Chadema: Wanachama 403,083 vs. Milioni 7 wa CCM

Chadema: Wanachama 403,083 vs. Milioni 7 wa CCM

Zack Abdul

JF-Expert Member
Joined
Mar 9, 2026
Posts
564
Reaction score
528
Hebu tumalize propaganda na uongo wa Chadema, Hivi chama kilicho moyoni mwa Watanzania 70M ndio hiki chenye wanachama halali LAKI NNE na ELFU TATU NA THEMANINI NA TATU (403,083) kwamjibu wa Database rasmi ya Chadema inayotunza taarifa za wanachama?

Peter Msigwa ni mwanachama wa mwisho kusajiliwa hii leo na anatimiza idadi hiyo ya wanachama!

Je hiki ndio chama kilichomoyoni mwa watanzani? Au moyoni maana yake nini ikiwa hauna wanachama halali? Nafikiri ndiomaana leo hata wanaccm kama Mange Kimambi, Maria Sarungi na Diaspora waliowengi ndio wanaongoza chama kwakuwa uanachama wa chadema pengine hautambuliwi kwa kadi bali matusi.

Msajili atusaidie, hiki chama kimepeleka taarifa za idadi ya wanachama wake? Zinaendana na hizi taarifa rasmi walizo nazo kwenye database yao au wamegushi na kusema wana wanachama milioni 60?

Nakiona kisu cha msaj
IMG-20260524-WA0056(1).jpg
ili…..😂
 
Hebu tumalize propaganda na uongo wa Chadema, Hivi chama kilicho moyoni mwa Watanzania 70M ndio hiki chenye wanachama halali LAKI NNE na ELFU TATU NA THEMANINI NA TATU (403,083) kwamjibu wa Database rasmi ya Chadema inayotunza taarifa za wanachama?
CCM haijasajili wanachama million 7, na haijawahi kuweka data zake hadharani so umepotosha.

Chadema imesajili kupitia chadema digital hao wanachama 500,000+ lakini haimaanishi ilikua na wanachama laki 5 pekee ila kwenye dijitali ndio imesajili hao.

Lakini pia mfano familia yangu yote ni chadema lia lia ila hamna mwenye kadi maana wengine ni watumishi wa umma, wengine corporate world so ukionekana kwenye database ya upinzani inaweza kuleta sintofahamu.

Hivyo basi chadema ina washabiki na wafuasi wengi kuliko wanachama kama ambavyo simba na yanga zina washabiki pengine 70% ya watu wazima wote ila wanachama rasmi wa klabu zote mbili hawafiki hata million 10.

Niamini mimi hata hao wafuasi wa CCM kibao tu wanaikubali chadema ila wapo ccm kimaslahi tu kulinda biashara na ajira za utumishi wa umma ila kwenye kwenye sanduku la kura wanaipigia chadema.

So kikubwa ni kuwa na wafuasi wengi kwenye kundi la wasio na chama kuliko kuwa na wanachama wengi maana kura zinaamuliwa na wanachi wasio ma vyama kuliko wanachama wa vyama husika.
 
Hebu tumalize propaganda na uongo wa Chadema, Hivi chama kilicho moyoni mwa Watanzania 70M ndio hiki chenye wanachama halali LAKI NNE na ELFU TATU NA THEMANINI NA TATU (403,083) kwamjibu wa Database rasmi ya Chadema inayotunza taarifa za wanachama?

Peter Msigwa ni mwanachama wa mwisho kusajiliwa hii leo na anatimiza idadi hiyo ya wanachama!

Je hiki ndio chama kilichomoyoni mwa watanzani? Au moyoni maana yake nini ikiwa hauna wanachama halali? Nafikiri ndiomaana leo hata wanaccm kama Mange Kimambi, Maria Sarungi na Diaspora waliowengi ndio wanaongoza chama kwakuwa uanachama wa chadema pengine hautambuliwi kwa kadi bali matusi.

Msajili atusaidie, hiki chama kimepeleka taarifa za idadi ya wanachama wake? Zinaendana na hizi taarifa rasmi walizo nazo kwenye database yao au wamegushi na kusema wana wanachama milioni 60?

Nakiona kisu cha msajView attachment 3594349ili…..😂
Idadi ya wanachama uliyotaja ni kwa mkoa wa Iringa peke yake na hapo hata sio ngome ya CDM. Wapo wanachama wapatao 18M nchi nzima. Nimeshangaa CCM mpo 7M pekee, sasa hizo 98% huwa mnapata kwa namna gani?
 
Idadi ya wanachama uliyotaja ni kwa mkoa wa Iringa peke yake na hapo hata sio ngome ya CDM. Wapo wanachama wapatao 18M nchi nzima. Nimeshangaa CCM mpo 7M pekee, sasa hizo 98% huwa mnapata kwa namna gani?
Una uhakika ni Iringa
Au unabahatisha TU

Tusilishane data za uongo kama kile Chama lingine

Lazima chama lijengwe kwenye misingi ya ukweli na uwazi
 
Back
Top Bottom