe na maneno ya uchochezi na ya kuleta chuki na mifarakano miongoni mwa jamii kiasi cha kuleta vita katika jamii.
CHADEMA KUMBUKENI MDOMO ULIKIPONZA KICHWA
wewe ndugu yangu nahisi ni zero brain,Nakijua sana mama, you are misusing our tax money na kupoteza muda wa wananchi kwenda maandamano bila kutimiza mabadiliko yoyote. Wanajiunga na maandamano wakiamini wanajenga vuguvugu la kuing'oa serikali madarakani kumbe nyie mnatafuta umaarufu tu.
People are tired, they want change, they want action. Mmetumia pesa zetu shilingi ngapi kwenye hayo maandamano? Wananchi wamepata hasara kiasi gani kuhudhuria maandamano yenu? What is the economic impact ya gharama hiyo ya maandamano? Hizo pesa zingeweza kutumika kupunguza hayo matatizo mnayokwenda kuhutubia wananchi.
Point yangu mama ni hivi, ndiyo fanyeni maandamano lakini tuone vile hayo maandamano yanabadili maisha yetu. Na muonekane kweli mnatuongoza kuelekea kwenye hayo mabadiliko. Kufanya maandamano kwa awamu ni kupoteza muda na pesa zetu. Jenga nguvu na kasi mfululizo non stop hadi ikulu