CHADEMA na ndoto za kumuondoa Meya Arusha!

CHADEMA na ndoto za kumuondoa Meya Arusha!

Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!

Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!
Tunataka tumulike pale General tyre mnapopaficha,mayor lazima apigwe chini
 
Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!

Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!

Hv unajua kuna madiwani wa ccm awamtaki meya? Kama aulijui hilo basi ni vyema ukalijua na ukatambua kuwa siyo ndoto chadema kumuondoa meya wako huyo tena wakiamua hata leo wanaweza muondoa haraka sana
 
Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!

Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!
Unajiaibisha kaka kaa kimya,uugulie kimya kimya
 
Hv unajua kuna madiwani wa ccm awamtaki meya? Kama aulijui hilo basi ni vyema ukalijua na ukatambua kuwa siyo ndoto chadema kumuondoa meya wako huyo tena wakiamua hata leo wanaweza muondoa haraka sana
Ningejuaje kama usingesema, ungesemaje kama nisingesema? Ahsante kwa taarifa
 
Tueleze kwanza, ni nani amekamatwa hadi sasa fuatia milipuko wa mabomu na risasi zilizouwa watu kwa hii ishu ya uchaguzi wa madiwani?
 
kidogo leo umeshilikisha ubongo kufikiri.Laiti kanuni na taratibu unazo zungumzia, ccm ingejaribu kufanya kama jadi ndani ya demokrasia huru hakika ccm mngeshakuwa chama cha upinzani
 
...Uzuri wa Nape ana kahofu kidogo ka Mungu, tofauti na Mwigulu. Hili najua hatakujibu - tusubili.
Mkuu umeona mbali sana!! Nape alikuwa role model wangu, alipojichanganya kidogo niliishiwa nguvu lakini naimani huko mbeleni anaweza kuja kuwa kiongozi mzuri siyo lile jamaa la Iramba Magharibi.
 
Sihusiki na hisia zako, huu ndio ukweli Chama makini kingejadili kuwatumikia watu badala ya kupoteza siku nzima mnajadili jambo lisilowezekana

umejibu vizuri.....it sounds kama wahusika una wajua na mipando yote uliijua, ila huku shiriki! naomba mpe MWIGULU taarifa kuwa Watanzania wengi tuna juwa mipango yake yote na uwovu wote
 
CCM wako tayari kufanya chochote ili meya wao wa kichina Arusha abaki kwenye madaraka.Mh Lema mnadai ni mchaga,hawezi kuwa mbunge wa Arusha(mkutano wa malaighwanan kwa hisani ya CCM).Huyo meya wenu ni mmasai?Mnaleta ubaguzi wa ovyo kabisa,likitibuka mnaanza kuuliza imekuwaje.
Wana-CDM tujiandae kwa Sombetini,then tuhamishe majeshi yote kwa meya.Kama Nape alishindwa kuwavua magamba EL,RA na vijisenti,Arusha tutamwondoa meya,ili tuchague kwa haki hata kama atarudi huyu mchina.
 
Kiongozi jama umelalia pombe gani?nakushauri usizinywe tena si nzuri.umeamka alfajiri na utumbo huu?arusha hakuna mwenye shida na meya watu wanataka uchaguzi halali.
 
Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!

Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!

Nape, binadamu usimkadilie kwa hesabu ulizipiga hapo juu... Kumbuka wakati mheshimiwa Z. Z Kabwe anakusanya sahihi za kutokuwa na imani na waziri mkuu Mh. Pinda, Nimrodi Mkono na wana CCM wengine waliweka sahihi zao pamoja na kwamba wao ni wana CCM. Naona wewe ndo unajipa moyo katika hili. Kumbuka si kila mwanaCCM anapenda kinachofanywa na CCM. Anapobaki peke yake kwenye chumba cha kura, pale ndo anaweka chaguo lake halisi.... Wengi wanahofia wakionyesha upinzani hadhari, mnajuwa huwa mnawaita kichama na kuwachimbwa mkwara... Si unakumbuka Mh. S, Sitta alifikia kutaka kunyang'anywa kadi, na baadaye mkaweka maazimio ya eti mwaka huu mnataka spika mwanamke...

BINADAMU HUBADIRIKA KATIKA WAKATI AMBAO HUJAJIANDAA KUBADILIKAWA
 
Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!

Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!

Kwa kuwa si kila mvaa nguo ya kijani ni CCM and the opposite is likely to be TRUE, si vema kufanya conclusion ya uongo! Anything can happen!
 
Ningejuaje kama usingesema, ungesemaje kama nisingesema? Ahsante kwa taarifa
Nape nimekodoa macho kutafuta jibu la mdau aliye uliza hili swali huko mwanzo ila sijaona ukijibu.
Quote
je alichaguliwa kwa 2/3 au walioshiriki kunchagua walifika 2/3..kumbe sheria mnazijua..
Unquote
Jibu hili kwanza!
 
Ningejuaje kama usingesema, ungesemaje kama nisingesema? Ahsante kwa taarifa
hapa umeonyesha kukua kisiasa. Nakushauri, msije mkaanza kuwafuatilia wote mnaohisi hawamtaki meya... Na mkifanya kosa na kumtimua yeyote kwenye udiwani itakula kwenu, maana kwa hali ilivyo Arusha, kushinda ni ishu
 
Kiongozi jama umelalia pombe gani?nakushauri usizinywe tena si nzuri.umeamka alfajiri na utumbo huu?arusha hakuna mwenye shida na meya watu wanataka uchaguzi halali.

Utakao tupatia kiongozi halali,hata ikiwa ni gaudence lymo
 
Nape nimekodoa macho kutafuta jibu la mdau aliye uliza hili swali huko mwanzo ila sijaona ukijibu.
Quote
je alichaguliwa kwa 2/3 au walioshiriki kunchagua walifika 2/3..kumbe sheria mnazijua..
Unquote
Jibu hili kwanza!

@nape swali la msingi hilo hapo juu mkuu, je kama kosa likifanyika nje ya macho ya sheria,hatuwezi kulihukumu nje ya sheria?
 
Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!

Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!

Zamani zetu tulikuwa tunasema mtu kama wewe una 'mchecheto'...siku hizi sijui wanasemaje? All in all, Chadema haikushinda Arusha ili kumuondoa Meya, Chadema ilishinda ili kuwatumikia wananchi, BUT ALSO..to send a message to people of your 'type' that wananchi wamewachoka..hata mje na mbwe mbwe gani, uongo gani, majungu gani, vitisho gani..hata muue, muumize watu kwa vipigo, muhonge...wananchi wamewachoka na wanawapiga chini! Hiyo ndio message kuu iliyoutumwa...na 'loud and clear', it is 'delivered'! Acha kumbwela mbwela hapa..go fix the damage!
 
Ningejuaje kama usingesema, ungesemaje kama nisingesema? Ahsante kwa taarifa

nape siyo ahsante kwa taarifa hilo hata ww unalijua kuwa ccm arusha imegawanyika...utashindwaje kujua hilo wakati ww ni kiongozi wa chama tena taifa?.....haya yote yanawapata kwa sababu ya kulazimisha mambo lakini kama mngekuwa mnafuata taratibu na mkaacha demokrasia ikachukua nafasi yake hakika ingekuwa vyema sana
 
Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!

Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!

Wanafikiri na hilo pia watapeleka mamluki kutoka mikoa ya jirani na kuwapa hofu madiwani wasipige kura.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom