CHADEMA na Wanaharakati kuonesha chuki dhidi ya Diamond ni ukosefu wa ajenda

MamaSamia2025

JF-Expert Member
Mar 29, 2012
10,213
22,276
CHADEMA NA WANAHARAKATI KUONYESHA CHUKI DHIDI YA DIAMOND NI UKOSEFU WA AGENDA

Natumaini mko wazima.

Kwa wiki hii mitandaoni kumetokea vituko vya wanaharakati pamoja na baadhi ya viongozi wa CHADEMA kuongoza kampeni ya kuhakikisha mwanamuziki komredi Diamond Platnumz hashindi kwenye tuzo za BET huko Marekani. Wakati nikishangaa nikaanza kupokea simu za members wengi wa JF pamoja na watanzania wengine wakinisihi nitoe neno ili kutuliza huu upepo. Kabla ya kuanza kuandika nikaona nipitie sababu kuu zinazotolewa na wanaopinga Komredi Diamond kupata tuzo. Nia ni kutaka kujua kama hoja zao zina mashiko.

Sababu kubwa kuliko zote inayotajwa ni kuwa Diamond hajawahi kushiriki kuwasemea watanzania pale haki zao zinapominywa na kwamba amekuwa akiwa upande wa "wakandamiza haki". Hii hoja ni ya kupuuzwa na mtu yeyote mwenye akili. Sio watu wote tumezaliwa ili kuwa wanaharakati na kutoa matamko. Hata biblia inasema Nabii Musa aliyewatoa waisrael utumwani alikuwa mtu mpole kuwahi kutokea na hakuwa mwongeaji. Alikuwa na msemaji wake aitwae Haruni. Kwahiyo hata Diamond imeonekana wazi sio muongeaji sana zaidi ya kufanya mambo yake ya muziki. Labda hoja inaweza kujengwa hoja mbona Bob Marley, Lucky Dube, Tupac na baadhi ya wanamuziki walikuwa wakitunga nyimbo za kudai haki? Jibu ni kwamba wanamuziki pia wamegawanyika... wapo wanaotoa nyimbo za kiuanaharakati, mapenzi, biashara, na mambo mengine mbalimbali kwenye jamii. So, huenda Diamond sio wito wake kutoa nyimbo za aina hiyo.

Pia Diamond kwenye siasa na harakati ni mdogo sana.. mambo ya kwenye siasa sio ya kwenye muziki. Sasa kuna haja gani kujihusisha na mambo yaliyo juu ya uwezo wake? Nchi hii kuna vijana wanasiasa kama kina Abdul Nondo.. hao wasipoongelea siasa wanapaswa kulaumiwa. Na sio mambo ya siasa kwenda kulazimisha kina Diamond, Frank Knows, na wengine wasio wanasiasa kuyaongelea. Nje ya muziki pia kijana ana familia inayomtegemea kwahiyo sio vema kukwaruzana na mamlaka wakati kwenye mafanikio yake hakuna hata shilingi tano aliyochangiwa na CHADEMA. Hata Diamond asipoongea matendo yake mema kwa jamii yatamtetea. Ni msanii pekee aliyetoa mchango wa madawati mia sita (600) kwa ajili ya shule za Dsm wakati wa uongozi wa Field Marshal Makonda. Huko kwao ndo katoa michango mingi zaidi ya kijamii. Isitoshe kuwapigania CHADEMA ni kucheza kamari mbaya sana kwasababu ya viongozi wao wengi kuwa wasaliti (kuunga juhudi).

Sababu nyingine inayotolewa hasa na wasanii wenzake ni kwamba huwa hasapoti kazi za wenzake. Hii ni sababu ya kipuuzi sana kuwahi kutamkwa. Diamond Platinumz ni mfano halisi wa msanii anayesapoti wenzake. Kampuni yake ya Wasafi imekuza nyota wengi wanaotamba hapa nchini. Hata nje ya wasafi kuna wasanii wengi ambao tunaweza sema ni members wa wasafi kasoro usajili rasmi. Halafu wasanii wengi kabla ya kusaidiwa wanatakiwa wajisaidie wenyewe kwanza. Wasanii wengi ni wavivu na hawapendi kazi. Husubiri kubebwa na media pamoja na watu binafsi. Ndo chimbuko kuu la watu waitwao Chawa. Waige mfano kwa Diamond kwa kuchapa kazi.

