CHADEMA, kwanini mlipokea pesa za mtoto wa Laila Odinga na katibu wa Odinga huko Mwanza?

CHADEMA, kwanini mlipokea pesa za mtoto wa Laila Odinga na katibu wa Odinga huko Mwanza?

Ritz

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2011
Posts
56,762
Reaction score
46,273
33614_449486332261_8017832_n.jpg


1734.jpg



KATIBU Mkuu wa Waziri Mkuu wa Kenya, Carol Omondi, aliungana na wakazi wa Wilaya ya Nyamagana na kuchangisha kiasi cha Sh50.6 milioni kwa ajili ya kusaidia kumaliza tatizo la madawati kwa Shule za Msingi na Sekondari wilayani humo.

Katika harambee hiyo iliyoandaliwa na Mbunge wa Jimbo la Nyamagana kwa tiketi ya Chadema, Ezekia Wenje, kupitia mfuko wa maendeleo ya elimu Nyamagana (NEF), Katibu huyo aliandamana na mtoto wa Raila Odinga, Fidel Odinga aliyeweza kuchangia Sh2 milioni.

Mgeni rasmi katika harambee hiyo alikuwa ni Katibu wa Waziri Mkuu wa Kenya Raila Odinga, Carol Omondi, akiwa ameongozana na marafiki zake ambao walichangia fedha za Kenya Sh. laki 6 ambazo ni sawa na Sh. milioni 12 za Tanzania.

Mtoto wa Odinga na Katibu wa Odinga walipewa mualiko na Chadema.
 
hebu Ritz nipe contact ya huyo mtoto white wa juu nije nimpige dushe...
 
Last edited by a moderator:
Ingekuwa good if ungeweka wazi ubaya upo wapi wa kupokea fedha za mtoto wa Odinga kama mgeni rasmi, otherwise hii thread itakuwa ya kimajungu zaidi na ni ya kuishiwa vitu kwa kupost.

Shardcole@Tabora1
 
Sasa umeandika nini hapa? Nilishakuambia kuwa elimu yako fake uliyonayo hasa degree ya sheria uliyobebwa na Alhaj Prof. Ibrahim Juma pale UDSM inazidi kukutafuna. Kaburi linakungoja!
 
Unataka kuhalalisha upuuzi alio ufanya Magufuli?
 
Kuna uhusiano gani kati ya Wenje na Odinga.
 
Sasa umeandika nini hapa? Nilishakuambia kuwa elimu yako fake uliyonayo hasa degree ya sheria uliyobebwa na Alhaj Prof. Ibrahim Juma pale UDSM inazidi kukutafuna. Kaburi linakungoja!

mkuu hii haiwezi kuwa ni personal attack?
 
kikwete alimwalika bush kutoa msaada wa vyandarua.hebu tupe uhusiano wa bush na JK
 
Hizi pumba kwenda mbele

Leta ushahidi

Mkuu Ritz

Tunaomba utwambie kitega uchumi cha ccm (BAHARI BEACH) KWANINI IMEFUGWA SASA HIVI BAADA YA GADDAFI KUFA?

Bahari Beach Hotel.JPG






2vru0xu.jpg
 
Last edited by a moderator:
Asante kwa ujumbe mzuri, wajkati tunaandaaa majibu ya hoja hii anzeni kujibu ile ya Magufuli kwenda Kenya kwenye kampeni, sis hili tutalijibu wala usihofu Mpwa
 
Nilidhani Wenje kapokea pesa ili aende kwenye kampeni Kenya kumbe kapokea pesa kama msaada wa Madawati??!!! tena kwa Watanzania? hebu tuambie yule aliyetumia kodi yetu kwenda kwenye kampeni na huyu aliyepokea kwa ajili ya madawati, ipi inaleta negative impact kwa Jamii yetu?
 
Back
Top Bottom