CHADEMA na UKAWA wamepanic, wamechanganyikiwa

CHADEMA na UKAWA wamepanic, wamechanganyikiwa

Kiukweli kabisa, nilikuweka katika category ya fanatics lakini kidogo nimeanza kukusoma. Ukichokiandika na nilichokiona jana katika press conference ya Ukawa vinashabahiana.
1. Katika meza kuu hakuwepo mwakilishi wa CUF
2. Sumaye kasema kajiunga na Ukawa lakini hakutaja chama ipi
3. Hawakutangaza siku ya uzinduzi na mpaka sasa wana kigugumizi
4. Waliokuwepo katika chumba ni wachache mno ingawa ITV ilijitahidi kubana fremu ya picha ili kutoonyesha siti wazi nyingi. Sura za wahudhuriaji haikuwa na sura za active Ukawa members wengi walionekana ni recent CCM immigrants.
5. Makofi yalikuwa machache na wengine walionekana wana hofu.
6. Mbatia alikuwa very nervous na hata Sumaye alikuwa anasoma zaidi lakini bado alikuwa anakwamakwama na kujikanyaga.
Kwa mtazamo huo press conference hii ilikuwa imejaa tension nyingi na very little substance.
Nasubiri watangaze tarehe ya uzinduzi. Kwa maana kampeni imeanza hawana ilani na wagombea wao watanadi nini? "Tunachukia umaskini wa watanzania"?
 
Kiukweli kabisa, nilikuweka katika category ya fanatics lakini kidogo nimeanza kukusoma. Ukichokiandika na nilichokiona jana katika press conference ya Ukawa vinashabahiana.
1. Katika meza kuu hakuwepo mwakilishi wa CUF
2. Sumaye kasema kajiunga na Ukawa lakini hakutaja chama ipi
3. Hawakutangaza siku ya uzinduzi na mpaka sasa wana kigugumizi
4. Waliokuwepo katika chumba ni wachache mno ingawa ITV ilijitahidi kubana fremu ya picha ili kutoonyesha siti wazi nyingi. Sura za wahudhuriaji haikuwa na sura za active Ukawa members wengi walionekana ni recent CCM immigrants.
5. Makofi yalikuwa machache na wengine walionekana wana hofu.
6. Mbatia alikuwa very nervous na hata Sumaye alikuwa anasoma zaidi lakini bado alikuwa anakwamakwama na kujikanyaga.
Kwa mtazamo huo press conference hii ilikuwa imejaa tension nyingi na very little substance.
Nasubiri watangaze tarehe ya uzinduzi. Kwa maana kampeni imeanza hawana ilani na wagombea wao watanadi nini? "Tunachukia umaskini wa watanzania"?

Hii ni faida kubwa kwa CCM.
 
Kesho CHADEMA na umoja wao wa kichina, UKAWA wanazindua kampeni. Hata hivyo,

1. Mpaka sasa hawajatangaza wapi watazindua kampeni zao baada ya kuukosa uwanja mkuu wa taifa ambao walidhani unatumika kwa shughuli za kisiasa.

2. Mpaka wanaenda kuzindua kampeni, hawana Ilani ya Uchaguzi. Sijui wataenda kuwaambia nini wananchi. Naona wanaenda kupiga porojo tu.

3. Vyama washirika karibu vyote vimepoteza muelekeo. CUF mpaka sasa hawana Mwenyekiti baada ya Lipumba kujiuzulu. CHADEMA hawana Katibu Mkuu baada ya Dr Slaa kukaa pembeni.

4. Hawana agenda ya kuwabeba kisiasa. Agenda yao ya ufisadi imeingia kirusi baada ya kumteua fisadi kuwa mgombea Urais.

5. Makosa waliyofanya ya kuchelewa kutangaza wagombea ubunge yanawafanya waende kwenye kampeni wakiwa vipande vipande. Kule Bunda Mjini, Bulaya kakataliwa. Sikonge kwa Mkumba hali ni tege. Pia kuna majimbo mengi hali si shwari.

6.. Wakati viongozi wote wa Bunda wakijiuzulu, CHADEMA wamepanic na kutengeneza propaganda kuwa viongozi hao wapatao 11 wamefukuzwa kutokana na makosa mbalimbali. Hata hivyo ushahidi wa video umewaumbua na sasa wamepanic.

