CHADEMA na Wanaharakati kuonesha chuki dhidi ya Diamond ni ukosefu wa ajenda

Wote wenye mtazamo kama wako wakibaguzi kwa msingi wowote ule uwe wakiitikadi amavinginevyo yafaa kwa umoja wetu tumpinge kama alivyopingwa kaburu,kwa ukatili dhidi ya utu na ubaguzi.
Sasa kati yetu ni nani mwanzilishi wa ubaguzi?
 
Hebu tuowekee hapa screenshot ya official page ya Chadema ambayo inaendesha hiyo campaign, nimejaribu kufatilia official page za chadema zote sijaona hilo bandiko wala sijaona kama wameretweet, ambacho nimeona ni baadhi ya wanaharakati ambao wengine ni wafuasi wa CHADEMA wakivalia bango hilo andiko lakini hii haimaanishi kwamba ndio msimamo wa chama, na naamini chama kinaheshimu demokrasia, hakiwezi kuwafumba wafuasi wake midomo kwa sababu kila mtu ana uhuru wa kuzungumza na kuchagua upande wake wa burudani kwa utashi wale binafsi, hata baadhi ya ccm wamesign hilo bandiko na baadhi ya chawa wa daimond sembuse wafuasi wa chadema, kama unabisha muulize babalevo kwa nini amesign ile petition
Huu utetezi wako ni wa kawaida sana kwenye hicho chama. Mnakuja kujuta baadae. Hicho chama kila mtu ni msemaji. Viongozi waandamizi wangewaachia vijana mambo kama haya. CCM huwezi kuta viongozi kama Mangula na wakubwa wengine wanajihusisha na mambo madogo kama haya ya Diamond.
 
CHADEMA NA WANAHARAKATI KUONYESHA CHUKI DHIDI YA DIAMOND NI UKOSEFU WA AGENDA

Natumaini mko wazima.

Kwa wiki hii mitandaoni kumetokea vituko vya wanaharakati pamoja na baadhi ya viongozi wa CHADEMA kuongoza kampeni ya kuhakikisha mwanamuziki komredi Diamond Platnumz hashindi kwenye tuzo za BET huko Marekani. Wakati nikishangaa nikaanza kupokea simu za members wengi wa JF pamoja na watanzania wengine wakinisihi nitoe neno ili kutuliza huu upepo. Kabla ya kuanza kuandika nikaona nipitie sababu kuu zinazotolewa na wanaopinga Komredi Diamond kupata tuzo. Nia ni kutaka kujua kama hoja zao zina mashiko.

Sababu kubwa kuliko zote inayotajwa ni kuwa Diamond hajawahi kushiriki kuwasemea watanzania pale haki zao zinapominywa na kwamba amekuwa akiwa upande wa "wakandamiza haki". Hii hoja ni ya kupuuzwa na mtu yeyote mwenye akili. Sio watu wote tumezaliwa ili kuwa wanaharakati na kutoa matamko. Hata biblia inasema Nabii Musa aliyewatoa waisrael utumwani alikuwa mtu mpole kuwahi kutokea na hakuwa mwongeaji. Alikuwa na msemaji wake aitwae Haruni. Kwahiyo hata Diamond imeonekana wazi sio muongeaji sana zaidi ya kufanya mambo yake ya muziki. Labda hoja inaweza kujengwa hoja mbona Bob Marley, Lucky Dube, Tupac na baadhi ya wanamuziki walikuwa wakitunga nyimbo za kudai haki? Jibu ni kwamba wanamuziki pia wamegawanyika... wapo wanaotoa nyimbo za kiuanaharakati, mapenzi, biashara, na mambo mengine mbalimbali kwenye jamii. So, huenda Diamond sio wito wake kutoa nyimbo za aina hiyo.

Pia Diamond kwenye siasa na harakati ni mdogo sana.. mambo ya kwenye siasa sio ya kwenye muziki. Sasa kuna haja gani kujihusisha na mambo yaliyo juu ya uwezo wake? Nchi hii kuna vijana wanasiasa kama kina Abdul Nondo.. hao wasipoongelea siasa wanapaswa kulaumiwa. Na sio mambo ya siasa kwenda kulazimisha kina Diamond, Frank Knows, na wengine wasio wanasiasa kuyaongelea. Nje ya muziki pia kijana ana familia inayomtegemea kwahiyo sio vema kukwaruzana na mamlaka wakati kwenye mafanikio yake hakuna hata shilingi tano aliyochangiwa na CHADEMA. Hata Diamond asipoongea matendo yake mema kwa jamii yatamtetea. Ni msanii pekee aliyetoa mchango wa madawati mia sita (600) kwa ajili ya shule za Dsm wakati wa uongozi wa Field Marshal Makonda. Huko kwao ndo katoa michango mingi zaidi ya kijamii. Isitoshe kuwapigania CHADEMA ni kucheza kamari mbaya sana kwasababu ya viongozi wao wengi kuwa wasaliti (kuunga juhudi).

Sababu nyingine inayotolewa hasa na wasanii wenzake ni kwamba huwa hasapoti kazi za wenzake. Hii ni sababu ya kipuuzi sana kuwahi kutamkwa. Diamond Platinumz ni mfano halisi wa msanii anayesapoti wenzake. Kampuni yake ya Wasafi imekuza nyota wengi wanaotamba hapa nchini. Hata nje ya wasafi kuna wasanii wengi ambao tunaweza sema ni members wa wasafi kasoro usajili rasmi. Halafu wasanii wengi kabla ya kusaidiwa wanatakiwa wajisaidie wenyewe kwanza. Wasanii wengi ni wavivu na hawapendi kazi. Husubiri kubebwa na media pamoja na watu binafsi. Ndo chimbuko kuu la watu waitwao Chawa. Waige mfano kwa Diamond kwa kuchapa kazi.

Wito wangu kwa wote wanaochukia mafanikio ya huyu kijana ni kuacha mara moja hiyo tabia. Pia wajikite zaidi kwenye shughuli za uzalishaji mali ili kuupata utajiri. Kupata au kukosa hiyo tuzo kwa komredi Diamond ni matokeo tu. CHADEMA kijikite kuongeza wanachama wake na kudai katiba bora hapa nchini. Kumzungumzia Diamond kwa chama kinachotajwa kama mbadala wa CCM ni kupoteza muda na kuua matumaini ya wapenda mabadiliko.
Hata ccm na michepuko kugombea misiba sio sawa, unajua kitendo walichofanya ccm kuvamia msiba hakifai
 
CHADEMA NA WANAHARAKATI KUONYESHA CHUKI DHIDI YA DIAMOND NI UKOSEFU WA AGENDA

Natumaini mko wazima.

Kwa wiki hii mitandaoni kumetokea vituko vya wanaharakati pamoja na baadhi ya viongozi wa CHADEMA kuongoza kampeni ya kuhakikisha mwanamuziki komredi Diamond Platnumz hashindi kwenye tuzo za BET huko Marekani. Wakati nikishangaa nikaanza kupokea simu za members wengi wa JF pamoja na watanzania wengine wakinisihi nitoe neno ili kutuliza huu upepo. Kabla ya kuanza kuandika nikaona nipitie sababu kuu zinazotolewa na wanaopinga Komredi Diamond kupata tuzo. Nia ni kutaka kujua kama hoja zao zina mashiko.

Sababu kubwa kuliko zote inayotajwa ni kuwa Diamond hajawahi kushiriki kuwasemea watanzania pale haki zao zinapominywa na kwamba amekuwa akiwa upande wa "wakandamiza haki". Hii hoja ni ya kupuuzwa na mtu yeyote mwenye akili. Sio watu wote tumezaliwa ili kuwa wanaharakati na kutoa matamko. Hata biblia inasema Nabii Musa aliyewatoa waisrael utumwani alikuwa mtu mpole kuwahi kutokea na hakuwa mwongeaji. Alikuwa na msemaji wake aitwae Haruni. Kwahiyo hata Diamond imeonekana wazi sio muongeaji sana zaidi ya kufanya mambo yake ya muziki. Labda hoja inaweza kujengwa hoja mbona Bob Marley, Lucky Dube, Tupac na baadhi ya wanamuziki walikuwa wakitunga nyimbo za kudai haki? Jibu ni kwamba wanamuziki pia wamegawanyika... wapo wanaotoa nyimbo za kiuanaharakati, mapenzi, biashara, na mambo mengine mbalimbali kwenye jamii. So, huenda Diamond sio wito wake kutoa nyimbo za aina hiyo.

Pia Diamond kwenye siasa na harakati ni mdogo sana.. mambo ya kwenye siasa sio ya kwenye muziki. Sasa kuna haja gani kujihusisha na mambo yaliyo juu ya uwezo wake? Nchi hii kuna vijana wanasiasa kama kina Abdul Nondo.. hao wasipoongelea siasa wanapaswa kulaumiwa. Na sio mambo ya siasa kwenda kulazimisha kina Diamond, Frank Knows, na wengine wasio wanasiasa kuyaongelea. Nje ya muziki pia kijana ana familia inayomtegemea kwahiyo sio vema kukwaruzana na mamlaka wakati kwenye mafanikio yake hakuna hata shilingi tano aliyochangiwa na CHADEMA. Hata Diamond asipoongea matendo yake mema kwa jamii yatamtetea. Ni msanii pekee aliyetoa mchango wa madawati mia sita (600) kwa ajili ya shule za Dsm wakati wa uongozi wa Field Marshal Makonda. Huko kwao ndo katoa michango mingi zaidi ya kijamii. Isitoshe kuwapigania CHADEMA ni kucheza kamari mbaya sana kwasababu ya viongozi wao wengi kuwa wasaliti (kuunga juhudi).

Sababu nyingine inayotolewa hasa na wasanii wenzake ni kwamba huwa hasapoti kazi za wenzake. Hii ni sababu ya kipuuzi sana kuwahi kutamkwa. Diamond Platinumz ni mfano halisi wa msanii anayesapoti wenzake. Kampuni yake ya Wasafi imekuza nyota wengi wanaotamba hapa nchini. Hata nje ya wasafi kuna wasanii wengi ambao tunaweza sema ni members wa wasafi kasoro usajili rasmi. Halafu wasanii wengi kabla ya kusaidiwa wanatakiwa wajisaidie wenyewe kwanza. Wasanii wengi ni wavivu na hawapendi kazi. Husubiri kubebwa na media pamoja na watu binafsi. Ndo chimbuko kuu la watu waitwao Chawa. Waige mfano kwa Diamond kwa kuchapa kazi.

Wito wangu kwa wote wanaochukia mafanikio ya huyu kijana ni kuacha mara moja hiyo tabia. Pia wajikite zaidi kwenye shughuli za uzalishaji mali ili kuupata utajiri. Kupata au kukosa hiyo tuzo kwa komredi Diamond ni matokeo tu. CHADEMA kijikite kuongeza wanachama wake na kudai katiba bora hapa nchini. Kumzungumzia Diamond kwa chama kinachotajwa kama mbadala wa CCM ni kupoteza muda na kuua matumaini ya wapenda mabadiliko.
NIMESOMA HIZI TAKATAKA MARA MBILI TATU, NIKAONA NIKUJIBU:

