CHADEMA kina wanachama wangapi?

CHADEMA kina wanachama wangapi?

Ndio wafanye utaratibu wa kuwafanya mashabiki wawe wanachama na kukusanya wanachama zaidi ili come 2015 wavune kura nyingi.

asante mkuu,hilo ndio neno na kuna watu wanaenda kwenye mkutano wana pesa na wanahitaji kadi ila hawajui wazipate wapi na hawana muda wa kuzitafuta kwenye mashina au ofisi za chadema.
 
kwani wanaopiga kura ni wanachama au wananchi/washabiki?
 
CDM ni hisia na ufaham, na sio vitambaa na magwanda kama u_ccm.
 
Anyway, wakati mwingine falsafa ya MM ni ngumu kueleweka..nadhani ana shida kidogo na uongozi wa CHADEMA, na sasa anajitahidi kuweka ilo kupitia post kama hizi. Even me, wanachama wenye kadi sio issue, maana nina rafiki zangu wana kadi za CCM ila ni supporters wakubwa wa CHADEMA, na walizipata hizo kadi 2010 wakati wa uchaguzi maana kulikuwa na deal ya kufanya hasa kwa wanachama wasomi wa CCM na ilikuwa inalipa. Nadhani swali na msingi liwe, CHADEMA ina wananchi wangapi wanaikubali na Je, wanaenda kupiga kura? Au wanasifa za kupiga kura?

mbona swali la mwanakijiji lipo waz we taja idadi ya wanachadema tujijue tupo wangap mipango bila takwimu ni sawa na kazi bure
tuache ushabiki kwenye mambo ya msingi kijana
 
Waungwana napenda kuwapasha hiki kuwa chama chenye wabunge wa upinzani wengi Mjengoni Dodoma, kimekubwa na masahibu gani, kwa nini kina wafuasi wengi huku kikiwa na idadi ndogo ya wanachama wanaokadiriwa kutofika LAKI MBILI (200,000). Wakerekeretwa mliopo JF manatakiwa mkashaurine kupitia vikao vyenu halali na kujitathimini namna ya kutanua wigo wa wanachama. Wenzenu CCM hadi Februari 28, 2013 ilikuwa na wanachama wasiopungua MILIONI SITA (6,000,000). Mheshimiwa Mnyika jitihidi kukitangaza chama na kuingiza wanachama wengi badala ya ktumia muda na nguvu nyingi katika vita dhidi ya Professa Maghembe, kwa vilehoja zako ni dhaifu hivyo utaangukia pua.
 
Kama na wewe ni miongoni mwa hao 6,000,000, no wonder miaka 51 sasa tangu uhuru lakini tunashauriwa ''kukimbia wakati wengine wanatembea'' (Alisemaga Gorani Haideni).

Kumbe wewe ndiye uliyewasumbua walimu wetu waliosahihisha mitihani ya kidato cha nne kwa kuwachorea Zombi...
 
Waungwana napenda kuwapasha hiki kuwa chama chenye wabunge wa upinzani wengi Mjengoni Dodoma, kimekubwa na masahibu gani, kwa nini kina wafuasi wengi huku kikiwa na idadi ndogo ya wanachama wanaokadiriwa kutofika LAKI MBILI (200,000). Wakerekeretwa mliopo JF manatakiwa mkashaurine kupitia vikao vyenu halali na kujitathimini namna ya kutanua wigo wa wanachama. Wenzenu CCM hadi Februari 28, 2013 ilikuwa na wanachama wasiopungua MILIONI SITA (6,000,000). Mheshimiwa Mnyika jitihidi kukitangaza chama na kuingiza wanachama wengi badala ya ktumia muda na nguvu nyingi katika vita dhidi ya Professa Maghembe, kwa vilehoja zako ni dhaifu hivyo utaangukia pua.
Huna lolote wewe nadhani usipo post lolote hapa hutalipwa na Nape au vipi????

 
duh una moto kweli hata kaburu alisema mandela hawezi kuongoza sa
 
Mzee Mwanakijiji kama una jambo lingine la maana kujadili au kuwashauri ni bora ungefanya hivyo, Dr Exavery Lwaitama ni kada wa CCM na hata mimi Matola ni kada wa CCM, wacha kujishughurisha na takwimu za uwongo zisizo na takwimu za waliohama chama na waliofariki.

Takwimu unayotueleza wewe hapa ni tangu kuanzishwa kwa CCM, natowa Offer ya $ 100 aje hata katibu tu wa tawi la CCM atuthibitishie ni lini aliwahi ku update reja yake ya wanachama kwa kuwaondowa walioamia vyama vingine na waliokufa, nina uhakika wa 100% hakuna wa kuichukuwa $ 100 yangu. Si kweli hata kidogo kwamba eti CCM ina wanachama millioni 5.

Hi thread ni useless kwangu kwa sababu mimi binafsi si mwanachama wa Chadema lakini ni zaidi ya Mwanachama. ni kwa nini tusiwaige Wasouth Afrika ambao wao itikadi iko moyoni? sijawahi kuona bendera za vyama vya siasa mitaani South Afrika zaidi ya Head qouters. Wewe Mwanakijiji unaishi Marekani unataka kuniambia Obama anatalajia kushinda kwa sababu Democratic ina wanachama zaidi?

