LordJustice1
JF-Expert Member
- Jan 19, 2011
- 2,263
- 533
Thanks
Mnyika kaongea vizuri hope wananchi wafunguka macho
Sure, amesema kuwa CCM ndio wanaohatarisha amani ya nchi hii!
Thanks
Mnyika kaongea vizuri hope wananchi wafunguka macho
I love watching pictures,more please
Taratibu CDM inaanza kuwavutia akina dada nimezipenza hizo Tshet zao.Nimefurahi kuona akina dada nao wamehamasika kusupport wakombozi wa kweli, hakuna kulala, inapendeza kweli kweli.
Chadema ndani ya BUKOBA-video
God bless LemaGod bless cdm..god bless tanzania