Wito wangu kwa wote wanaochukia mafanikio ya huyu kijana ni kuacha mara moja hiyo tabia. Pia wajikite zaidi kwenye shughuli za uzalishaji mali ili kuupata utajiri. Kupata au kukosa hiyo tuzo kwa komredi Diamond ni matokeo tu. CHADEMA kijikite kuongeza wanachama wake na kudai katiba bora hapa nchini. Kumzungumzia Diamond kwa chama kinachotajwa kama mbadala wa CCM ni kupoteza muda na kuua matumaini ya wapenda mabadiliko.
 
CHADEMA NA WANAHARAKATI KUONYESHA CHUKI DHIDI YA DIAMOND NI UKOSEFU WA AGENDA

Natumaini mko wazima.

Kwa wiki hii mitandaoni kumetokea vituko vya wanaharakati pamoja na baadhi ya viongozi wa CHADEMA kuongoza kampeni ya kuhakikisha mwanamuziki komredi Diamond Platnumz hashindi kwenye tuzo za BET huko Marekani. Wakati nikishangaa nikaanza kupokea simu za members wengi wa JF pamoja na watanzania wengine wakinisihi nitoe neno ili kutuliza huu upepo. Kabla ya kuanza kuandika nikaona nipitie sababu kuu zinazotolewa na wanaopinga Komredi Diamond kupata tuzo. Nia ni kutaka kujua kama hoja zao zina mashiko.

Sababu kubwa kuliko zote inayotajwa ni kuwa Diamond hajawahi kushiriki kuwasemea watanzania pale haki zao zinapominywa na kwamba amekuwa akiwa upande wa "wakandamiza haki". Hii hoja ni ya kupuuzwa na mtu yeyote mwenye akili. Sio watu wote tumezaliwa ili kuwa wanaharakati na kutoa matamko. Hata biblia inasema Nabii Musa aliyewatoa waisrael utumwani alikuwa mtu mpole kuwahi kutokea na hakuwa mwongeaji. Alikuwa na msemaji wake aitwae Haruni. Kwahiyo hata Diamond imeonekana wazi sio muongeaji sana zaidi ya kufanya mambo yake ya muziki. Labda hoja inaweza kujengwa hoja mbona Bob Marley, Lucky Dube, Tupac na baadhi ya wanamuziki walikuwa wakitunga nyimbo za kudai haki? Jibu ni kwamba wanamuziki pia wamegawanyika... wapo wanaotoa nyimbo za kiuanaharakati, mapenzi, biashara, na mambo mengine mbalimbali kwenye jamii. So, huenda Diamond sio wito wake kutoa nyimbo za aina hiyo.

Pia Diamond kwenye siasa na harakati ni mdogo sana.. mambo ya kwenye siasa sio ya kwenye muziki. Sasa kuna haja gani kujihusisha na mambo yaliyo juu ya uwezo wake? Nchi hii kuna vijana wanasiasa kama kina Abdul Nondo.. hao wasipoongelea siasa wanapaswa kulaumiwa. Na sio mambo ya siasa kwenda kulazimisha kina Diamond, Frank Knows, na wengine wasio wanasiasa kuyaongelea. Nje ya muziki pia kijana ana familia inayomtegemea kwahiyo sio vema kukwaruzana na mamlaka wakati kwenye mafanikio yake hakuna hata shilingi tano aliyochangiwa na CHADEMA. Hata Diamond asipoongea matendo yake mema kwa jamii yatamtetea. Ni msanii pekee aliyetoa mchango wa madawati mia sita (600) kwa ajili ya shule za Dsm wakati wa uongozi wa Field Marshal Makonda. Huko kwao ndo katoa michango mingi zaidi ya kijamii. Isitoshe kuwapigania CHADEMA ni kucheza kamari mbaya sana kwasababu ya viongozi wao wengi kuwa wasaliti (kuunga juhudi).

