CHADEMA na UKAWA wamepanic, wamechanganyikiwa

CHADEMA na UKAWA wamepanic, wamechanganyikiwa

Watamkumbuka na kumpigia magoti Dr Slaa
 
Ah. unachambua vizuri kweli. Una uwezo wa kushawishi fikra ndogo, na mtazamo wa hofu kubadilika. Lakini uandishi wako umejaa ushabiki na muelekeo wa upande mmoja. Be nutral writter ili taifa hili limanye maamuzi sahihi. Kwa mtazamo na fikra yakinifu, jeshi imara si zote hufanya mazoezi ya kumwangamiza adui, ila dhaifu lazima lijipange upya kila siku kujaribu mbinu mbadala. Timu iliyo na NAPE na ILE KAMUSI YA MATUSI ishashindwa mapema. Kumbuka Igunga na Arumeru mashariki.
 
Mkuu Lizabon hawa jamaa ni kama wako ndani ya ndege na wamepoteza mawasiliano kabisa na waongoza ndege. Hebu fikiria hali inavyokuwa hapo. Na bado watapanic sana mwaka huu. Subiria siku matokeo yakitangazwa utawasikia, "tumeibiwa kura"!
Watapanic sana. Cha kushangaza ni kwamba wanajipanikisha wenyewe
 
LizaB umesema kweli kabisa. Niliwaona leo hata walivyoenda nec hawana sura za bashasha walionekana wanyonge sana sura za kutia huruma na inaonesha mpaka sasa hawaaminiani kabisa. Naona bado wanahisi Edo anaweza jitoa au mbatia na cuf
 
Kweli wamepanic,si unaona matamko ya kina chagonja,meck sadik,kova na babu xako lubuva.
Sasa wewe unapanic nini? Tulia kijana. Waache wapanic akina Mbowe
 
LizaB umesema kweli kabisa. Niliwaona leo hata walivyoenda nec hawana sura za bashasha walionekana wanyonge sana sura za kutia huruma na inaonesha mpaka sasa hawaaminiani kabisa. Naona bado wanahisi Edo anaweza jitoa au mbatia na cuf
Ndo maana hawataki kumuacha apumue hata sekunde. Nasikia wanagongana vikumbo nyumbani kwake.mwamepanic! Wamechanganyikiwa
 
Tukichelewa mnasema tunapanic mara oooh mmnaiga mara oooh mnasubiri makap ya sisiyem
yani mwaka huu mnatokwa poooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooovu kabisaaaaaaaaaaaaaaa
 
Tumewaachia muanze but huwa hamchelewagi kutumia PolisiCCM sisi tukishamaliza kazi. Mnakumbuka wakati mmeanza kwenda kuchukua form mlifanya maandamano ya Misikule tulipokuja kumaliza sisi mkatumia PolisiCCM kuzuia maandamano na kwenda kurudisha form. Sasa nyie hiyo kesho sijui keshokutwa anzeni halafu sisi tutakuja kumaliza kwa siku tunayoijua sisi na sijui wakati huu mtazuia kampeni au vipi.
 
Tukichelewa mnasema tunapanic mara oooh mmnaiga mara oooh mnasubiri makap ya sisiyem
yani mwaka huu mnatokwa poooooooooooooooooooooooooooooooooooooooooovu kabisaaaaaaaaaaaaaaa
Kwikwikwikwiiiii! Jinsi ulivyochanganyikiwa soon utaokota makopo
 
CCM mmesema hamtaki kura za wanywa viroba na wavuta bangi.

Mwaka huu mtaweka cheka.
 
Siitaki ukawa kwakua hawashauri wananchi kufanya kazi Kwa bidii wao wana sema madawa hakuna hosptalin wakati tunages maji safi hatuna wakat tuna mdin tunakula mlo moja wakati tunamalI asili .kwahiyo wakingia wao tutakua tumekaa tu kwakua tuna laslmali kama hizo?acheni ujinga nyie ukawa.waambien watanzania kuwa hata mkipita nyinyi kazi lazima sio viloba tuu.
 
Hatuwezi kukubali vijana makini kama sisi nchi iongozwe na watu waliojaa stress. Mbowe stress katibu kagoma kusapoti project ya kifisadi, Maalim Seif stress Prof. Nafsi imemsuta, Mbatia stress Ruhuza kagomea project ya kikanda. Liwassa stress pesa zimepigwa na wanaCCM harafu wamegoma kuhama nae, Mashabiki wamejazwa upepo na viroba eti kuiondoa CCM.bila agenda. Mmeliwa
 
  • Thanks
Reactions: nbn
Back
Top Bottom