CHADEMA na ndoto za kumuondoa Meya Arusha!

CHADEMA na ndoto za kumuondoa Meya Arusha!

Sihusiki na hisia zako, huu ndio ukweli Chama makini kingejadili kuwatumikia watu badala ya kupoteza siku nzima mnajadili jambo lisilowezekana

Wengi wenu mlidhania kuwa isingewezekana kwa CDM kurudisha hizo kata especially pale Lumbumba LLC ilipoanza kutumia hila na hata kukatisha maisha ya watu wasio na hatia. Ili chama kiwe na credibility kinatakiwa kufikiria hata kile ambacho kiko beyond its limits. Mfano mmojawapo ni "chama makini ni lazima kifikirie njia mbadala jinsi wa kuudhibiti uonevu na wizi unaofanywa na SISIEMU (tabia ambayo SISIEMU haiwezi kuicha)"

Ni wajibu wa vyombo vya usalama kusimamia HAKI, lakini kwa kuwa haiwezekani kwa SISIEMU kuacha wizi na uonevu ni wajibu wa chama makini kuweka strategies kukabiliana na hayo niliyotaja hapo awali...You know that.
 
Nape nawe kweli unamuchia mwigulu amalize chama? Msipo angalia mwigulu atawamaliza

Hili nalo NENO! Nape umepata ujumbe.binafsi huwa sijajua wewe na Mwigulu MZINZI nani mkubwa kucheo. Km utaweza fikisha ujumbe huu wa Mchangiaji hapo juu kwa Mwenyekiti wa Taifa Ccm kuwa MWIGULU anaizika chama chenu kwa ajili ya Misifa.

Wewe Napa Nauye yamkini hata una busara Kidoogo kuliko Mwigulu. Na hii ni kwa sababu umetoka ktk Familia ambayo iliwahi kuwa na Kiongozi. Sasa Mwigulu huyu IBILISI mnywa damu za watu hana asili wala sifa ya kua kiongozi. Huyu asili yake na Sifa yske kubwa ni UZINZI na Kuua watu wasio na hatia,ambapo alitakiwa awe anaishi hukoo Majuu na kutengeneza pamoja na kushiriki Filam za NGONO. Badala ya kutengeneza video za uongo kwa viongozi wa CDM!
 
Nape Nnauye,
Swali la kupandia tu kwenye huu uzi... Je ni lini utajisikia komfotabo kuja kushea na wana JF wenzako juu ya kale ka-DVR ka Lowassa thru Mwigulu kalikotumika kunasa mojawapo ya Amri 10 za Mungu ikivunjwa na mtu anayeaminika kuwa ni Nape?

Kwa mtazamo wako, je unafikiri Eddo atafanikiwa kukunyamazisha kwa kutumia hako ka clip kupitia ka-DVR kalikotumiwa na Mwigulu?
 
Acha kufikiri ukiwa ndani ya box! What if CDM ikiungwa mkono na madiwani wengine wazalendo kutoka magamba? Wewe usiwe mvivu wa kufikiri na kuwa na conclusion za chap chap kama cha kwanza!
Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!

Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!
 
Sasa mkuu Nape, ulikuwa wapi kuongea wakati wa uchaguzi wa huyo meya wako! Uliona kanuni zikikiukwa na ukawa kimya! Mnaharibu taifa letu kwa mambo yenu ya hovyo.leo hii unazijua kanuni! Siku itafika ambapo raia wataziweka hizo kanuni zenu pembeni

Sidhani kama Nape na Wenzako huwa kuna siku MNAWAZA kutenda mema nchi hii. Mmeiba mali na sasa mmeanza biashara ys mabomu. Iko siku huyu Nyerere mnayemchezea atawahukumu kwa uchafu huu mnaotufanyia.
 
Nape umenikumbusha mbaliiiiiiiiiiiiiiiiiiiii,umenikumbusha enzi izo tunacheza chandimu wenzenu wakizubaa mnasogeza magoli.huu umekuwa mchezo wakawaida kwa sisiem kusogeza magoli
 
Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!
Hivi Nape ndugu yangu mmekosa sera ya kuwaambia wananchi? Maana kila siku mnajibu hoja na mitazamo ya CHADEMA kweli CCM imekosa dereva mmebaki kama wafamaji yaani mnasubiri CDM waseme kitu nyie mjibu. Anzisheni hoja acheni kujidhalilisha hata kama ukweli ni kuwa mnakufa lakini jitaidini kujikakamua.
 
Mbinu ile ile iliyotumika kumweka madarakani ndo iyo iyo inatakiwa kutumika kumwondoa

Kujipa matumaini ni jambo zuri lakini kujipa matumaini ya uongo ni jambo la hovyo! Kwa idadi ya madiwani katika Jiji la Arusha na mgawanyo wake hakuna chama kinachoweza kufikisha 2/3 ya madiwani na kwa kuwa kanuni zinasema ili umwondoe Meya kwa kura ya kutokua na imani naye lazima upate 2/3 ya madiwani wote, basi Meya is there to stay!

Ushauri wangu ni kuwa waliochaguliwa wafanye kazi ya kuwatumikia wananchi badala ya kuahangaika na ndoto za mchana!
 
