CHADEMA imewasaliti Watanzania

CHADEMA imewasaliti Watanzania

Umeona masharti ya mazungumzo?
Mkuu Mshana

Wazo zima la kufanya mazungumzo na CCM/Serikali linaonekana kuwa na kasoro tangu mwanzo. Je, CHADEMA wanaanzaje kufanya mazungumzo na wale waliokataa kufanya mazungumzo nao kabla ya tarehe 29 Oktoba?
 
We jamaa uelewa wako wa mambo uko chini sana ingawa wewe unajiona uko smart , sasa wewe kwa akili yako unataka lissu aendelee kukaa gerezani kwa muda gani ili uone hajakusaliti? Maana kama ni kesi kawashinda kwa hoja ndio maana kesi imesimama lakini bado kwasababu ka kibri cha mamlaka wameendelea kumshikilia ndani wakati huo na ninyi mliopo huku uraiani mnamganga umbea na story za kina kajala na harmonize tuu!? Na ubishi simba na yanga jioni mnarud kwenu kula na kulala salama

haya niambie tangu lisu yupo gerezani wewe binafsi ni harakati gani umeifanya ili kubadilisha mfumo kandamizi ulipo sasa Au kuwatetea hao unao waita wananchi ? Ni kipi ulicho fanya hadi sasa ambacho kimeleta mabadiliko yeyote na Ambacho kinaunga mkono jitihata za lissu.? Au unalaumu huku unapiga mvinyo na kitimoto hapo bar kwa starehe zako.
Punguza mihemko; kila mtu ana nafasi yake binafsi ya kutoa mchango katika kupigania haki katika nchi hii.

Suala la Lissu kutoka gerezani linapaswa kushughulikiwa kwa kuzingatia kanuni za kimahakama, si kwa ajili ya kupata faida za kisiasa.
 
Watanzania gani waliosalitiwa na kwa kipi hasa? Yani mtu akae ndani kwa mateso hiyo Mitanzania ina kazi ya kumsifia Diamond huku nchi ikatafunwa.
 
Wakati yeye anafia jela ww uko happy na familia yako nyumbani kwako umetulia au sio?

Since amekaa jela umefanya jambo gani kwa ajili yake?

Umewahi kukaa gerezani?

Mwache atoke, aje uraiani
Ni nani mwenye mamlaka ya kuamua mtu atoke gerezani katika nchi hii?
 
Spinning za kitoto kabisa!
It was seen coming..hamna jipya..mwachien jamaa aje afundishe siasa wajinga wajinga!
Ni nani mwenye mamlaka ya kuamua mtu atoke gerezani katika nchi hii?
 
Watanzania gani waliosalitiwa na kwa kipi hasa? Yani mtu akae ndani kwa mateso hiyo Mitanzania ina kazi ya kumsifia Diamond huku nchi ikatafunwa.
Ni nani mwenye mamlaka ya kuamua mtu atoke gerezani katika nchi hii?
 
Watu ambao hawapo jela hawana haki ya kuwaita watu walio jela wasaliti.

Labda ikiwa mtu A aliye jela akapewa nafasi ya kutoka kwa masharti, akakataa, halafu mtu B aliye jela akapewa masharti hayohayo ya kutoka, akakubali, hapo mtu A anaweza kumuita mtu B msaliti.

Lakini wewe mtu uko nje unamuita mtu aliyefungwa jela msaliti hata haya huoni?

Pia, mtu kusema yuko tayari kufanya mazungumzo kuna usaliti gani hapo wakati kukubali mazungumzo si kukubali jambo lokote zaidi ya mazungumzo?

Mnajuaje kwenye mazungumzo Lissu atasemaje?

Mnajuaje kwenye mazungumzo Lissu hawezi kuwabana vizuri?
Watanzania wote wako kifungoni, tofauti ni kwamba Lissu yuko katika gereza la kuta.
 
Sasa kukubali kuingia kwenye mazungumzo kuna shida gani
You are becoming soft.