Matola ni ccm!!! bado sijakubali.

Nakubaliana na matola kwamba ni ngumu sana kutunza kumbu kumbu ya wanachama hata ktk ngazi ya kata/shehia/ kijiji/mtaa/. Kwa mfano mijini watu wanahama kila siku hivyo ni ngumu sana mtu kuanza kutafuta ofisi ya Chadema na kujisajili upya kama mwanachama x aliyehama kutoka tawi z. Hii ni kazi ngumu sana -wanachama wa vyama vyote hawafanyi hiivyo. Ndo maana mwaka wa kupiga kura ya maoni ya wagombea udiwani ndani ya ccm makatibu wanageuka kuwa almasi ghafla. Kwanini? Ndo watakaotengeneza list ya wapiga kura.

Hata wenyeviti au watendaji wa vijiji/mitaa wanaolipwa mishahara nimewauliza mara nyigi kuhusu idadi ya watu wanaowaongoza - HAWANA. Kwa hiyo, kama mtendaji wa mtaa hana idadi ya wakazi wake ina maana kuwa hata mkurugenzi wa wilaya na mkuu wa wilaya hawana idadi kamili ya wakazi wao (isipokuwa mwaka wa sensa tu -baada miaka 10) Sasa kuuliza swali kama hili kwa chama cha upinzani chenye ruzuku ndogo siyo kututendea haki.
 
Idadi kamili ya wanachama wa cdm haijulikani wengi wanaungaunga leo wapo kesho hawapo no wonder kila mikutano yao wanaojitokeza kujiunga ni walewale
 
Waungwana napenda kuwapasha hiki kuwa chama chenye wabunge wa upinzani wengi Mjengoni Dodoma, kimekubwa na masahibu gani, kwa nini kina wafuasi wengi huku kikiwa na idadi ndogo ya wanachama wanaokadiriwa kutofika LAKI MBILI (200,000). Wakerekeretwa mliopo JF manatakiwa mkashaurine kupitia vikao vyenu halali na kujitathimini namna ya kutanua wigo wa wanachama. Wenzenu CCM hadi Februari 28, 2013 ilikuwa na wanachama wasiopungua MILIONI SITA (6,000,000). Mheshimiwa Mnyika jitihidi kukitangaza chama na kuingiza wanachama wengi badala ya ktumia muda na nguvu nyingi katika vita dhidi ya Professa Maghembe, kwa vilehoja zako ni dhaifu hivyo utaangukia pua.

Mafalili,
Jimbo la ukonga mwaka jana december tulipeleka majina ya wanachama Laki 4 na nusu halafu unasema Chadema nchi nzima wawe wanachama laki mbili tu?????? Aibu yako. Nyinyi mnaotunga story za uwongo ndo mnatuharibia JF.
 
Mwanajiji ushauri mmoja.

Wakati wa uchaguzi wanaccm siyo lazima wapige kura kwa mwanaccm mwenzao na siyo lazima wanachadema wote wapige kura kwa mwanachadema mwenzao.

Haiwezekani chadema wakamsimamisha Fisadi jimbo la x halafu utegemee kila mwenye kadi ya Chadema atampigia kura huyo fisadi kuwa Mbunge. Kwa hiyo, upigaji kura unategemea mgombea mwenyewe wakati wa uchaguzi, agenda, nk.

Pili usilinganishe USA na Tz. Marekani kuna wapiga kura wa aina tatu, Democrat, republican na wasio na upande au wanaosubiri kampeni aka swing states.Hawa wanasubiri agenda, mgombea, sera nk Sasa lazima ujue Tanzania wanachadema na wanaccm siyo kama Reps na Dems. Nchi nzima ni swing state itategemea mgombea, agenda zakeetc.

Hata hivyo, Tofauti hapa tu ni kwamba ccm kama chama imejichafua kitaasisi kiasi ambacho wakimchagua mgombea mzuri bado atakuwa na wakati mgumu kwa kuwa watu wamewakatia tamaa.

For sure, in this regard,partisanship is very useless wakati wa kupiga kura.
 
mimi huwa nachukia sana watu wanafiki,hao ndo wapo kwa washabiki wengi wa chadema,inaniuma sana yaani watu unawaona wakijazana kwenye mikutano ya chadema na kufurahia sera lakini kwenye kupiga kura hawaonekani.kwa
utafiti wangu mdogo nliyoufanya nmegundua watu wengi wasiopga kura ni watu wanaoichukia CCM hvyo kupelekea kuikosesha chadema kura.kama hauwamini fanya simple survey utagundua watu wasioipenda CCM ndio hawapigi kura matokeo yake wanaishia kupiga kelele tu mtaani yaan wamejaa unafiki tu!!
 
Huna tofauti na sokwe unashindwa kuainisha matatizo ya tz eti unahangaika na cdm, utoroshwaji wa twiga wetu kwenda nje,madini kuporwa,tembo wanaisha,mabilioni yanafichwa nje nk hayo huyaoni eti? bk7 shame on u na waliokutuma
 
Wambie hao chama cha mafisi waruhusu uandikishaji wapiga kura wapya afu kutokee uchaguzi kidogo ndo mtajuta kuzaliwa nyie nyinyiem
 
OK, pitia Lumumba hapo maana siku hizi dau limepanda hadi buku saba jero
 
Back
Top Bottom