Wizi wa michango CHADEMA unakwamisha mikutano iliyopangwa

Maryam Malya

Senior Member
Nov 29, 2021
115
258
Na Charles Heche

Waswahili wanasema siku za mwizi ni arobaini, bila kupepesa macho naona siku za Freeman Mbowe ndani ya Chadema zinahesabika kutokana na ubadhirifu ambao umefanywa bila huruma. Usijiulize kwanini nimemtaja Mwenyekiti wakati viongozi wako wengi, huyu kuna ushahidi mwingi na hajaanza mchezo huu leo.

Kwa mwenye swali basi hatakuwa na taarifa juu ya michango ya fedha zilizotolewa na Mzee Sabodo kwa Chadema, michango ya wabunge zaidi 30 kila mwezi kwa chama kwa miaka mitano, ruzuku ya serikali kwa Chadema. Kwa ujumla suala la mapato na matumizi limehodhiwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa muda mrefu sasa.

Hivi majuzi sote tunakumbuka harambee iliyoendeshwa na chama iliyojulikana kwa jina la "Join the chain", napenda kuwajulisha sasa ni rasmi kuwa michango iliyokusanywa imetafunwa na hivi sasa chama kiko juu ya mawe kiasi cha kushindwa kugharamia hata mafuta ya helikopta kwa ajili ya mikutano iliyokwisha pangwa.

Aibu hii ni vyema akaibeba Mwenyekiti Mbowe na maswahiba wake ambao wanayo kawaida ya kula kuku kwa mrija. Zipo taarifa kuwa baadhi ya viongozi wetu wamediriki hata kufanya ziara zisizo na tija nje ya nchi licha ya ukata unaokikumba chama chetu. Hii ni zaidi ya dharau kwa wanachadema na wapenda mabadiliko nchi nzima.

Dharau kwa wanachadema, matumizi mabaya ya fedha za chama matokeo yake ni aibu hii tunayoiona hivi sasa ambapo kuna mikutano haifanyiki kwa kigezo cha kukosekana kwa bajeti. Freeman Mbowe ifike wakati uone haja ya KUJIUZULU ili kulinda heshima yako, huu wizi wako tumeuchoka na ipo siku utaamsha vidonda vilivyopona, au unadhani tumemsahau Chacha Wangwe na hoja zake?
 
Maza akao anatamani angezaa na Mbowe asingepata mtoto mjinga kama wewe, wewe sahivi una miaka zaidi ya 40 na una watoto watatu wote baba tofauti hujaolewa wala nini mpk leo unazeeka, shame on you, halafu acha kujiita Malya hakuna mchaga chizi kama wewe.
 
Umeandika lakini hakuna ushahidi uliouonyesha wa Mbowe kuchukua fedha pasipo kuacha!

Hivi huwa kuna ugumu gani wa kujiridhisha kabla hujapost?
 
Na Charles Heche

Waswahili wanasema siku za mwizi ni arobaini, bila kupepesa macho naona siku za Freeman Mbowe ndani ya Chadema zinahesabika kutokana na ubadhirifu ambao umefanywa bila huruma. Usijiulize kwanini nimemtaja Mwenyekiti wakati viongozi wako wengi, huyu kuna ushahidi mwingi na hajaanza mchezo huu leo.

Kwa mwenye swali basi hatakuwa na taarifa juu ya michango ya fedha zilizotolewa na Mzee Sabodo kwa Chadema, michango ya wabunge zaidi 30 kila mwezi kwa chama kwa miaka mitano, ruzuku ya serikali kwa Chadema. Kwa ujumla suala la mapato na matumizi limehodhiwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa muda mrefu sasa.

Hivi majuzi sote tunakumbuka harambee iliyoendeshwa na chama iliyojulikana kwa jina la "Join the chain", napenda kuwajulisha sasa ni rasmi kuwa michango iliyokusanywa imetafunwa na hivi sasa chama kiko juu ya mawe kiasi cha kushindwa kugharamia hata mafuta ya helikopta kwa ajili ya mikutano iliyokwisha pangwa.

