Je hizo Thesis zake, zilizompa Master degree toka Mzumbe, alitumia Lugha gani? Moja ya requirement ya thesis ni muundo wa sentensi. Wizi wa elimu unashusha hadhi ya vyuo vyetu
Kwanza thesis yenyewe alifanya au alifanyiwa?
Je hizo Thesis zake, zilizompa Master degree toka Mzumbe, alitumia Lugha gani? Moja ya requirement ya thesis ni muundo wa sentensi. Wizi wa elimu unashusha hadhi ya vyuo vyetu
Mheshimiwa Nape nakupa Pole kwa yaliyowapata kule Arusha, lakini nikupe ushauri mdogo ambao nafikili ungeufanyia kazi ungeonekana ni muungwana na wala huna chuki binafsi ila ni siasa tu. Ushauri wenyewe ni kwamba uchaguzi umepita, kilichobaki ni kuangalia next year kwa nyie wa vyama vya siasa lakini mnatakiwa hata kama dhamira yako haikutumi jitahidi kuficha hilo kwa kuwapongeza walioshinda. Pia nikupongeze kwa kazi nzuri unayoifanya ya kuhakikisha kijana mwenzako Mwigulu anaendelea kuropoka huku wewe ukionekana kutumia japo busara kidogo kwa kuongelea walau mambo ya kitaifa kwama watu wahimize maendeleo. Nasema hivyo kwa sababu mpaka sasa hujaonesha kwa wazi nani hasa unamuunga mkono kati ya wanaotajwa tajwa kutaka kukalia pale magogoni. Mwenzako toka Singida ameshatangaza kwamba Rais ajaye ni Lowasa pale Mwanza wewe uko upande gani?Sihusiki na hisia zako, huu ndio ukweli Chama makini kingejadili kuwatumikia watu badala ya kupoteza siku nzima mnajadili jambo lisilowezekana
Sema usiogope sema, Nape nnauye jibu swali, Kwa English uliyokuwa nayo, Thesis zako ulinunua wapi?Kwanza thesis yenyewe alifanya au alifanyiwa?
Jambo moja nililo na uhakika nalo ni kuwa meya wa ccm hatoweza kutekeleza majukumu yake ipasavyo ikiwa madiwani wa Chadema hawatomuunga mkono. Hata kama sheria na kanuni za uendeshaji wa mabaraza ya madiwani zitawabana Chadema katika kufikia azma yao ya kumpigia kura ya kutokuwa na imani na meya wa jiji lakini ccm na nape watambue kuwa kwa mazingira yaliyopo meya huyo hawezi kutekeleza majukumu yake kikamilifu.
Wanachoweza kufanya madiwani wa Chadema ni kuhakikisha kuwa mipango yote ya meya wa kichina wa ccm haipitishwi na baraza lao na badala yake mipango na mikakati yao ndiyo inapitishwa na kutekelezwa kwakuwa katika maamuzi ya baraza utaratibu ni kupiga kura na uamuzi unafanywa kwa simple majority na hakuna mambo ya 2/3 ya kura za wajumbe.
Ni dhahiri kuwa katika hali kama hiyo nape na ccm yake wanajidanganya kudhani kuwa meya hatang'oka bila kufikiria kuwa atawezaje kufanya kazi zake ikiwa wajumbe wengi wa baraza la madiwani hawamuungi mkono.Kwa muda huu ambapo nape na chatanda wanajifaragua kuwa meya kuondolewa madarakani ni ndoto basi waacheni waendelee kujifaragua ila itakapofika wakati wa shughuli za mabaraza na meya kutaka kutekeleza majukumu yake ndipo wataijua Chadema.
Mkuu achana na hao wachokonozi bwana, hawajui wanachokiongea. ....Du! ila lile vazi lako linalofanana na suti nyeusi ya Mbowe huwa nalipenda! Naona hata Mwigulu ameanza kukuiga ingawa yeye kashona la kijani.Tatizo ni dogo sana umechanganya uongo na ukweli pamoja ndo maana hauliki! Ni kweli kuwa mie muumini wa uimara wa upinzani kuisaidia CCM kufanya vizuri zaidi.Na imani hii siisemei chumbani naisema hadharani. Mengine ni hisia zako ambazo hazinihusu!
Ningejuaje kama usingesema, ungesemaje kama nisingesema? Ahsante kwa taarifa
Sihusiki na hisia zako, huu ndio ukweli Chama makini kingejadili kuwatumikia watu badala ya kupoteza siku nzima mnajadili jambo lisilowezekana
Laigwanan baba askofu ustadh Abdulah.CHEZEAE.Nape Nnauye vipi wanaotakiwa kuvua gamba??? Hatujaona matokeo pamoja na sarakasi ya kuzunguka nchi nzima..... Chezeiya Laigwan wewe!
Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!
Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!
Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!
Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!
Tatizo ni dogo sana umechanganya uongo na ukweli pamoja ndo maana hauliki! Ni kweli kuwa mie muumini wa uimara wa upinzani kuisaidia CCM kufanya vizuri zaidi.Na imani hii siisemei chumbani naisema hadharani. Mengine ni hisia zako ambazo hazinihusu!
Kumbe umeya ndiyo kihoro chenu, hadi mmediriki kuua raia wema kwa mabomu
siasa maji taka .... Rostam Aziz
Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!
Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!