Kiranga
Platinum Member
- Jan 29, 2009
- 87,394
- 151,148
Kwanza kabisa usaliti ni nini?Katika hiyo taarifa ukiisoma hapo unaona kabisa kuna mwelekeo wa "usaliti"?
Tundu Lissu akisema kafanya siasa vya kutosha, afya yake si nzuri, anataka kustaafu siasa leo, wengine waendelee na kazi, atakuwa msaliti au si msaliti?