CHADEMA, kwanini mlipokea pesa za mtoto wa Laila Odinga na katibu wa Odinga huko Mwanza?

CHADEMA, kwanini mlipokea pesa za mtoto wa Laila Odinga na katibu wa Odinga huko Mwanza?

Ritz,Nishakuambia huna la kufundisha jamii zaidi ya umbea tu.huu uzi wako ni upuuzi mtupu jifunze hata kwa wengine
 
Mi nina wasiwasi kuna mtu natumia ID ya Ritz ,unashida na kukesha hapa jf unaandika ***** gani huu,shem!
 
Ritz

huu ni mwaka wa shetani kwa chadema mana wanakula matapishi yao wenyewe....mana huyu wenje juzi tu katoka kumnanga magufuli kwa nini kampigia kampeni odinga.... Huku wao wanakula tena ela za Odinga......cdm hii tabia yenu ya matamko muwe makini yanawaangusha...si lazima kila jambo mtole tamko
 
Last edited by a moderator:
Yani hapo ndo unakapo ona cdm ni wendawazima ....hayo majibu yatakayo kuja ni matusi tu hakuna hata moja atakuja na jibu au hoja..........................hiki ndo chama pendwa bwana kina wendawazimu watu toka viongozi hadi wanachama.......
 
Nilidhani Wenje kapokea pesa ili aende kwenye kampeni Kenya kumbe kapokea pesa kama msaada wa Madawati??!!! tena kwa Watanzania? hebu tuambie yule aliyetumia kodi yetu kwenda kwenye kampeni na huyu aliyepokea kwa ajili ya madawati, ipi inaleta negative impact kwa Jamii yetu?
CCM hawana akili akili zao wameziazimisha kwenye masaburi ya majangiri...
 
huu ni mwaka wa shetani kwa chadema mana wanakula matapishi yao wenyewe....mana huyu wenje juzi tu katoka kumnanga magufuli kwa nini kampigia kampeni odinga.... Huku wao wanakula tena ela za Odinga......cdm hii tabia yenu ya matamko muwe makini yanawaangusha...si lazima kila jambo mtole tamko

Hii ndo akili ya ccm. Hapo ndo mwisho wa kufikiri.
Mtoto wa odinga ni kiongozi wa ODM???
Upuuzi mwingine hauna ulinganishi
 
Kuna uhusiano gani kati ya Wenje na Odinga.
swali la kijinga kwelikweli.Hembu muulize magufuli. Kukuamsha tuu ni hembu fikiria: Inakuweje Wenje apokee helaila asitumike kama magufuli, halafu CCM wasiopokea ndio mawaziri wake wakawa vibaraka wa Odinga, wapo tayari kuvunja tarativu za kidiplomasia na kimataifa kwa kiasi kile na kuwa vuvuzela la wakenya.magufuli kawa MC siku hizi au DJ? Inaonyesha jinsi gani CDM wana command na respect hata wakipewa hela.Sasa CCM hata kupewa bado tayari wanatumika?
 
Hizi pumba kwenda mbele

Leta ushahidi

Mkuu Ritz

Tunaomba utwambie kitega uchumi cha ccm (BAHARI BEACH) KWANINI IMEFUGWA SASA HIVI BAADA YA GADDAFI KUFA?
ghaddafia nakipima kijamaa nguvu.Kama anaangalia kisijekuw akimelala au akinaona aibu.Utaona jisni gani jamaa alivyokuwa na power over JK na serikali aya magamba.Huu ni udhalilishaji wa rais wetu.

Dhaifu full.
 
Yani hapo ndo unakapo ona cdm
ni wendawazima ....hayo majibu yatakayo kuja ni matusi tu hakuna hata
moja atakuja na jibu au hoja..........................hiki ndo chama
pendwa bwana kina wendawazimu watu toka viongozi hadi
wanachama.......

KIBE, hawa wapenzi wa "silaha" hawajitambui! wanapelekwapelekwa kama mi"zombie"!
 
Last edited by a moderator:
Hii ndo akili ya ccm. Hapo ndo mwisho wa kufikiri.
Mtoto wa odinga ni kiongozi wa ODM???
Upuuzi mwingine hauna ulinganishi

Mkuu usisahau kwamba huko kwao magambani rizimoko anaweza kufanya kazi za chama na serikali kwa niaba ya baba yake kwahiyo wanadhani ODM nao ni wendawazimu kama ccm!
 
Jeykey

Haya ndo mambo ya kuhoji,nasi kuhoji watu wanaotoa pesa zao ili mwanafunzi asiandikie chini.
 
Last edited by a moderator:
swali la kijinga kwelikweli.Hembu muulize magufuli. Kukuamsha tuu ni hembu fikiria: Inakuweje Wenje apokee helaila asitumike kama magufuli, halafu CCM wasiopokea ndio mawaziri wake wakawa vibaraka wa Odinga, wapo tayari kuvunja tarativu za kidiplomasia na kimataifa kwa kiasi kile na kuwa vuvuzela la wakenya.magufuli kawa MC siku hizi au DJ? Inaonyesha jinsi gani CDM wana command na respect hata wakipewa hela.Sasa CCM hata kupewa bado tayari wanatumika?

Swali la kijinga linajibiwa na majibu ya kijinga.

Mbona Mbowe ni DJ darasa la saba lakini nyie wote ni mateka wake.
 
Hii ndo akili ya ccm. Hapo ndo mwisho wa kufikiri.
Mtoto wa odinga ni kiongozi wa ODM???
Upuuzi mwingine hauna ulinganishi

Na pesa za Katibu wa Odinga ambaye kasema katumwa na Odinga kuwapa Chadema
nazo vipi.
 
Mi nina wasiwasi kuna mtu natumia ID ya Ritz ,unashida na kukesha hapa jf unaandika ***** gani huu,shem!

Mkuu ebu angalia vizuri thread ambazo zimejaa humu JF karibia zote zimejaa vijana kutoka kaskazini kumtetea Dr Slaa tu. Pamoja na wewe nani anakulipa?
 
Swali la kijinga lioajibiwa na majibu ya kijinga.

Mbona Mbowe ni DJ darasa la saba lakini nyie wote ni mateka wake.

Lakini muziki wa DJ Mbowe ndio magamba mnaucheza kila siku. Mabosi wenu wameshindwa kuendana na beat hadi wakaamua kutuma misukule yao hapa JF. Misukule hiyo kazi yao ni moja tu kuimba nyimbo za Chadema, Dr. Slaa, Mbowe, Heche, Mch. Msigwa, Sugu, Lema na majembe mengine mengi!
 
Back
Top Bottom