  • MAWAZO NA MAONI YA MWANACHAMA WA CHADEMA SIO AZIMIO/MSIMAMO WA CHAMA KIZIMA!!!??
  • UNAFIKIA HATUA YA KUNUU BIBLIA (BILA KUTAJA KIFUNGU) ILI KUWAAMINISHA WATU?? NA BADO UNAJIONA WEWE NDIO UNAJITAMBUA!!!
  • ETI DIAMOND IMEONEKANA WAZI SIO MUONGEAJI SANA ZAIDI YA KUFANYA MAMBO YAKE YA MUZIKI!!! KWENYE ENEO HILI HAKUNA MWANAMUZIKI WA HOVYO KAMA HUYU, WATU WANAO FANYA MAMBO YAO HUWEZI JUA MAMBO YAO YA NDANI. LEO UNAJUA BABA ANAT.IA NANI? MAMA ANATI.WA NA NANI?!!? DADA AN.ATIWA NA NANI? YEYE AN.ATIA NANI?!
  • MAMBO YA KWENYE SIASA SIO YA KWENYE MUZIKI, HAPA UKO SAHIHI. ACHA WATU WA SIASA WAFANYE SIASA , WA MUZIKI WAFANYE MUZIKI, WA DINI WAFANYE DINI. SASA HUYU ANAPATA UPINZANI SASA KWA KUFANYA SIASA WAKATI SIO ENEO LAKE. JE HILI ULIJUI?
  • "HUKO KWAO NDO KATOA MICHANGO MINGI ZAIDI YA KIJAMII" UNAWEZAJE KUTOA MISAADA MINGI KWA JAMII HUKU UKISHINDWA KUMSAIDIA ALIYEKULEA (BABA)?? JE HILI ULIJUI?
  • "WANAOCHUKIA MAFANIKIO YA HUYU KIJANA NI KUACHA MARA MOJA HIYO TABIA". KAA UKIJUA KUNA WENGI VIJANA WANA MAFANIKIO MAKUBWA KULIKO HATA HUYO KIJANA, SEMA WAKO KIMYA KWANI KANUNI MOJA WAPO YA KUFANIKIWA NI KUTOWEKA WAZI MIPANGO YAKO. KIKUBWA YEYE AENDELEE KUCHAPA KAZI BILA MSAADA WA KURA TOKA KWA WATANZANIA.
 
NIMESOMA HIZI TAKATAKA MARA MBILI TATU, NIKAONA NIKUJIBU:

  • MAWAZO NA MAONI YA MWANACHAMA WA CHADEMA SIO AZIMIO/MSIMAMO WA CHAMA KIZIMA!!!??
  • UNAFIKIA HATUA YA KUNUU BIBLIA (BILA KUTAJA KIFUNGU) ILI KUWAAMINISHA WATU?? NA BADO UNAJIONA WEWE NDIO UNAJITAMBUA!!!
  • ETI DIAMOND IMEONEKANA WAZI SIO MUONGEAJI SANA ZAIDI YA KUFANYA MAMBO YAKE YA MUZIKI!!! KWENYE ENEO HILI HAKUNA MWANAMUZIKI WA HOVYO KAMA HUYU, WATU WANAO FANYA MAMBO YAO HUWEZI JUA MAMBO YAO YA NDANI. LEO UNAJUA BABA ANAT.IA NANI? MAMA ANATI.WA NA NANI?!!? DADA AN.ATIWA NA NANI? YEYE AN.ATIA NANI?!
  • MAMBO YA KWENYE SIASA SIO YA KWENYE MUZIKI, HAPA UKO SAHIHI. ACHA WATU WA SIASA WAFANYE SIASA , WA MUZIKI WAFANYE MUZIKI, WA DINI WAFANYE DINI. SASA HUYU ANAPATA UPINZANI SASA KWA KUFANYA SIASA WAKATI SIO ENEO LAKE. JE HILI ULIJUI?
  • "HUKO KWAO NDO KATOA MICHANGO MINGI ZAIDI YA KIJAMII" UNAWEZAJE KUTOA MISAADA MINGI KWA JAMII HUKU UKISHINDWA KUMSAIDIA ALIYEKULEA (BABA)?? JE HILI ULIJUI?
  • "WANAOCHUKIA MAFANIKIO YA HUYU KIJANA NI KUACHA MARA MOJA HIYO TABIA". KAA UKIJUA KUNA WENGI VIJANA WANA MAFANIKIO MAKUBWA KULIKO HATA HUYO KIJANA, SEMA WAKO KIMYA KWANI KANUNI MOJA WAPO YA KUFANIKIWA NI KUTOWEKA WAZI MIPANGO YAKO. KIKUBWA YEYE AENDELEE KUCHAPA KAZI BILA MSAADA WA KURA TOKA KWA WATANZANIA.
Nimevutiwa na jinsi ulivyopanga maandishi yako. Yanavutia kusoma. Ila nashindwa kuelewa unawezaje kupangilia maandishi hivi halafu point ni ushuzi mtupu? Siku nyingine usicomment bali bonyeza tu kitufe cha Like au dislike ili kuficha aibu kama hii
 
