Si wazo baya kuingia kwenye chaguzi zijazo 2024/2025. The main concern ni hii:
1. It is very likely CCM watafanya dhuluma kama waliyofanya 2020,MSIWAAMINI KAMWE. mmeweka mikakati ipi kuhakikisha kwa namna yoyote MTAZUIA UCHAFU HUO?
a) Kuna kuenguliwa
b) mawakala kutoingia kenye vyumba vya kupgia kura
c) Polisi kukimbia na mabox ya kura
d) Polisi kuingia kwa nguvu kwenye vyumba vya kupigia kura na mabox ya kura
e) etc etc etc...... na mengine mengi yanayoweza kubuniwa na CCM ya kuiba kura
2. NAWAHAKIKISHIENI HAYA YATATOKEA TENA, CCM MSIWAAMINI KAMWE, KATU MSIWAAMINI, MNAYAKABIRI VIPI?
1. It is very likely CCM watafanya dhuluma kama waliyofanya 2020,MSIWAAMINI KAMWE. mmeweka mikakati ipi kuhakikisha kwa namna yoyote MTAZUIA UCHAFU HUO?
a) Kuna kuenguliwa
b) mawakala kutoingia kenye vyumba vya kupgia kura
c) Polisi kukimbia na mabox ya kura
d) Polisi kuingia kwa nguvu kwenye vyumba vya kupigia kura na mabox ya kura
e) etc etc etc...... na mengine mengi yanayoweza kubuniwa na CCM ya kuiba kura
2. NAWAHAKIKISHIENI HAYA YATATOKEA TENA, CCM MSIWAAMINI KAMWE, KATU MSIWAAMINI, MNAYAKABIRI VIPI?