Gurudumu
JF-Expert Member
- Feb 5, 2008
- 2,349
- 261
Wakuu.Habari!!!
Kazi kamili itahitimishwa kesho kwa kufanya mikutano ya hadhara kwenye Wilaya za Mkoa wa Kagera. Baada ya hapo Vikosi vitarudi Dar es salam kwa maandalizi ya Kanda nyingine baada ya Bunge la Aprili..
Naona hamko serious. Kwa hiyo mnafanya mchezo wa kuigiza? Nilifikiri mnawasha moto moja kwa moja hadi nchi nzima iandamane kwenda ikulu, sasa unaandamana kidogo halafu mnaacha moto unapoa kisha mnaandamana tena. Huu usanii