Kuna uhusiano gani kati ya Wenje na Odinga.
Kwani kila kukicha JK mbona anaomba misaada nje ya nchi anapewa fedha na vitu vingine hilo mbona hauulizi?Kuna uhusiano gani kati ya Wenje na Odinga.
Uraia wa wenje una utata na hilo lopo wazi, kiufupi michango ile ilitoka kwa ndugu wa wenje!
Msisitizo huo.
Swali la kijinga linajibiwa na majibu ya kijinga.
Mbona Mbowe ni DJ darasa la saba lakini nyie wote ni mateka wake.
Mkuu ebu angalia vizuri thread ambazo zimejaa humu JF karibia zote zimejaa vijana kutoka kaskazini kumtetea Dr Slaa tu. Pamoja na wewe nani anakulipa?
toka nimejiunga jf huu ndio uzi wa kwanza kuona wewe ritz umeanzisha na hakika leo nimekujua kwa hiyo sitokuwa na muda wa kubishana na wewe nitakuwa najipaka kinyesi,asante na kwa heriMkuu ebu angalia vizuri thread ambazo zimejaa humu JF karibia zote zimejaa vijana kutoka kaskazini kumtetea Dr Slaa tu. Pamoja na wewe nani anakulipa?
Haha, ukisema hiyo unamaanisha wao ndio wazalendo kupita wengine,ila ukweli ni kwamba magamba mmelaaniwa kwa vile huwa kiwanda yenu ya uongo inawadanganya nyie wenyewe kuliko walengwa.Yaani ni kama muuza gongo anayejifilisi kila mara kwa kuinywa mwenyewe.
Kuna wau wengi tuu hawana vyama ila Sababu zenu za kuishambulia CDM na viongozi wake si rational kabisa.Kwa ujumla ujinga wenu haushawishi na hivyo watanzani wenye akili timamu lazima waseme neno, na wakisema neno reaction yenu ya kijinga inamrudisha kuweka record sawa.
Kwa vile ni mdogo wa Kifikra basi unadhani kama CDM ni kidini na kikabila.Ingekuwa hivyo sasa kabila gani lingekuwa juu, au dini gani au dhehebu gani lingekuwa tawala?Wale watu wamevuka huo ujinga.Alipotoka Slaa hata kuna tofauti sana alipotoka mbowe, na alipotoka mtei, ni tofauti sana na alipotoka Albert, alipotoka Sugu , ni tofauti na alipotoka Msigwa, na ni tofauti na alipotoka Nyerere, na wenje na ZItto, na Safari, Baregu, na Lissu.
Mnatapa shida sana ku add aup maths zenu wambea wakubwa nyie.
Kweli msisitizo wa Kimanyema toka kwa mtoto wa mfua madafu!
Hujue - Ujue,
Uwezi - Huwezi
Bure kabisa wewe msukule wa lumumba!
Muulize dr. Magufuli alipokuwa akijikomba katk hotuba ya wizara yake Bungeni kama alikuw aakiona darasa la saba au alikuw akaimwona Prof wake.(Hiyo ndio bulldover yenu iliyogeuka bajaji mbele ya Mbowe).
Hata angekuwa chekechea bado Angekuwa Most Valuable Politician ktk siasa za Tanzania.CCM km mbwa koko,kelele nyingi kumsogelea mwishi shida.Mnapiga kelele na kuandika ujinga, mkisogezwa katk utendani mnaanza lia Chadema wamesotesha, sijui wamesema nchi haitawaliki.Si mnyooshe mikono tuu kuwa mmeshindwa.
Sasa chama kina wambea kama mkama hadi kaumbuka msibani,wewe mwenye umeanzisha umbea kuhusu CNN, na wenzako wengi tuu .
CCM ni wahuni tuu kama wapiga debe hawafanyi kitu chochote Tangible, na hiyo kuishia kuwa wanyonyaji tuu.Mtakula ktk migongo ya watu hadi lini.Sasa raia nao wana shida, nchi haiendi nanyi sasa muingie mzigoni, hasa nyie watoto wa akina mama wa kimanyema mliokulia mjini wakati akina mama wakila CCM ,na kuwaburudisha wazinzi wa CCM.Sasa hivi ile biashara hailipi, mashangingi ni kujichubua tuu n akupiga makelele ya vijembe.