Sababu nyingine inayotolewa hasa na wasanii wenzake ni kwamba huwa hasapoti kazi za wenzake. Hii ni sababu ya kipuuzi sana kuwahi kutamkwa. Diamond Platinumz ni mfano halisi wa msanii anayesapoti wenzake. Kampuni yake ya Wasafi imekuza nyota wengi wanaotamba hapa nchini. Hata nje ya wasafi kuna wasanii wengi ambao tunaweza sema ni members wa wasafi kasoro usajili rasmi. Halafu wasanii wengi kabla ya kusaidiwa wanatakiwa wajisaidie wenyewe kwanza. Wasanii wengi ni wavivu na hawapendi kazi. Husubiri kubebwa na media pamoja na watu binafsi. Ndo chimbuko kuu la watu waitwao Chawa. Waige mfano kwa Diamond kwa kuchapa kazi.

Wito wangu kwa wote wanaochukia mafanikio ya huyu kijana ni kuacha mara moja hiyo tabia. Pia wajikite zaidi kwenye shughuli za uzalishaji mali ili kuupata utajiri. Kupata au kukosa hiyo tuzo kwa komredi Diamond ni matokeo tu. CHADEMA kijikite kuongeza wanachama wake na kudai katiba bora hapa nchini. Kumzungumzia Diamond kwa chama kinachotajwa kama mbadala wa CCM ni kupoteza muda na kuua matumaini ya wapenda mabadiliko.

Huyu unayempigia debe ndiyo mwenye ule wimbo wa "magu baba lao?"

Yawezekana unaowashutumu leo hawana haja ya haramu na yote yahusikanayo na haramu hiyo.

Au nasema uongo ndugu zangu?
 
CHADEMA NA WANAHARAKATI KUONYESHA CHUKI DHIDI YA DIAMOND NI UKOSEFU WA AGENDA

Natumaini mko wazima.

Kwa wiki hii mitandaoni kumetokea vituko vya wanaharakati pamoja na baadhi ya viongozi wa CHADEMA kuongoza kampeni ya kuhakikisha mwanamuziki komredi Diamond Platnumz hashindi kwenye tuzo za BET huko Marekani. Wakati nikishangaa nikaanza kupokea simu za members wengi wa JF pamoja na watanzania wengine wakinisihi nitoe neno ili kutuliza huu upepo. Kabla ya kuanza kuandika nikaona nipitie sababu kuu zinazotolewa na wanaopinga Komredi Diamond kupata tuzo. Nia ni kutaka kujua kama hoja zao zina mashiko.

Sababu kubwa kuliko zote inayotajwa ni kuwa Diamond hajawahi kushiriki kuwasemea watanzania pale haki zao zinapominywa na kwamba amekuwa akiwa upande wa "wakandamiza haki". Hii hoja ni ya kupuuzwa na mtu yeyote mwenye akili. Sio watu wote tumezaliwa ili kuwa wanaharakati na kutoa matamko. Hata biblia inasema Nabii Musa aliyewatoa waisrael utumwani alikuwa mtu mpole kuwahi kutokea na hakuwa mwongeaji. Alikuwa na msemaji wake aitwae Haruni. Kwahiyo hata Diamond imeonekana wazi sio muongeaji sana zaidi ya kufanya mambo yake ya muziki. Labda hoja inaweza kujengwa hoja mbona Bob Marley, Lucky Dube, Tupac na baadhi ya wanamuziki walikuwa wakitunga nyimbo za kudai haki? Jibu ni kwamba wanamuziki pia wamegawanyika... wapo wanaotoa nyimbo za kiuanaharakati, mapenzi, biashara, na mambo mengine mbalimbali kwenye jamii. So, huenda Diamond sio wito wake kutoa nyimbo za aina hiyo.

