Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!
Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!
Slowly slowly JF members, Pamajo na kwamba majority hatumpendi Nape for the obvious reason. Ninaomba tujadili hii hHOJA yake. Hivi ni KWELI unahitaji 2/3 ya kura za madiwani WOTE ili kumuondoa MEYA kwa VOTE OF NO CONFIDENCE?! Naomba tuache siasa tujadili KANUNI/SHERIA hii. Wajuvi wa sheria tunaomba mtuelimishe.
Kama kanuni itakuwa hivyo, mimi ni mmojawapo nitakaye kuwa NIMEKWAZA sana na kanuni/sheria hii. Uko wapi UHALILA mathalani wa kuongozwa na NAIBU MEYA kutoka TLP wakati TLP ina diwani MMOJA tu. Matokeo ya uchaguzi Arusha yanaonesha Chama pendwa kwa Wakaazi wa Arusha ni CDM. This is UNDISPUTED FACT. Hivyo Jiji la Arusha lilitakiwa liongozwe na CDM, hiyo ndiyo demokrasia.
Tufanye nini? Katika Katiba mpya tusikubali tena huu UHUNI wa CCM. Tupendekeze sasa MAMEYA wote wa Majiji wawe wanapigiwa kura direct na wananchi badala ya kuchaguliwa na madiwani kama yalivyo majiji mengine duniani kama London, New York, Paris etc.
Wakazi wa Ilemela Mwanza bado wanaumizwa na MEYA wa KICHINA aliyewekwa KIHUNI na CCM Bwn. Henry Matata ambaye hana Chama (CDM walishamfukuza). Sasa na huko Arusha wataongozwa tena na MEYA wa KICHINA aliyewekwa na KIMABAVU NA WAHUNI wa CCM BWn. Gaudence Lyimo!!
Huu UHUNI wa CCM ndiyo unatufanya Watanzania MAKINI tuichukie CCM, na tuukomeshe kwenye KATIBA MPYA.
MUNGU IBARIKI TANZANIA NA WATU WAKE WOTE.