Aibu hii ni vyema akaibeba Mwenyekiti Mbowe na maswahiba wake ambao wanayo kawaida ya kula kuku kwa mrija. Zipo taarifa kuwa baadhi ya viongozi wetu wamediriki hata kufanya ziara zisizo na tija nje ya nchi licha ya ukata unaokikumba chama chetu. Hii ni zaidi ya dharau kwa wanachadema na wapenda mabadiliko nchi nzima.

Dharau kwa wanachadema, matumizi mabaya ya fedha za chama matokeo yake ni aibu hii tunayoiona hivi sasa ambapo kuna mikutano haifanyiki kwa kigezo cha kukosekana kwa bajeti. Freeman Mbowe ifike wakati uone haja ya KUJIUZULU ili kulinda heshima yako, huu wizi wako tumeuchoka na ipo siku utaamsha vidonda vilivyopona, au unadhani tumemsahau Chacha Wangwe na hoja zake?
Ni kweli kwamba wapo wajinga JF , hilo sijabisha , Lakini wewe ni Mjinga sana !
 
Na Charles Heche

Waswahili wanasema siku za mwizi ni arobaini, bila kupepesa macho naona siku za Freeman Mbowe ndani ya Chadema zinahesabika kutokana na ubadhirifu ambao umefanywa bila huruma. Usijiulize kwanini nimemtaja Mwenyekiti wakati viongozi wako wengi, huyu kuna ushahidi mwingi na hajaanza mchezo huu leo.

Kwa mwenye swali basi hatakuwa na taarifa juu ya michango ya fedha zilizotolewa na Mzee Sabodo kwa Chadema, michango ya wabunge zaidi 30 kila mwezi kwa chama kwa miaka mitano, ruzuku ya serikali kwa Chadema. Kwa ujumla suala la mapato na matumizi limehodhiwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa muda mrefu sasa.

Hivi majuzi sote tunakumbuka harambee iliyoendeshwa na chama iliyojulikana kwa jina la "Join the chain", napenda kuwajulisha sasa ni rasmi kuwa michango iliyokusanywa imetafunwa na hivi sasa chama kiko juu ya mawe kiasi cha kushindwa kugharamia hata mafuta ya helikopta kwa ajili ya mikutano iliyokwisha pangwa.

Aibu hii ni vyema akaibeba Mwenyekiti Mbowe na maswahiba wake ambao wanayo kawaida ya kula kuku kwa mrija. Zipo taarifa kuwa baadhi ya viongozi wetu wamediriki hata kufanya ziara zisizo na tija nje ya nchi licha ya ukata unaokikumba chama chetu. Hii ni zaidi ya dharau kwa wanachadema na wapenda mabadiliko nchi nzima.

Dharau kwa wanachadema, matumizi mabaya ya fedha za chama matokeo yake ni aibu hii tunayoiona hivi sasa ambapo kuna mikutano haifanyiki kwa kigezo cha kukosekana kwa bajeti. Freeman Mbowe ifike wakati uone haja ya KUJIUZULU ili kulinda heshima yako, huu wizi wako tumeuchoka na ipo siku utaamsha vidonda vilivyopona, au unadhani tumemsahau Chacha Wangwe na hoja zake?
Weka namba ya kadi yako hai.
 
Na Charles Heche

Waswahili wanasema siku za mwizi ni arobaini, bila kupepesa macho naona siku za Freeman Mbowe ndani ya Chadema zinahesabika kutokana na ubadhirifu ambao umefanywa bila huruma. Usijiulize kwanini nimemtaja Mwenyekiti wakati viongozi wako wengi, huyu kuna ushahidi mwingi na hajaanza mchezo huu leo.

Kwa mwenye swali basi hatakuwa na taarifa juu ya michango ya fedha zilizotolewa na Mzee Sabodo kwa Chadema, michango ya wabunge zaidi 30 kila mwezi kwa chama kwa miaka mitano, ruzuku ya serikali kwa Chadema. Kwa ujumla suala la mapato na matumizi limehodhiwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa muda mrefu sasa.