7. Mafuriko ya wana CCM waliyokuwa wanatarajia kuhamia CHADEMA mpaka sasa hayajajitokeza. Wamepanic

8. Wakati kesho wanazindua kampeni, mpaka sasa hawana timu ya kampeni ya kitaifa. Wanasubiri maelekezo kutoka kwa Lowasa. Wamepanic. Ubora wa Timu ya kampeni ya CCM umewafanya wajitafakari upya

9. Mpaka wanaingia kwenye uchaguzi, CHADEMA, CUF na NCCR hawakuwa na bajeti ya uchaguzi. Wanategemea ufadhili wa Lowasa. Hata hivyo, mambo yanaonekana kwenda kombo kwake. Lowasa amesema kuwa hana uwezo wa kugharamia majimbo yote isipokuwa ataelekeza nguvu kwenye majimbo machache hasa ya maswahiba wake. CHADEMA wamepanic.

10. Uwezo mdogo wa Lowasa kujenga hoja umewapanikisha. Wamepanic kweli. Ndo maana kila anakoenda Lowasa lazima Mbowe na Mbatia wawepo. Yaani full kupanic. Nimeshangaa hata kurudisha fomu leo wote walienda. Wamechanganyikiwa

Na bado.

Always you are the best
 
Kesho CHADEMA na umoja wao wa kichina, UKAWA wanazindua kampeni. Hata hivyo,

1. Mpaka sasa hawajatangaza wapi watazindua kampeni zao baada ya kuukosa uwanja mkuu wa taifa ambao walidhani unatumika kwa shughuli za kisiasa.

2. Mpaka wanaenda kuzindua kampeni, hawana Ilani ya Uchaguzi. Sijui wataenda kuwaambia nini wananchi. Naona wanaenda kupiga porojo tu.

3. Vyama washirika karibu vyote vimepoteza muelekeo. CUF mpaka sasa hawana Mwenyekiti baada ya Lipumba kujiuzulu. CHADEMA hawana Katibu Mkuu baada ya Dr Slaa kukaa pembeni.

4. Hawana agenda ya kuwabeba kisiasa. Agenda yao ya ufisadi imeingia kirusi baada ya kumteua fisadi kuwa mgombea Urais.

5. Makosa waliyofanya ya kuchelewa kutangaza wagombea ubunge yanawafanya waende kwenye kampeni wakiwa vipande vipande. Kule Bunda Mjini, Bulaya kakataliwa. Sikonge kwa Mkumba hali ni tege. Pia kuna majimbo mengi hali si shwari.

6.. Wakati viongozi wote wa Bunda wakijiuzulu, CHADEMA wamepanic na kutengeneza propaganda kuwa viongozi hao wapatao 11 wamefukuzwa kutokana na makosa mbalimbali. Hata hivyo ushahidi wa video umewaumbua na sasa wamepanic.

7. Mafuriko ya wana CCM waliyokuwa wanatarajia kuhamia CHADEMA mpaka sasa hayajajitokeza. Wamepanic

8. Wakati kesho wanazindua kampeni, mpaka sasa hawana timu ya kampeni ya kitaifa. Wanasubiri maelekezo kutoka kwa Lowasa. Wamepanic. Ubora wa Timu ya kampeni ya CCM umewafanya wajitafakari upya

9. Mpaka wanaingia kwenye uchaguzi, CHADEMA, CUF na NCCR hawakuwa na bajeti ya uchaguzi. Wanategemea ufadhili wa Lowasa. Hata hivyo, mambo yanaonekana kwenda kombo kwake. Lowasa amesema kuwa hana uwezo wa kugharamia majimbo yote isipokuwa ataelekeza nguvu kwenye majimbo machache hasa ya maswahiba wake. CHADEMA wamepanic.

10. Uwezo mdogo wa Lowasa kujenga hoja umewapanikisha. Wamepanic kweli. Ndo maana kila anakoenda Lowasa lazima Mbowe na Mbatia wawepo. Yaani full kupanic. Nimeshangaa hata kurudisha fomu leo wote walienda. Wamechanganyikiwa

Na bado.

Tatizo lako lizabon unapenda sana kupiga sehemu nyeti kiasi kwamba wazee wa uchi wa kuku wamesusia uzi wako.

Hata wanaodis wanaishia njiani, hawajielewi kwa nn, uliyoyasema ndio yapo hivyo ilivyo.
Big like to your thread
 
Utakuwa unatafuta taarifa tu wewe si bure. Nahisi UKIMYA wa UKAWA katika hayo uliyoyaainisha unawatisheni sana. Kuiondoa CCM hauhitaji ILANI. Kinachohtajika ni mpiga kura na sanduku la kura na wasimamizi wa kura basi.

Kweli umepanic brother,kama ni hivyo ukawa msipige kampeni
 
Unaweza ukawa sahihi katika maelezo yako Lizaboni, ila ni bora kuwapa kura wanaopanic katika harakati za kuleta mabadiliko kuliko kuwapa wanaojiamini kuendeleza mfumo ulioshindwa.
 
Last edited by a moderator:
Ukawa hakuna mavuvuzela kuna viongozi makini tena wamejipanga vizuri na kila kitu kitafanyika kwa muda wake tena vizuri tu.
 
Kesho CHADEMA na umoja wao wa kichina, UKAWA wanazindua kampeni. Hata hivyo,

1. Mpaka sasa hawajatangaza wapi watazindua kampeni zao baada ya kuukosa uwanja mkuu wa taifa ambao walidhani unatumika kwa shughuli za kisiasa.

2. Mpaka wanaenda kuzindua kampeni, hawana Ilani ya Uchaguzi. Sijui wataenda kuwaambia nini wananchi. Naona wanaenda kupiga porojo tu.

3. Vyama washirika karibu vyote vimepoteza muelekeo. CUF mpaka sasa hawana Mwenyekiti baada ya Lipumba kujiuzulu. CHADEMA hawana Katibu Mkuu baada ya Dr Slaa kukaa pembeni.

4. Hawana agenda ya kuwabeba kisiasa. Agenda yao ya ufisadi imeingia kirusi baada ya kumteua fisadi kuwa mgombea Urais.

5. Makosa waliyofanya ya kuchelewa kutangaza wagombea ubunge yanawafanya waende kwenye kampeni wakiwa vipande vipande. Kule Bunda Mjini, Bulaya kakataliwa. Sikonge kwa Mkumba hali ni tege. Pia kuna majimbo mengi hali si shwari.

6.. Wakati viongozi wote wa Bunda wakijiuzulu, CHADEMA wamepanic na kutengeneza propaganda kuwa viongozi hao wapatao 11 wamefukuzwa kutokana na makosa mbalimbali. Hata hivyo ushahidi wa video umewaumbua na sasa wamepanic.

7. Mafuriko ya wana CCM waliyokuwa wanatarajia kuhamia CHADEMA mpaka sasa hayajajitokeza. Wamepanic

8. Wakati kesho wanazindua kampeni, mpaka sasa hawana timu ya kampeni ya kitaifa. Wanasubiri maelekezo kutoka kwa Lowasa. Wamepanic. Ubora wa Timu ya kampeni ya CCM umewafanya wajitafakari upya

9. Mpaka wanaingia kwenye uchaguzi, CHADEMA, CUF na NCCR hawakuwa na bajeti ya uchaguzi. Wanategemea ufadhili wa Lowasa. Hata hivyo, mambo yanaonekana kwenda kombo kwake. Lowasa amesema kuwa hana uwezo wa kugharamia majimbo yote isipokuwa ataelekeza nguvu kwenye majimbo machache hasa ya maswahiba wake. CHADEMA wamepanic.

10. Uwezo mdogo wa Lowasa kujenga hoja umewapanikisha. Wamepanic kweli. Ndo maana kila anakoenda Lowasa lazima Mbowe na Mbatia wawepo. Yaani full kupanic. Nimeshangaa hata kurudisha fomu leo wote walienda. Wamechanganyikiwa

Na bado.

Wanatafuta wa kuongea mtu wao hana pumzi hiyo dakika 10 hoi mwaka huu Aaaaaa
 
Back
Top Bottom