Mavipunda
JF-Expert Member
- Jun 27, 2012
- 7,210
- 8,049
This year mkitoboa, niite mimi mbwa!
Tema mate chini unajiona upo peke yako Mungu anakuona...hata Lowasa mwenyewe a anasema kama mkinichagua kuwa rais...kweli viroba vinaathiri ubongo
This year mkitoboa, niite mimi mbwa!
Full takataka, kuna aliyechanganyikiwa kuliko Kikwete mpaka anajipa faraja eti"zile picha za mafuriko ya UKAWA ni za kutengeneza!!" Hata mtoto wa Chekechea asingeweza kusema hivyo wachilia mbali Rais, Dr, Profesa, na Amiri jeshi Mkuu!? Maccm yote yako kwenye full vibration mode!? Mwafwaa mwaka huu, kamuangukieni White Hair!
Hadi sasa politics possession mnachezea 13% chadema/ukawa 85% halafu matawi yenu yote yanachezea 2% kwa ujumla wao! we endelea kutoa macho JF sisi tupo field tunakaba mtu kwa mtu!
na nyie mje kutuambia mtapigana vp na ufisadi huku mkiongozwa na yuleyule mliyemuita "papa wa ufisadi"
Hakika Mkuu. UKAWA sasa imekuwa kichaka cha vibaka
kesho chadema na umoja wao wa kichina, ukawa wanazindua kampeni. Hata hivyo,
1. Mpaka sasa hawajatangaza wapi watazindua kampeni zao baada ya kuukosa uwanja mkuu wa taifa ambao walidhani unatumika kwa shughuli za kisiasa.
2. Mpaka wanaenda kuzindua kampeni, hawana ilani ya uchaguzi. Sijui wataenda kuwaambia nini wananchi. Naona wanaenda kupiga porojo tu.
3. Vyama washirika karibu vyote vimepoteza muelekeo. Cuf mpaka sasa hawana mwenyekiti baada ya lipumba kujiuzulu. Chadema hawana katibu mkuu baada ya dr slaa kukaa pembeni.
4. Hawana agenda ya kuwabeba kisiasa. Agenda yao ya ufisadi imeingia kirusi baada ya kumteua fisadi kuwa mgombea urais.
5. Makosa waliyofanya ya kuchelewa kutangaza wagombea ubunge yanawafanya waende kwenye kampeni wakiwa vipande vipande. Kule bunda mjini, bulaya kakataliwa. Sikonge kwa mkumba hali ni tege. Pia kuna majimbo mengi hali si shwari.
6.. Wakati viongozi wote wa bunda wakijiuzulu, chadema wamepanic na kutengeneza propaganda kuwa viongozi hao wapatao 11 wamefukuzwa kutokana na makosa mbalimbali. Hata hivyo ushahidi wa video umewaumbua na sasa wamepanic.
7. Mafuriko ya wana ccm waliyokuwa wanatarajia kuhamia chadema mpaka sasa hayajajitokeza. Wamepanic
8. Wakati kesho wanazindua kampeni, mpaka sasa hawana timu ya kampeni ya kitaifa. Wanasubiri maelekezo kutoka kwa lowasa. Wamepanic. Ubora wa timu ya kampeni ya ccm umewafanya wajitafakari upya
9. Mpaka wanaingia kwenye uchaguzi, chadema, cuf na nccr hawakuwa na bajeti ya uchaguzi. Wanategemea ufadhili wa lowasa. Hata hivyo, mambo yanaonekana kwenda kombo kwake. Lowasa amesema kuwa hana uwezo wa kugharamia majimbo yote isipokuwa ataelekeza nguvu kwenye majimbo machache hasa ya maswahiba wake. Chadema wamepanic.
10. Uwezo mdogo wa lowasa kujenga hoja umewapanikisha. Wamepanic kweli. Ndo maana kila anakoenda lowasa lazima mbowe na mbatia wawepo. Yaani full kupanic. Nimeshangaa hata kurudisha fomu leo wote walienda. Wamechanganyikiwa
na bado.
Kesho CHADEMA na umoja wao wa kichina, UKAWA wanazindua kampeni. Hata hivyo,
1. Mpaka sasa hawajatangaza wapi watazindua kampeni zao baada ya kuukosa uwanja mkuu wa taifa ambao walidhani unatumika kwa shughuli za kisiasa.
2. Mpaka wanaenda kuzindua kampeni, hawana Ilani ya Uchaguzi. Sijui wataenda kuwaambia nini wananchi. Naona wanaenda kupiga porojo tu.
3. Vyama washirika karibu vyote vimepoteza muelekeo. CUF mpaka sasa hawana Mwenyekiti baada ya Lipumba kujiuzulu. CHADEMA hawana Katibu Mkuu baada ya Dr Slaa kukaa pembeni.
4. Hawana agenda ya kuwabeba kisiasa. Agenda yao ya ufisadi imeingia kirusi baada ya kumteua fisadi kuwa mgombea Urais.
5. Makosa waliyofanya ya kuchelewa kutangaza wagombea ubunge yanawafanya waende kwenye kampeni wakiwa vipande vipande. Kule Bunda Mjini, Bulaya kakataliwa. Sikonge kwa Mkumba hali ni tege. Pia kuna majimbo mengi hali si shwari.
6.. Wakati viongozi wote wa Bunda wakijiuzulu, CHADEMA wamepanic na kutengeneza propaganda kuwa viongozi hao wapatao 11 wamefukuzwa kutokana na makosa mbalimbali. Hata hivyo ushahidi wa video umewaumbua na sasa wamepanic.
7. Mafuriko ya wana CCM waliyokuwa wanatarajia kuhamia CHADEMA mpaka sasa hayajajitokeza. Wamepanic
8. Wakati kesho wanazindua kampeni, mpaka sasa hawana timu ya kampeni ya kitaifa. Wanasubiri maelekezo kutoka kwa Lowasa. Wamepanic. Ubora wa Timu ya kampeni ya CCM umewafanya wajitafakari upya
9. Mpaka wanaingia kwenye uchaguzi, CHADEMA, CUF na NCCR hawakuwa na bajeti ya uchaguzi. Wanategemea ufadhili wa Lowasa. Hata hivyo, mambo yanaonekana kwenda kombo kwake. Lowasa amesema kuwa hana uwezo wa kugharamia majimbo yote isipokuwa ataelekeza nguvu kwenye majimbo machache hasa ya maswahiba wake. CHADEMA wamepanic.
10. Uwezo mdogo wa Lowasa kujenga hoja umewapanikisha. Wamepanic kweli. Ndo maana kila anakoenda Lowasa lazima Mbowe na Mbatia wawepo. Yaani full kupanic. Nimeshangaa hata kurudisha fomu leo wote walienda. Wamechanganyikiwa
Na bado.
Ukawa wanafanya mambo kisasa zaidi. Fuatilia tokea mwanzo. Wakati wa kujiunga kwa vyama ndani ya UKAWA ilitokea kwa mara moja na UKAWA ni imara kuliko. Wakati wa kumtangaza mgombea wa Urais kupitia UKAWA ili tokea kwa mara moja na Lowassa ametingisha nchi. Kampeni zitaanza na zitaanza mara moja na zitakuwa nzito kuliko mawazo yenu. Hiyo ndio UKAWA. Wana ibuka na kumaliza. CCM wametaja kikosi cha watu 32 sasa hivi watu hao wana chambuliwa mmoja baada ya mwingine. Kampeni zikianza ni kazi tu.
Kumbe ndio maana wanaimba aliiiselema hadija.. nyimbo
za kizamani?
Aliye kuambia watanzania wanataka mwimbaji muziki wa kusimama jukwaani ni nani.sasa nyie mnawachambua wajumbe 32 waliochaguliwa lumumba badala ya kutafuta na kuichambua ilani yenu?badala ya kujichambua wenyewe lowassa hayupo vizur jukwaan nani atazurura naye mnachambua wana ccm 32?
Kama vipi Chadema tumieni ilani ya mwaka 2010 ya mfuko wa simenti kuuzwa 5000 na kujenga viwanda vya gongo.
Mbona kama unaiga yaliyoandikwa na The Boss! Huwezi kufanya yako bila kufuatisha yaliyoandikwa na wengine na hasa washindani wenu?Kesho CHADEMA na umoja wao wa kichina, UKAWA wanazindua kampeni. Hata hivyo,
1. Mpaka sasa hawajatangaza wapi watazindua kampeni zao baada ya kuukosa uwanja mkuu wa taifa ambao walidhani unatumika kwa shughuli za kisiasa.
2. Mpaka wanaenda kuzindua kampeni, hawana Ilani ya Uchaguzi. Sijui wataenda kuwaambia nini wananchi. Naona wanaenda kupiga porojo tu.
3. Vyama washirika karibu vyote vimepoteza muelekeo. CUF mpaka sasa hawana Mwenyekiti baada ya Lipumba kujiuzulu. CHADEMA hawana Katibu Mkuu baada ya Dr Slaa kukaa pembeni.
4. Hawana agenda ya kuwabeba kisiasa. Agenda yao ya ufisadi imeingia kirusi baada ya kumteua fisadi kuwa mgombea Urais.
5. Makosa waliyofanya ya kuchelewa kutangaza wagombea ubunge yanawafanya waende kwenye kampeni wakiwa vipande vipande. Kule Bunda Mjini, Bulaya kakataliwa. Sikonge kwa Mkumba hali ni tege. Pia kuna majimbo mengi hali si shwari.
6.. Wakati viongozi wote wa Bunda wakijiuzulu, CHADEMA wamepanic na kutengeneza propaganda kuwa viongozi hao wapatao 11 wamefukuzwa kutokana na makosa mbalimbali. Hata hivyo ushahidi wa video umewaumbua na sasa wamepanic.
7. Mafuriko ya wana CCM waliyokuwa wanatarajia kuhamia CHADEMA mpaka sasa hayajajitokeza. Wamepanic
8. Wakati kesho wanazindua kampeni, mpaka sasa hawana timu ya kampeni ya kitaifa. Wanasubiri maelekezo kutoka kwa Lowasa. Wamepanic. Ubora wa Timu ya kampeni ya CCM umewafanya wajitafakari upya
9. Mpaka wanaingia kwenye uchaguzi, CHADEMA, CUF na NCCR hawakuwa na bajeti ya uchaguzi. Wanategemea ufadhili wa Lowasa. Hata hivyo, mambo yanaonekana kwenda kombo kwake. Lowasa amesema kuwa hana uwezo wa kugharamia majimbo yote isipokuwa ataelekeza nguvu kwenye majimbo machache hasa ya maswahiba wake. CHADEMA wamepanic.
10. Uwezo mdogo wa Lowasa kujenga hoja umewapanikisha. Wamepanic kweli. Ndo maana kila anakoenda Lowasa lazima Mbowe na Mbatia wawepo. Yaani full kupanic. Nimeshangaa hata kurudisha fomu leo wote walienda. Wamechanganyikiwa
Na bado.
Soma post imetoka wapi..Tumia muda kutafakari sio kujibu haraka haraka kama upo chooni.kwahyo nyie mchakamchaka na zungusha zungusha ndo nyimbo mpya kwenu?
Mbona kama unaiga yaliyoandikwa na The Boss! Huwezi kufanya yako bila kufuatisha yaliyoandikwa na wengine na hasa washindani wenu?