Pia Diamond kwenye siasa na harakati ni mdogo sana.. mambo ya kwenye siasa sio ya kwenye muziki. Sasa kuna haja gani kujihusisha na mambo yaliyo juu ya uwezo wake? Nchi hii kuna vijana wanasiasa kama kina Abdul Nondo.. hao wasipoongelea siasa wanapaswa kulaumiwa. Na sio mambo ya siasa kwenda kulazimisha kina Diamond, Frank Knows, na wengine wasio wanasiasa kuyaongelea. Nje ya muziki pia kijana ana familia inayomtegemea kwahiyo sio vema kukwaruzana na mamlaka wakati kwenye mafanikio yake hakuna hata shilingi tano aliyochangiwa na CHADEMA. Hata Diamond asipoongea matendo yake mema kwa jamii yatamtetea. Ni msanii pekee aliyetoa mchango wa madawati mia sita (600) kwa ajili ya shule za Dsm wakati wa uongozi wa Field Marshal Makonda. Huko kwao ndo katoa michango mingi zaidi ya kijamii. Isitoshe kuwapigania CHADEMA ni kucheza kamari mbaya sana kwasababu ya viongozi wao wengi kuwa wasaliti (kuunga juhudi).

Sababu nyingine inayotolewa hasa na wasanii wenzake ni kwamba huwa hasapoti kazi za wenzake. Hii ni sababu ya kipuuzi sana kuwahi kutamkwa. Diamond Platinumz ni mfano halisi wa msanii anayesapoti wenzake. Kampuni yake ya Wasafi imekuza nyota wengi wanaotamba hapa nchini. Hata nje ya wasafi kuna wasanii wengi ambao tunaweza sema ni members wa wasafi kasoro usajili rasmi. Halafu wasanii wengi kabla ya kusaidiwa wanatakiwa wajisaidie wenyewe kwanza. Wasanii wengi ni wavivu na hawapendi kazi. Husubiri kubebwa na media pamoja na watu binafsi. Ndo chimbuko kuu la watu waitwao Chawa. Waige mfano kwa Diamond kwa kuchapa kazi.

Wito wangu kwa wote wanaochukia mafanikio ya huyu kijana ni kuacha mara moja hiyo tabia. Pia wajikite zaidi kwenye shughuli za uzalishaji mali ili kuupata utajiri. Kupata au kukosa hiyo tuzo kwa komredi Diamond ni matokeo tu. CHADEMA kijikite kuongeza wanachama wake na kudai katiba bora hapa nchini. Kumzungumzia Diamond kwa chama kinachotajwa kama mbadala wa CCM ni kupoteza muda na kuua matumaini ya wapenda mabadiliko.
Watu wote wanaompinga diamond wana chembe chembe za utaahira
 
Chama kipi? Unadhani walioathirika na aliyeonja yeye ni baba lao wana wanamwonaje?

Chama? Chama gani? Kalikoroga mwenyewe kwa njaa zake. Hawakukosea waliotambua majuto kuwa ni mjukuu.
Duh!! Yaani Diamond ana njaa au sijaelewa?
 
Tunakoelekea sasa, taenda kuzilaumu Simba na Yanga, kuwa viongozi hawatoi matamko ya kulaani.
 
CHADEMA NA WANAHARAKATI KUONYESHA CHUKI DHIDI YA DIAMOND NI UKOSEFU WA AGENDA

Natumaini mko wazima.

Kwa wiki hii mitandaoni kumetokea vituko vya wanaharakati pamoja na baadhi ya viongozi wa CHADEMA kuongoza kampeni ya kuhakikisha mwanamuziki komredi Diamond Platnumz hashindi kwenye tuzo za BET huko Marekani. Wakati nikishangaa nikaanza kupokea simu za members wengi wa JF pamoja na watanzania wengine wakinisihi nitoe neno ili kutuliza huu upepo. Kabla ya kuanza kuandika nikaona nipitie sababu kuu zinazotolewa na wanaopinga Komredi Diamond kupata tuzo. Nia ni kutaka kujua kama hoja zao zina mashiko.

