CHADEMA na ndoto za kumuondoa Meya Arusha!

CHADEMA na ndoto za kumuondoa Meya Arusha!

Kwakuwa aliwekwa na ccm kimizengwe, tutamwondoa kisheria tukitaka. Ila kwa sasa hiyo siyo kipaumbele
 
kweli ccm imejaa misukule,kwani nape ni nani mpaka atangaze kuwa hakuna uchaguzi wa meya arusha? navojua mwenye mamlaka hayo ni waziri wa TAMISEMI.hawa ghasia.
 
kwani nape anaishi arusha?. awaache wana arusha wafanye maamuzi yao. mia
 
Hivi arusha hakuna shughuli nyingine yeyote zaidi ya siasa . Au watu hawana cha kufanya.
 
CCM KUFA NI LAZIMA VILE IMESHINDWA KUKIDHI HAJA ZA WaTZ, HOJA HAPA NI IFEJE? (baada ya miaka 50 bila mafanikio ktk kuendeleza nchi na watu wake, kuna mtu ana akili yuko CCM bado angependa kufanya majaribio? mtu huyo nani?)
 
Hivi arusha hakuna shughuli nyingine yeyote zaidi ya siasa . Au watu hawana cha kufanya.

Wee ulipo hauna shughuli ?Anza wewe kuwajibika kwanza kabla na kutangaza mafanikio yako
 
Hivi ndani ya wizara ya serikali za mtaa na tawala za mikoa yeye ni nani?
 
Mpuuzi kutetea upuuzi haishanganzi,kwani wanayo agenda yao na maslahi Yao katika huo upuuzi na ushenzi wao!!

Kinachonisikitisha ni kuwa sasa CCM ipo tayari kuanzisha vita nchini kisa madaraka waendeleze ufisadi,ikiwa umeya tu Arusha wamethubutu kuua kwa risasi na mabomu watu wasiopungua watano kwa mkoa mmoja,je 2015 kwa nchi nzima itakuaje??!!

Mungu tuepushe na mimba hii ya vita inayotungwa na CCM na walaani wale wote wenye nia ovu hii kwa kisa madaraka na ufisadi!!!!

Amen.

Sent from my BlackBerry 9780using JamiiForums
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom