Mwakalinga Bujo
JF-Expert Member
- Oct 22, 2008
- 2,718
- 1,443
sasa huyo adui si ndo anatakiwa kuwapa hizo leseni za TV? na huyo huyo adui ndiye anasimamia mifumo yote ambayo CDM itatumia. Huwezi kumkwepa adui na adui kama CCM ana uwezo wa kutosha kabisa wa kujua CDM inawanachama kiasi gani na anatumia kwa makini ujuzi huo. Think about it......
Hapa unaanza kupotoka MM kama sio kupotosha . Tumia lugha rahisi kufikisha unachotaka kuwasilisha .