Nimevutiwa na jinsi ulivyopanga maandishi yako. Yanavutia kusoma. Ila nashindwa kuelewa unawezaje kupangilia maandishi hivi halafu point ni ushuzi mtupu? Siku nyingine usicomment bali bonyeza tu kitufe cha Like au dislike ili kuficha aibu kama hii
🤣🤣🤣
 
CHADEMA NA WANAHARAKATI KUONYESHA CHUKI DHIDI YA DIAMOND NI UKOSEFU WA AGENDA

Natumaini mko wazima.

Kwa wiki hii mitandaoni kumetokea vituko vya wanaharakati pamoja na baadhi ya viongozi wa CHADEMA kuongoza kampeni ya kuhakikisha mwanamuziki komredi Diamond Platnumz hashindi kwenye tuzo za BET huko Marekani. Wakati nikishangaa nikaanza kupokea simu za members wengi wa JF pamoja na watanzania wengine wakinisihi nitoe neno ili kutuliza huu upepo. Kabla ya kuanza kuandika nikaona nipitie sababu kuu zinazotolewa na wanaopinga Komredi Diamond kupata tuzo. Nia ni kutaka kujua kama hoja zao zina mashiko.

Sababu kubwa kuliko zote inayotajwa ni kuwa Diamond hajawahi kushiriki kuwasemea watanzania pale haki zao zinapominywa na kwamba amekuwa akiwa upande wa "wakandamiza haki". Hii hoja ni ya kupuuzwa na mtu yeyote mwenye akili. Sio watu wote tumezaliwa ili kuwa wanaharakati na kutoa matamko. Hata biblia inasema Nabii Musa aliyewatoa waisrael utumwani alikuwa mtu mpole kuwahi kutokea na hakuwa mwongeaji. Alikuwa na msemaji wake aitwae Haruni. Kwahiyo hata Diamond imeonekana wazi sio muongeaji sana zaidi ya kufanya mambo yake ya muziki. Labda hoja inaweza kujengwa hoja mbona Bob Marley, Lucky Dube, Tupac na baadhi ya wanamuziki walikuwa wakitunga nyimbo za kudai haki? Jibu ni kwamba wanamuziki pia wamegawanyika... wapo wanaotoa nyimbo za kiuanaharakati, mapenzi, biashara, na mambo mengine mbalimbali kwenye jamii. So, huenda Diamond sio wito wake kutoa nyimbo za aina hiyo.

Pia Diamond kwenye siasa na harakati ni mdogo sana.. mambo ya kwenye siasa sio ya kwenye muziki. Sasa kuna haja gani kujihusisha na mambo yaliyo juu ya uwezo wake? Nchi hii kuna vijana wanasiasa kama kina Abdul Nondo.. hao wasipoongelea siasa wanapaswa kulaumiwa. Na sio mambo ya siasa kwenda kulazimisha kina Diamond, Frank Knows, na wengine wasio wanasiasa kuyaongelea. Nje ya muziki pia kijana ana familia inayomtegemea kwahiyo sio vema kukwaruzana na mamlaka wakati kwenye mafanikio yake hakuna hata shilingi tano aliyochangiwa na CHADEMA. Hata Diamond asipoongea matendo yake mema kwa jamii yatamtetea. Ni msanii pekee aliyetoa mchango wa madawati mia sita (600) kwa ajili ya shule za Dsm wakati wa uongozi wa Field Marshal Makonda. Huko kwao ndo katoa michango mingi zaidi ya kijamii. Isitoshe kuwapigania CHADEMA ni kucheza kamari mbaya sana kwasababu ya viongozi wao wengi kuwa wasaliti (kuunga juhudi).

