Nimeisikiliza na kuiangalia nyimbo ya Mapozi nimegundua haina mvuto hata kidogo. Inabebwa na ukubwa wa Diamond, yaani hata leo Diamond aimbe maua mazuri yapendeza ukiyatazama yana rangi nzuri...... nina uhakika itaongoza ku trend kuliko nyimbo za wasanii wengine.
KIMSINGI NYIMBO YA Dah iliyoimbwa na Nandy ft Kiba ndio nyimbo bora sana mwaka huu kuliko ya msinii mwingine
KIMSINGI NYIMBO YA Dah iliyoimbwa na Nandy ft Kiba ndio nyimbo bora sana mwaka huu kuliko ya msinii mwingine