Hivi majuzi sote tunakumbuka harambee iliyoendeshwa na chama iliyojulikana kwa jina la "Join the chain", napenda kuwajulisha sasa ni rasmi kuwa michango iliyokusanywa imetafunwa na hivi sasa chama kiko juu ya mawe kiasi cha kushindwa kugharamia hata mafuta ya helikopta kwa ajili ya mikutano iliyokwisha pangwa.

Aibu hii ni vyema akaibeba Mwenyekiti Mbowe na maswahiba wake ambao wanayo kawaida ya kula kuku kwa mrija. Zipo taarifa kuwa baadhi ya viongozi wetu wamediriki hata kufanya ziara zisizo na tija nje ya nchi licha ya ukata unaokikumba chama chetu. Hii ni zaidi ya dharau kwa wanachadema na wapenda mabadiliko nchi nzima.

Dharau kwa wanachadema, matumizi mabaya ya fedha za chama matokeo yake ni aibu hii tunayoiona hivi sasa ambapo kuna mikutano haifanyiki kwa kigezo cha kukosekana kwa bajeti. Freeman Mbowe ifike wakati uone haja ya KUJIUZULU ili kulinda heshima yako, huu wizi wako tumeuchoka na ipo siku utaamsha vidonda vilivyopona, au unadhani tumemsahau Chacha Wangwe na hoja zake?
Upigaji fedha za umma Kama REPORT ya CAG ILIVYOBAINISHA , MATUMIZI MAKUBWA YA SERIKALI
MAGARI YA GHARAMA KWA VIONGOZI
MISHAHARA MIKUBWA YA WABUNGE vipi havikwamishi MAENDELEO kwa Wananchi?


Sent from my SM-A145R using JamiiForums mobile app
 
Hoja yako ni nzuri mno .Ushauri wangu kwako ni kuwa zifikishe tuhuma hizi kwa mkaguzi mkuu wa serikali au uombe kazi ofisi hiyo na upewe kitengo cha Chadema tuuu .wasiwasi ni kuwa je unafaa kazi hiyo???
 
"...'ngoja', 'utawasikia'...." alijisemea Lema.

Mie nasema vivyohivyo, ngoja utawasikia wana CHADEMA uchwara hapa na majibu yao ya matusi. Yani badala ya kuhoji na kuchambua hoja, wao wanaluja na matusi na kejeli, halafu ndio waje washike Dola?

CHADEMA ishakosa mwelekeo, hawana ajenda za sera, hawana dira, hawana dhamira za kushika Dola na tunajua vile hawana wala jumbe zinazoeleweka kwa Wananchi, kutwa kulia lia, kususa susa na sasa wameanza kunyofoa nfofoa hela walizochangiwa na Wananchi! Mbula wakishika Dola itakuwaje?

Inasikitisha sana kusikia chama kama CHADEMA kimekosa kile kinachoitwa kwa kimombo "Fiscal responsibilities"!

Wahojiwe
 
Na Charles Heche

Waswahili wanasema siku za mwizi ni arobaini, bila kupepesa macho naona siku za Freeman Mbowe ndani ya Chadema zinahesabika kutokana na ubadhirifu ambao umefanywa bila huruma. Usijiulize kwanini nimemtaja Mwenyekiti wakati viongozi wako wengi, huyu kuna ushahidi mwingi na hajaanza mchezo huu leo.

Kwa mwenye swali basi hatakuwa na taarifa juu ya michango ya fedha zilizotolewa na Mzee Sabodo kwa Chadema, michango ya wabunge zaidi 30 kila mwezi kwa chama kwa miaka mitano, ruzuku ya serikali kwa Chadema. Kwa ujumla suala la mapato na matumizi limehodhiwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa muda mrefu sasa.

Hivi majuzi sote tunakumbuka harambee iliyoendeshwa na chama iliyojulikana kwa jina la "Join the chain", napenda kuwajulisha sasa ni rasmi kuwa michango iliyokusanywa imetafunwa na hivi sasa chama kiko juu ya mawe kiasi cha kushindwa kugharamia hata mafuta ya helikopta kwa ajili ya mikutano iliyokwisha pangwa.