Sababu nyingine inayotolewa hasa na wasanii wenzake ni kwamba huwa hasapoti kazi za wenzake. Hii ni sababu ya kipuuzi sana kuwahi kutamkwa. Diamond Platinumz ni mfano halisi wa msanii anayesapoti wenzake. Kampuni yake ya Wasafi imekuza nyota wengi wanaotamba hapa nchini. Hata nje ya wasafi kuna wasanii wengi ambao tunaweza sema ni members wa wasafi kasoro usajili rasmi. Halafu wasanii wengi kabla ya kusaidiwa wanatakiwa wajisaidie wenyewe kwanza. Wasanii wengi ni wavivu na hawapendi kazi. Husubiri kubebwa na media pamoja na watu binafsi. Ndo chimbuko kuu la watu waitwao Chawa. Waige mfano kwa Diamond kwa kuchapa kazi.

Wito wangu kwa wote wanaochukia mafanikio ya huyu kijana ni kuacha mara moja hiyo tabia. Pia wajikite zaidi kwenye shughuli za uzalishaji mali ili kuupata utajiri. Kupata au kukosa hiyo tuzo kwa komredi Diamond ni matokeo tu. CHADEMA kijikite kuongeza wanachama wake na kudai katiba bora hapa nchini. Kumzungumzia Diamond kwa chama kinachotajwa kama mbadala wa CCM ni kupoteza muda na kuua matumaini ya wapenda mabadiliko.
Chadema imehusikaje ?
 
Hivi wanapotajwa Lema, Msigwa, Lissu huwa unapata picha gani kwa haraka kichwani? Jibu ni CHADEMA. Sasa chama kikemee makada waandamizi kuharibu taswira ya chama. Mbona Mbowe ana busara, nyie wafuasi mnakwama wapi?
Kama Lema alikuwa jambazi wa Magari, unategemea atakuwa na busara kama Mbowe ?
Lissu anajulikana ni mtu wa kukurupuka kama Magufuli. Nadhani hata Mbowe atakuwa alishukuru watz walivyokataa kuunga mkono maandamano ya lissu
 
Kama Lema alikuwa jambazi wa Magari, unategemea atakuwa na busara kama Mbowe ?
Lissu anajulikana ni mtu wa kukurupuka kama Magufuli. Nadhani hata Mbowe atakuwa alishukuru watz walivyokataa kuunga mkono maandamano ya lissu
Hata Msigwa nae kajiingiza kwenye hili suala. Ni aibu mno.
 
Ukisikia chama Cha matahila tupu,ndo hawa Sasa chadema.walitaka daimondi afanyaje !?,au walitaka naye awe mwanasiasa aachane na kazi yake ya muziki!? Yule ni musician ,na yuko ki biashara na yupo chini ya Management,ili afanye kazi na mtu/kampuni fulani anaangalia Kama mkataba unaompa ausaini je unamlipa kulingana na soko alilonalo kwenye kiwanda Cha muziki.sasa chadema ni wapumbavu na matahila tupu ,walitaka akubaliane na nao,kusaini mkataba nao azunguke nao kwenye kampeni,na awatungue nyimbo za kampeni,hata Kama Wana mpa mkataba wa hasara!?,ambao hauna faida kwake!?,mbowe ni mfanya biashara je yeye hukubali kufanya biashara za loss!? Ni matahila Sana hawa!,muziki ni biashara Kama biashara zingine!
Yeye alisahau kuwa anawapenzi wa vyama mbalimbali,Sasa kawaudhi wapenzi wake ambao kisiasa wapo vyama upinzani na ndo hao wanamkalia kooni
 
Back
Top Bottom