CHADEMA kina wanachama wangapi?

CHADEMA kina wanachama wangapi?

WanaJF,

Kwa masikitiko makubwa sana nieleze tu kuwa, CHADEMA kimezidi kupoteza wanachama wake wengi hivi karibuni hali inayopelekea ku kufanya chama hicho kupoteza sifa ya kuwa chama kikuu cha upinzani nchini.

Kwa mujibu wa viwango vya kimataifa kwenye masuala ya kisiasa, chama kikuu cha upinzani ni kile ambacho kina wanachama walau nusu ya idadi ya wanachama wa chama tawala!.

Takwimu ya idadi ya wanachama kwa mujibu wa ripoti:

...CCM hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 7,892,453.

...CHADEMA hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 456,227.

...ACT hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 124,567. Baada Zitto kuingia ACT, wanachama waliongezeka hadi kufikia 259,548 sawa na ongezeko la asilimia 100.

...Idadi ya wanachama wote wa CUF, TLP, NCCR na UDP ni sawa na idadi ya wanachama wa CHADEMA.

...Kwa mujibu wa viwango vya kimataifa, CHADEMA kwa sasa ni chama kilichounda kambi ya upinzani bungeni. Lakini hakina sifa ya kuitwa chama kikuu cha upinzani nchini.
Umesema "Statistically proven" okay by whom??? What was the sample size and sampling frame??? Where did the research took place and for how long??
Majibu Ni muhimu otherwise hii habari itakuwa Ni mipasho tu!!!!!!!
 
Dada Hamida leo umekula maharage ya wapi sijui, unaropoka usubuhi yote hii,



  • Takwimu ya idadi ya wanachama kwa mujibu wa ripoti:

    ...CCM hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 7,892,453.

    ...CHADEMA hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 456,227.

    ...ACT hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 124,567. Baada Zitto kuingia ACT, wanachama waliongezeka hadi kufikia 259,548 sawa na ongezeko la asilimia 100.

    ...Idadi ya wanachama wote wa CUF, TLP, NCCR na UDP ni sawa na idadi ya wanachama wa CHADEMA.​



 
Mods JF siku hizi! Halafu utaona uzi huu wa kijinga usiokuwa na ukweli wowote unaachwa tu!

Hebu mtu ajaribu kuweka uzi wenye kichwa cha habari kwa mfano: "Wasaliti wa ACT wanazidi kusambaratika kila siku" kama utadumu hata dakika moja!



  • Takwimu ya idadi ya wanachama kwa mujibu wa ripoti:

    ...CCM hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 7,892,453.

    ...CHADEMA hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 456,227.

    ...ACT hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 124,567. Baada Zitto kuingia ACT, wanachama waliongezeka hadi kufikia 259,548 sawa na ongezeko la asilimia 100.

    ...Idadi ya wanachama wote wa CUF, TLP, NCCR na UDP ni sawa na idadi ya wanachama wa CHADEMA.​



 
Chadema ishajifia mda mrefu sana,ndio maana Babu slaa kaamua kukimbilia marekani na girlfriend wake
 
Umesema "Statistically proven" okay by whom??? What was the sample size and sampling frame??? Where did the research took place and for how long??
Majibu Ni muhimu otherwise hii habari itakuwa Ni mipasho tu!!!!!!!

If she gives answers to ur qns, I'm ready to walk naked from Shekilango to Posta!
 
Hammy D,utafiti wako umeufanyia wapi na lini?Na hivi viwango vya kimataifa vikoje?

Mbona wengine bado tupo CDM tunapeta taratibu tunasubiria kujiandikisha kwenye daftari la wapiga kura.

Wajua kuna wanachama wa CCM ambao ndani ni WanaCDM,na wanafanya hivyo kwa uwoga mnaweza kuwanyima kujiandikisha au kupiga kura......

Hamy D,waswahili wanasema kila Mwamba ngoma huvutia kwake,hivyo sikushangai...........

Na wale wazee wa pwani wanasema Mdharau mwiba mguu huota TENDE,na Bandu bandu...............

Ukiwa unatafakari methali hizi kwa uhakika utajua mtanzania wa leo yukoje............Pole sana ila Lady Jaydee alisema ...'USIUSEMEE MOYO wa mwenzio.............."
 
