CHADEMA na UKAWA wamepanic, wamechanganyikiwa

CHADEMA na UKAWA wamepanic, wamechanganyikiwa

Hivi unafahamu ni kwanini Rostam alisema amechoshwa na siasa uchwara? Alichofanya kuwapatieni Rais Dr wenu wa CCM anajua sio siasa bali ni cash. Ndio maana akaita siasa uchwara ndani ya Tanzania. Kwahiyo muwe mnajaribu kuweka kumbu kumbu .

na nyie muweke kumbukumbu ya msigwa aliyosema"wote wanaomfuata lowassa hawana akili" muweke kumbukumbu ya mbowe,slaa,lissu waliosema "lowassa ni fisadi papa"
 
Mbona mnahangaika sana mambo ya #UKAWA kuliko ya ccm hii inaonyesha kiasi magamba mmeshanganyikiwa kabisa
mwaka mtaweweseka sana moto wa gesi wa #UKAWA unakuja utawaunguza magamba wote.
POMBE MWISHO KAUNTA MTAANI NA IKULU LOWASA ANATOSHA
 
Kwa hali halisi waliopanic ni wenye dola (CCM),wametumia kila mbinu lakini UKAWA ndio unazidi kuimarika,hata kule kwenye matatizo kutokana na matumizi mabaya ya vyombo vya dola CCM wamefeli.CCM ni wazi wanatumia Jeshi la polisi,Usalama wa Taifa,JWT,Vikundi vya dini pia hata Watumishi wa Umma na magari ya Umma.Wanapiga marufuku maandamano,vikundi vya ulinzi,wanakataza uwanja wa Taifa,raha ya kampeni iwapi?
 
pole mdau wa kijani.unaweweseka, ni kama unatumbo la kuha....sha. Kama ungekuwa muungwana ungejikita kusifia chama kilichokutuma. Badala ya kufurahi kimya kimya kwako unawapigia kilele mpk majirani. Muone, huna hayaaaaaaaa!!!!!!!!!

We Hujioni Kama Unapga Kelele Kwa Kushndwa Kujibu Kwa Hoja,we Sema Tu Mna Ilani Ukawa?
 
Mimi nafikiri walio 'panic' ni wale waojaribu kuzuia uwanja wa taifa kutumika na wanaotangaza picha za wanaohudhuria mikutano ni za kutengeneza (hii inadhihirisha kupanic kwa hali ya juu)
 
Lizabon huko ccm unazigo gani kama ametoka hamisi mgeja wewe unasubiria nini humo??

Pili weka simu yako chini ndenda mtaani alafu ujaribu kumnadi tu huyo kufuli lako ndani ya sekunde utakuwa na jibu.

Hizi smart phone zinaduwaza akili.ya kufikiri usiziamini.sana nenda kwa wananchi utapata jibu
 
Last edited by a moderator:
Without Even Shame On Your Face!!Et Political Tactics 8yrs Sasa Kama Ndo Hvo Si Mngemchukua Lowassa 2010 Kuliko Kuja Kumdharirisha Dr.Slaa?
Kumchukua? Hahahaa.. Mtu mzima anachukuliwa? Hii ni shida.. Topic uchwara bora nikachome nyama nje na watoto..!!
 
Mbona mnahangaika sana mambo ya #UKAWA kuliko ya ccm hii inaonyesha kiasi magamba mmeshanganyikiwa kabisa
mwaka mtaweweseka sana moto wa gesi wa #UKAWA unakuja utawaunguza magamba wote.
POMBE MWISHO KAUNTA MTAANI NA IKULU LOWASA ANATOSHA

Lazima Tuweweseke Hata Rais Wetu Alituasa Sana Tusiwadharau Wapinzani Wetu...Lakin Hata Sisi Tunahaki Ya Kuwahoji Wenzetu Kweli,umoja Wenu Huo Mtatumia Ilani Ya Chama Gan Au Ilani Ya "Fisadi Papa" ya kumtoa babu seya gerezan,kupigiwa simu umeme usiporud?
 
Naona hata hiyo Panic umeiga toka UKAWA kwa Sugu... Hahaaaa kweli CCM mmepanic
 
Kwa hali halisi waliopanic ni wenye dola (CCM),wametumia kila mbinu lakini UKAWA ndio unazidi kuimarika,hata kule kwenye matatizo kutokana na matumizi mabaya ya vyombo vya dola CCM wamefeli.CCM ni wazi wanatumia Jeshi la polisi,Usalama wa Taifa,JWT,Vikundi vya dini pia hata Watumishi wa Umma na magari ya Umma.Wanapiga marufuku maandamano,vikundi vya ulinzi,wanakataza uwanja wa Taifa,raha ya kampeni iwapi?

ni kweli mmeimarika sasa hv kila mwnykt awe wa taifa,mkoa,wilaya, ana uhuru wa kuuza nafasi ya ubunge au udiwani kwa mwenye mkwanja wa kutosha!mf.mbowe kamuuzia lowassa,lowassa kawanunulia watu wake kutoka ccm wakina nkumba ubunge...hongereni chadema/ukawa soko huria
 
Ni kweli tumepanic ndiyomaana tunasema ile nyomi ni picha za kuunga kwa komputa.
Ni kweli tumepanic ndiomaana tumediriki kuwaita wapiga kura ni wanywa viroba kwasababu tu wamejaza mkutano wa mpinzani
 
Ukawa hawajui watokee wapi mpaka sasa ccm wameshinda jimbo moja la nanyamba mgombea wa cuf kasepa zake katoboa mtoni.
 
Back
Top Bottom