The Invincible
JF-Expert Member
- May 6, 2006
- 6,003
- 3,269
Ukiona povu basi ujumbe umepenya hadi kunako
Kama unalo basi house girl wangu analihitaji sana.
Ukiona povu basi ujumbe umepenya hadi kunako
Sorry kwani viongozi wa ccm ambao wana hadhi sawa na TL je nao wana ulinzi????? Tuanzie hapo kwanza....
Sent using Jamii Forums mobile app
Jeshi ambalo kila siku mnaitukana kuwa Ni Policcm? Pambaneni Na hali yenuUlinzi wa raia sio jukumu la chadema ni la jeshi la polisi ambao wanalipwa kwa kodi za wananchi wa vyama na dini zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Unaweza kushangaa hata wengine hiyo POTUS Na Oval Office kwao Ni terminologies mpya kabisa lakini wapo hapa kupinga mawazo yakoWalau wewe una uelewa wa mambo kwa kiasi flani. Husukumwi tu na hisia za kiushabiki.
Lissu ni mwanasiasa high profile nchini.
Tayari alishahisi anawindwa.
Sielewi kwa nini CHADEMA hawakuwa proactive kwenye suala la ulinzi wake.
Kuhusu ulinzi kuwa ni wa juu Dodoma...look...inapokuja kwenye suala la ulinzi you don't take anything for granted.
Hata POTUS akiwa kwenye Oval office secret service huwa wapo futi chache kutoka alipo yeye.
Hata wao kwa wao huwa wanaangaliana kwa sababu ishawahi kutokea viongozi kuuwawa na walinzi wao wenyewe....rejea Indira Gandhi na Laurent Kabila.
Kumbe Polisi ni wa CCM? Kumbe serikali ni ya CCM kwa ajili ya CCM na siyo ya Watanzania?Mbona na nyie hampambani na hali yenu na mnaitegemea polisi iwakamate walohusika?
Nyie wafuasi hamna akili kabisa.
Mnachojua na mnachoweza ni kuzungusha mikono tu.
Dr.Slaa aliacha ombwe kubwa la uongozi CHADEMA haijafankiwa kuliziba ipasavyo ukweli huu hawataki kuukubali ili kurekebisha makosa waliyoyafanya.
Nyie CHADEMA sikilizeni....amkeni sasa.
Anzeni kuwa mnafikiria kwa hatua kadhaa mbele.
Hatua zenye manufaa kwa mustakabali wa chama chenu na viongozi wenu.
Hivi nyie mna idara ya usalama kweli? Kama mnayo, iweje suala la ulinzi kwa Tundu Lissu mlikuwa hamjaona umuhimu wake?
Kwa nini Lissu hakuwa na ulinzi imara wa watu wenye silaha za moto?
Kwa kweli hapo mmeudondosha mpira. Na kama mna watu wanaohusika na usalama ndani ya chama chenu basi hamna budi kufanya maamuzi magumu na kuwatimulia mbali.
Haiwezekani kiongozi mkubwa kwenye chama kama Lissu asiwe na usalama wa kueleweka.
Sijui mlikuwa mnaitegemea serikali kwenye hilo!
Kiongozi wa juu tena mwenye mbwembwe na cheche kama Lissu kutembea tembea bila ulinzi wa maana ni upumbavu.
Ni upumbavu kwa sababu tayari yeye atakuwa ni mlengwa wa mashambulizi toka kwa wabaya wake. Anapotembea bila ulinzi anakuwa ni shabaha iliyo rahisi sana kuilenga.
Haiingii akilini kwa nini hadi siku ya lile tukio mlikuwa hamjampatia ulinzi huyo mwanasheria wenu mkuu.
Shame on you.
Mbona na nyie hampambani na hali yenu na mnaitegemea polisi iwakamate walohusika?
Nyie wafuasi hamna akili kabisa.
Mnachojua na mnachoweza ni kuzungusha mikono tu.
bro Siki za nyuma nilidhani una Akili kumbe siyoMbona na nyie hampambani na hali yenu na mnaitegemea polisi iwakamate walohusika?
Nyie wafuasi hamna akili kabisa.
Mnachojua na mnachoweza ni kuzungusha mikono tu.
Mbona nyie ulinzi wa kibiti umewashinda na raia kibao wamekufa , sisi kajeruhiwa mtu mmoja povu tele. Shame on you too
Kama mwanaccm mwenzenu alitolewa bastola hadharan na hatua haijachukuliwa, unawezaje kuwatolea wengine maneno??
Sent using Jamii Forums mobile app
Mbona Dr Slaa alikuwa na ulinzi wa chama na ule toka kwa Gwajima? Jiongeze acha ujinga kubali ukweli tu nduguUlinzi wa raia sio jukumu la chadema ni la jeshi la polisi ambao wanalipwa kwa kodi za wananchi wa vyama na dini zote
Sent using Jamii Forums mobile app
kusinge kuwa na makampuni ya ulinzi basi.Ulinzi wa raia sio jukumu la chadema ni la jeshi la polisi ambao wanalipwa kwa kodi za wananchi wa vyama na dini zote
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwasababu kama hao hawana na hawapati madhara inaweza kuwa na tafsiri kwamba wao ndio watekelezaji wa umafia.....Nani wa CCM mwenye hadhi sawa na Lissu?
Halafu, kama kuna jambo CCM hawana au hawafanyi, CHADEMA nao ndo wasifanye?