Jembe Ulaya
JF-Expert Member
- Oct 27, 2008
- 456
- 104
Mama sisi tunaomba tu AMANI itawale na kusiwe na maneno ya uchochezi na ya kuleta chuki na mifarakano miongoni mwa jamii kiasi cha kuleta vita katika jamii.
CHADEMA KUMBUKENI MDOMO ULIKIPONZA KICHWA
Ufisadi, wizi, uroho na kukosa uzalendo ndio kutasababisha vita katika jamii na sio maneno ya kukemea udhalimu.