Wewe na akiri zako za babu wa mababu unafikiria kweli! inakuwaje wewe unaisifia CCM kuwa na wanachama milion 7 alafu tena unaisifia NGOME YA USALITI ACT kuwa inaongoza wanachama wengi wakati ni mpinzani wenu. Kipi chama chako Wasaliti au mafisadi zinakutosa kweli sawa ni mtazamo wako ila JISAHIHISHE,
 
WanaJF,

Kwa masikitiko makubwa sana nieleze tu kuwa, CHADEMA kimezidi kupoteza wanachama wake wengi hivi karibuni hali inayopelekea ku kufanya chama hicho kupoteza sifa ya kuwa chama kikuu cha upinzani nchini.

Kwa mujibu wa viwango vya kimataifa kwenye masuala ya kisiasa, chama kikuu cha upinzani ni kile ambacho kina wanachama walau nusu ya idadi ya wanachama wa chama tawala!.

Takwimu ya idadi ya wanachama kwa mujibu wa ripoti:

...CCM hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 7,892,453.

...CHADEMA hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 456,227.

...ACT hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 124,567. Baada Zitto kuingia ACT, wanachama waliongezeka hadi kufikia 259,548 sawa na ongezeko la asilimia 100.

...Idadi ya wanachama wote wa CUF, TLP, NCCR na UDP ni sawa na idadi ya wanachama wa CHADEMA.

...Kwa mujibu wa viwango vya kimataifa, CHADEMA kwa sasa ni chama kilichounda kambi ya upinzani bungeni. Lakini hakina sifa ya kuitwa chama kikuu cha upinzani nchini.

We have got statistic to prove that you are moron
 
WanaJF,

Kwa masikitiko makubwa sana nieleze tu kuwa, CHADEMA kimezidi kupoteza wanachama wake wengi hivi karibuni hali inayopelekea ku kufanya chama hicho kupoteza sifa ya kuwa chama kikuu cha upinzani nchini.

Kwa mujibu wa viwango vya kimataifa kwenye masuala ya kisiasa, chama kikuu cha upinzani ni kile ambacho kina wanachama walau nusu ya idadi ya wanachama wa chama tawala!.

Takwimu ya idadi ya wanachama kwa mujibu wa ripoti:

...CCM hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 7,892,453.

...CHADEMA hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 456,227.

...ACT hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 124,567. Baada Zitto kuingia ACT, wanachama waliongezeka hadi kufikia 259,548 sawa na ongezeko la asilimia 100.

...Idadi ya wanachama wote wa CUF, TLP, NCCR na UDP ni sawa na idadi ya wanachama wa CHADEMA.

...Kwa mujibu wa viwango vya kimataifa, CHADEMA kwa sasa ni chama kilichounda kambi ya upinzani bungeni. Lakini hakina sifa ya kuitwa chama kikuu cha upinzani nchini.

logical argumentation
 
Mods source anyway tunaelewa kazi yenu kwa sasa. Mungu ibariki tanzania.
 
WanaJF,

Kwa masikitiko makubwa sana nieleze tu kuwa, CHADEMA kimezidi kupoteza wanachama wake wengi hivi karibuni hali inayopelekea ku kufanya chama hicho kupoteza sifa ya kuwa chama kikuu cha upinzani nchini.

Kwa mujibu wa viwango vya kimataifa kwenye masuala ya kisiasa, chama kikuu cha upinzani ni kile ambacho kina wanachama walau nusu ya idadi ya wanachama wa chama tawala!.

Takwimu ya idadi ya wanachama kwa mujibu wa ripoti:

...CCM hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 7,892,453.

...CHADEMA hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 456,227.

...ACT hadi kufikia March 20 ilikuwa na wanachama 124,567. Baada Zitto kuingia ACT, wanachama waliongezeka hadi kufikia 259,548 sawa na ongezeko la asilimia 100.

...Idadi ya wanachama wote wa CUF, TLP, NCCR na UDP ni sawa na idadi ya wanachama wa CHADEMA.

...Kwa mujibu wa viwango vya kimataifa, CHADEMA kwa sasa ni chama kilichounda kambi ya upinzani bungeni. Lakini hakina sifa ya kuitwa chama kikuu cha upinzani nchini.

Mama una kazi,chadema itakuua kwa presha.
 
Back
Top Bottom