Sababu kubwa kuliko zote inayotajwa ni kuwa Diamond hajawahi kushiriki kuwasemea watanzania pale haki zao zinapominywa na kwamba amekuwa akiwa upande wa "wakandamiza haki". Hii hoja ni ya kupuuzwa na mtu yeyote mwenye akili. Sio watu wote tumezaliwa ili kuwa wanaharakati na kutoa matamko. Hata biblia inasema Nabii Musa aliyewatoa waisrael utumwani alikuwa mtu mpole kuwahi kutokea na hakuwa mwongeaji. Alikuwa na msemaji wake aitwae Haruni. Kwahiyo hata Diamond imeonekana wazi sio muongeaji sana zaidi ya kufanya mambo yake ya muziki. Labda hoja inaweza kujengwa hoja mbona Bob Marley, Lucky Dube, Tupac na baadhi ya wanamuziki walikuwa wakitunga nyimbo za kudai haki? Jibu ni kwamba wanamuziki pia wamegawanyika... wapo wanaotoa nyimbo za kiuanaharakati, mapenzi, biashara, na mambo mengine mbalimbali kwenye jamii. So, huenda Diamond sio wito wake kutoa nyimbo za aina hiyo.

Pia Diamond kwenye siasa na harakati ni mdogo sana.. mambo ya kwenye siasa sio ya kwenye muziki. Sasa kuna haja gani kujihusisha na mambo yaliyo juu ya uwezo wake? Nchi hii kuna vijana wanasiasa kama kina Abdul Nondo.. hao wasipoongelea siasa wanapaswa kulaumiwa. Na sio mambo ya siasa kwenda kulazimisha kina Diamond, Frank Knows, na wengine wasio wanasiasa kuyaongelea. Nje ya muziki pia kijana ana familia inayomtegemea kwahiyo sio vema kukwaruzana na mamlaka wakati kwenye mafanikio yake hakuna hata shilingi tano aliyochangiwa na CHADEMA. Hata Diamond asipoongea matendo yake mema kwa jamii yatamtetea. Ni msanii pekee aliyetoa mchango wa madawati mia sita (600) kwa ajili ya shule za Dsm wakati wa uongozi wa Field Marshal Makonda. Huko kwao ndo katoa michango mingi zaidi ya kijamii. Isitoshe kuwapigania CHADEMA ni kucheza kamari mbaya sana kwasababu ya viongozi wao wengi kuwa wasaliti (kuunga juhudi).

Sababu nyingine inayotolewa hasa na wasanii wenzake ni kwamba huwa hasapoti kazi za wenzake. Hii ni sababu ya kipuuzi sana kuwahi kutamkwa. Diamond Platinumz ni mfano halisi wa msanii anayesapoti wenzake. Kampuni yake ya Wasafi imekuza nyota wengi wanaotamba hapa nchini. Hata nje ya wasafi kuna wasanii wengi ambao tunaweza sema ni members wa wasafi kasoro usajili rasmi. Halafu wasanii wengi kabla ya kusaidiwa wanatakiwa wajisaidie wenyewe kwanza. Wasanii wengi ni wavivu na hawapendi kazi. Husubiri kubebwa na media pamoja na watu binafsi. Ndo chimbuko kuu la watu waitwao Chawa. Waige mfano kwa Diamond kwa kuchapa kazi.

Wito wangu kwa wote wanaochukia mafanikio ya huyu kijana ni kuacha mara moja hiyo tabia. Pia wajikite zaidi kwenye shughuli za uzalishaji mali ili kuupata utajiri. Kupata au kukosa hiyo tuzo kwa komredi Diamond ni matokeo tu. CHADEMA kijikite kuongeza wanachama wake na kudai katiba bora hapa nchini. Kumzungumzia Diamond kwa chama kinachotajwa kama mbadala wa CCM ni kupoteza muda na kuua matumaini ya wapenda mabadiliko.


1622936123920.png
 
Back
Top Bottom