Je, unafahamu kwamba kabla ya uchaguzi, CCM/Serikali walikataa kufanya mazungumzo au maridhiano?
 
Hapo napo huoni tofauti?

Umemsikia Lissu mwenyewe anasemaje?

Lissu kasema

" Kesi zote zinazomkabili yeye na Chama zifutwe na kwamaba yupo tayari kwa mazungumzo..."

1000393919.jpg
 
Hadi sasa hatujasikia kauli ya TAL na kesi iko active mahakamani na jamhuri wameweka mpira kwapani kuelekea mahakama ya rufani.

Swali ni jepesi tu kama TAL angekuwa na kesi ya kujibu hadi sasa jamhuri wasingekuwa wanakimbia kuleta mashahidi ukiachilia mbali vielelezo viwili kama ushahidi vilvyotupiliwa mbali na mahakama.

Mimi kwa maoni yangu mpaka nisikie TAL mwenyewe atasema nini siku akionekana kutoka huko gerezani tofauti na hapa nachokiona ni sarakasi tu za watu na mkakati wa machawa na vyombo vya habari kuhamisha magoli ukitaka kuamini angalia vichwa vya habari baada ya hii kauli ya juzi.

Wanasema "TAL yuko tayari kwa maridhiano" kwanini wasiandike "TAL atoa masharti 7 baada ya kutembelewa na Chakwera gerezani"

Simuoni TAL akiingia mkenge kuridhiana na watu waliomtesa na pia TAL huwa hafichi kitu kama kimepotoshwa najua akionekana tena public ataeleza uhalisia wa mambo.
 
Hayo kasema Lissu mwenyewe?
Iwapo ameyasema mwenyewe au la, hilo ni jambo linalotia wasiwasi.

Kinachoshangaza wengi ni kwamba taarifa hizo zilitolewa kupitia wakili Kisabo, na CHADEMA ikaandaa taarifa rasmi kwa umma.

Baadaye waliithibitisha taarifa hiyo, na hivyo kauli hiyo ni ya Tundu Lissu.


1000394189.jpg
 
Hadi sasa hatujasikia kauli ya TAL na kesi iko active mahakamani na jamhuri wameweka mpira kwapani kuelekea mahakama ya rufani.

Swali ni jepesi tu kama TAL angekuwa na kesi ya kujibu hadi sasa jamhuri wasingekuwa wanakimbia kuleta mashahidi ukiachilia mbali vielelezo viwili kama ushahidi vilvyotupiliwa mbali na mahakama.

Mimi kwa maoni yangu mpaka nisikie TAL mwenyewe atasema nini siku akionekana kutoka huko gerezani tofauti na hapa nachokiona ni sarakasi tu za watu na mkakati wa machawa na vyombo vya habari kuhamisha magoli ukitaka kuamini angalia vichwa vya habari baada ya hii kauli ya juzi.

Wanasema "TAL yuko tayari kwa maridhiano" kwanini wasiandike "TAL atoa masharti 7 baada ya kutembelewa na Chakwera gerezani"

Simuoni TAL akiingia mkenge kuridhiana na watu waliomtesa na pia TAL huwa hafichi kitu kama kimepotoshwa najua akionekana tena public ataeleza uhalisia wa mambo.
Lakini CHADEMA wametoa taarifa rasmi na kidhibitisha kwamba hiyo ni kauli ya Tundu Lissu.

1000394189.jpg
 
Iwapo ameyasema mwenyewe au la, hilo ni jambo linalotia wasiwasi.

Kinachoshangaza wengi ni kwamba taarifa hizo zilitolewa kupitia wakili Kisabo, na CHADEMA ikaandaa taarifa rasmi kwa umma.

Baadaye waliithibitisha taarifa hiyo, na hivyo kauli hiyo ni ya Tundu Lissu.


View attachment 3574858
Linatia wasiwasi kwa nini?

Unafahamu strategy za chama nanza Lissu ni zipi?
 
Back
Top Bottom