SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 43,707
- 60,767
kwa hiyoanataka nini huyo Jusa
Anatafuta bwana, si yule mumewe RA amesha sepa !
kwa hiyoanataka nini huyo Jusa
inaonekana hujui kujenga hoja?
Hizo ni kelele za "MFAMAJI, HAWACHI KUTAPATAPA".Hivi mbona matamko kuhusu Uzini hayamuishi Jussa, kuna nini cha ajabu?
Jussa sasa amefilisika kisiasa amebaki tu na siasa za maji taka na za kidini. Kuwa CUF mlitumia millioni 7 na CDM walitumia millioni 60, tatizo ni nini? Kule Igunga mlifadhiliwa na mme wenu CCM mka-kodi Helkopita, vipi safari hii hajawapa chochote?
Oooh...bora umewaambia wananchi waelewe!Chadema hawajatoa ripoti rasmi ya fedha na tathmini ya Uchaguzi wa Uzini. Hayo mengine ya Jusa ni uwongo na propaganda ya Kisiasa. Lakini yeye Kama Kiongozi wa Kisiasa simshangai sana.
Jussa:Chadema wametumia milioni 60 uchaguzi mdogo tu uzini.
Na Ismail Jussa
Tumetumia milioni 7 tu wakati Chadema wamenambia wametumia milioni 60 (haidhuru mimi naamini wametumia zaidi kwa mambo tuliyoyaona kule). Sasa katika hali hiyo, kuna lipi jipya? Nani aliyepoteza? CUF inajua inachokifanya.
source: mtandao wa Mzalendo
jussa:chadema wametumia milioni 60 uchaguzi mdogo tu uzini.
Na ismail jussa
tumetumia milioni 7 tu wakati chadema wamenambia wametumia milioni 60 (haidhuru mimi naamini wametumia zaidi kwa mambo tuliyoyaona kule). Sasa katika hali hiyo, kuna lipi jipya? Nani aliyepoteza? Cuf inajua inachokifanya.
Source: Mtandao wa mzalendo
Jusa ni ****