Tatizo ni dogo sana umechanganya uongo na ukweli pamoja ndo maana hauliki! Ni kweli kuwa mie muumini wa uimara wa upinzani kuisaidia CCM kufanya vizuri zaidi.Na imani hii siisemei chumbani naisema hadharani. Mengine ni hisia zako ambazo hazinihusu!

Bado nafurahi tu peke yangu hapa huku nikiangalia tamthilia ya SCANDAL. Tehe tehe tehe....
Unajua we bado hujakua. Ukikua utaacha. Unajifanya muungwana kuwapiga domo CDM wanapoteza muda kuota mchana badala ya kutumia muda wao kufanya la maana ila nnachoona leo kweli we ndo umeutumia mda wako vizuri kufanya kazi ya kuwatumikia wananchi kwa njia ya kujibizana na wanajf kuanzia comment moja baada ya nyingine katika uzi huu uliouanzisha. Wanaofanya kazi hawanaga mda wa kuja kupigizana kelele hapa na wanajf.
Sometime najiulizaga kama kweli ulisomea siasa au ulijikuta tu unaingia ulingoni.
Enewei hilo naliacha tu kama lilivyo. Sisi wengine siasa hatuzijui na wala hatunaga mpango wa kufanya sehemu ya kutafutia ugali.
Eti we ni muumini wa uimara wa upinzani kuisaidia ccm....
Unaisaidiaje ccm ambayo imekataa kusaidika kila iitwapo leo mbinu zilezile za udhalimu na nyi mkiwa ndani yake? Eti ulisema huzungumzii uchaguzi wa Arusha then mara unakuja kuanza kuzungumzia hapa. Hicho ni kigeugeu au ndo uimarisho wa upinzani Arusha? Eti muumini?
Enewei. Acha niendelee na series hapa. Usiku mwema mkuu.


Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
Hivi mlimuona nani mwenye akili ya kibinadamu aliye ccm nape lowasa anakuja tumbo litakwisha very soon pole saana kwa kuanza kuchimba kaburi lako kaazi kweli kweli
 
MKURUGENZI WA Itikadi na Uenezi wa Chama Cha Mapinduzi, Nape Nnauye amesema suala la uchaguzi wa Meya wa Mji wa Arusha limefikia tamati na kamwe uchaguzi huo hautafanyika tena. Nnauye alisema hayo alipozungumza na MTANZANIA jana, huku akiwataka wananchi wa Jiji la Arusha kupuuza kauli za vitisho zinazotishia kumwondoa madarakani Meya wa Jiji, Gaudence Lyimo.

Kauli ya Nnauye inafuatia kauli iliyotolewa na Mwenyekiti wa Madiwani wa Chadema Arusha Isaya Doita, aliyesema kuwa ushindi wa udiwani wa chama chao katika kata nne za mji huo ni chachu katika msimamo wa chama chao kutaka uchaguzi wa Meya wa Arusha urudiwe.

Doita akiamini kuwa Lyimo alichaguliwa kwa mizengwe, alisema ana imani muda si mrefu Jiji la Arusha litapata meya ambaye amechaguliwa kwa misingi ya sheria.

Hata hivyo, siku chache baadaye Katibu wa Chadema wa Kanda ya Kaskazini, Amani Golugwa alisema suala la nafasi ya umeya siyo tena ajenda ya chama hicho.

Akizungumzia suala hilo jana, Nnauye alisema CCM imezoea kusikia kauli mbalimbali za vitisho zinazotolewa Chadema na kuwataka wananchi wa Arusha kuzipuuza kauli hizo.

“Ni kazi yao vitisho nia yao ni kutaka watu wasifanye shughuli zao, lakini suala la meya yupo pale na ataendelea kuwapo kwani uchaguzi ulishafanyika na hautafanyika tena.

“Kazi iliyobaki sasa kwa wananchi wa Arusha ni kujenga mji wao kwa kufanya kazi, watu wafanye kazi zao wala hakuna sababu ya kuhofia kauli za vitisho.

“Ni upuuzi kuanza kuzungumzia kila siku suala la Arusha, waliopewa dhamana wawajibike kilichobaki ni kufanya kazi, waache kusikiliza upuuzi,” alisema Nnauye.
 
Mpuuzi kutetea upuuzi haishanganzi,kwani wanayo agenda yao na maslahi Yao katika huo upuuzi na ushenzi wao!!

Kinachonisikitisha ni kuwa sasa CCM ipo tayari kuanzisha vita nchini kisa madaraka waendeleze ufisadi,ikiwa umeya tu Arusha wamethubutu kuua kwa risasi na mabomu watu wasiopungua watano kwa mkoa mmoja,je 2015 kwa nchi nzima itakuaje??!!

Mungu tuepushe na mimba hii ya vita inayotungwa na CCM na walaani wale wote wenye nia ovu hii kwa kisa madaraka na ufisadi!!!!
 
Ccm ni janga la taifa...nape ni vuvuzela wa magamba!
 
Mbona suala la umeya wa Arusha linamkosehsa usingizi Nape? Kutoka uchaguzi wa madiwani umefanika siku 7 zilizopita, Nape amelizungumzia suala la Meya mara mbili.
 
Nape bana!?hivi huna kazi nyingine ya kufanya
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom