The mission 2017
JF-Expert Member
- Aug 14, 2017
- 6,179
- 14,062
Mkuu Mshana
Wazo zima la kufanya mazungumzo na CCM/Serikali linaonekana kuwa na kasoro tangu mwanzo. Je, CHADEMA wanaanzaje kufanya mazungumzo na wale waliokataa kufanya mazungumzo nao kabla ya tarehe 29 Oktoba?
Wewe unashauri wafanye kitu gani? Bila kua na Mazungumzo Upande wa pili utajuaje madai yeenu?