Aibu hii ni vyema akaibeba Mwenyekiti Mbowe na maswahiba wake ambao wanayo kawaida ya kula kuku kwa mrija. Zipo taarifa kuwa baadhi ya viongozi wetu wamediriki hata kufanya ziara zisizo na tija nje ya nchi licha ya ukata unaokikumba chama chetu. Hii ni zaidi ya dharau kwa wanachadema na wapenda mabadiliko nchi nzima.

Dharau kwa wanachadema, matumizi mabaya ya fedha za chama matokeo yake ni aibu hii tunayoiona hivi sasa ambapo kuna mikutano haifanyiki kwa kigezo cha kukosekana kwa bajeti. Freeman Mbowe ifike wakati uone haja ya KUJIUZULU ili kulinda heshima yako, huu wizi wako tumeuchoka na ipo siku utaamsha vidonda vilivyopona, au unadhani tumemsahau Chacha Wangwe na hoja zake?
Kila mumeo akishindwa kukufikisha kileleni lazima umkumbuke Mbowe.
 
Na Charles Heche

Waswahili wanasema siku za mwizi ni arobaini, bila kupepesa macho naona siku za Freeman Mbowe ndani ya Chadema zinahesabika kutokana na ubadhirifu ambao umefanywa bila huruma. Usijiulize kwanini nimemtaja Mwenyekiti wakati viongozi wako wengi, huyu kuna ushahidi mwingi na hajaanza mchezo huu leo.

Kwa mwenye swali basi hatakuwa na taarifa juu ya michango ya fedha zilizotolewa na Mzee Sabodo kwa Chadema, michango ya wabunge zaidi 30 kila mwezi kwa chama kwa miaka mitano, ruzuku ya serikali kwa Chadema. Kwa ujumla suala la mapato na matumizi limehodhiwa na Mwenyekiti Freeman Mbowe kwa muda mrefu sasa.

Hivi majuzi sote tunakumbuka harambee iliyoendeshwa na chama iliyojulikana kwa jina la "Join the chain", napenda kuwajulisha sasa ni rasmi kuwa michango iliyokusanywa imetafunwa na hivi sasa chama kiko juu ya mawe kiasi cha kushindwa kugharamia hata mafuta ya helikopta kwa ajili ya mikutano iliyokwisha pangwa.

Aibu hii ni vyema akaibeba Mwenyekiti Mbowe na maswahiba wake ambao wanayo kawaida ya kula kuku kwa mrija. Zipo taarifa kuwa baadhi ya viongozi wetu wamediriki hata kufanya ziara zisizo na tija nje ya nchi licha ya ukata unaokikumba chama chetu. Hii ni zaidi ya dharau kwa wanachadema na wapenda mabadiliko nchi nzima.

Dharau kwa wanachadema, matumizi mabaya ya fedha za chama matokeo yake ni aibu hii tunayoiona hivi sasa ambapo kuna mikutano haifanyiki kwa kigezo cha kukosekana kwa bajeti. Freeman Mbowe ifike wakati uone haja ya KUJIUZULU ili kulinda heshima yako, huu wizi wako tumeuchoka na ipo siku utaamsha vidonda vilivyopona, au unadhani tumemsahau Chacha Wangwe na hoja zake?
Hakika
 
Mleta uzi acha kuingilia biashara ya Mbowe. CHADEMA ni mali yake binafsi kwahiyo ana uhuru wa kutafuna pesa zinazoingia kwenye akaunti ya chama (mali) chake anachokimiliki. MwanaCHADEMA ambaye haridhiki na maamuzi ya mmiliki wa chama ahamie kwingine.
 
Mwaka wa ngapi huu script ni ile ile... hamjapewa hata update...? Kuweni basi hata creative mbuni tuhuma mpya... hii ya mkiti na chama kuchokwa ilishafail big time. Ndio maana mnakuja na threads za ajabu huku.
Unaonaje ukiweka hata auditing ripoti moja ikathibitisha hoja zako?
 
Back
Top Bottom