- Thread starter
- #21
Unazungumza na wahalifu!?Lazima kuzungumza kueleza unachopigania, hats kama vita ni kali.
Kama hutazungumza basi hujui unachopigania.
Unazungumza na wahalifu!?Lazima kuzungumza kueleza unachopigania, hats kama vita ni kali.
Kama hutazungumza basi hujui unachopigania.
Watanzania hawakuandamana kwa ajili ya CHADEMA au chama chochote cha siasa, mazungumzo siyo kwa ajili ya CHADEMA.Hutaki mazungumzo baada ya kufutiwa kesi? au sijakuelewa na usaliti ni upi kutaka kesi zifutwe
Nakubaliana nawe kabisa kwamba Lissu ni shujaa katika harakati za kupigania haki na demokrasia nchini Tanzania. Hata hivyo, hatua anayopanga kuchukua inaweza kuathiri sifa na heshima yake. Aidha, tukumbuke kuwa Watanzania wengi wamepoteza maisha wakipigania haki katika nchi hii; hivyo si vyema kutumia vifo vyao kwa manufaa ya kisiasa. Nina imani kwamba hatafanya hivyoKwenye harakati Lissu alishawahi kumiminiwa risasi(assassination attempt) zaidi ya thelathini na risasi zisizo chini ya 16 zikamuingia mwilini, hao waliofariki kwa kupigwa risasi pasina shaka yoyote ni mashujaa sana katika historia ya kupambana haki na demokrasia lakini kwa kuwa tu walifariki haiwafanyi kuwa mashujaa zaidi ya mtu ambaye pia kwenye mapambano alimiminiwa risasi nyingi kwa lengo la kumuua ila akanusurika na mwili umejazwa mavyuma na una makovu lukuki ya majeraha ya risasi na ya surgeries alizofanyiwa katika kumtoa risasi nyingi mwilini mwake.
Lissu amevipigana vita vya kupigania haki na demokrasia na amehatarisha maisha yake kwa kiwango cha juu sana hivyo HADAIWI kabisa.
Mazugumzo siyo maridhianoIwapo jambo hili ni kweli, basi ni wazi kwamba CHADEMA imewasaliti Watanzania.
View attachment 3574549ma
Nadhani kila mmoja kafanya kwa upande wake. Itoshe tu kusema haikutosha hasa kwa upande wa wananchi cause CHADEMA walijitoa kushiriki mpaka uchaguzi mkuu,Chama kikapasuka katikati kama pazia la hekalu, mwenyekiti akakamatwa kwa kesi ya uhaini, Chama kikazuiwa mikutano na shughuli zote za siasa, waliohudhuria kesi ya uhaini walikiona cha moto. Lakini yote kwa yote et Chama hiki kipo hadi leo kana kwamba ndo kimeanzishwa. Wakati wa kielekea uchaguzi mpaka makamu mwenyekiti wa Chama walimshweka ndani. Kwa kifupi ilikuwa kama hamna Chama sabab walidhibitiwa kila kona ila kile chama cha mbogamboga kuna sehemu walijichanganya na hawatoweza kurekebisha bila kutumia nguvu. Watanzania pia kwa upande wao walifanya jambo ingawa halikutosha kulingana na nguvu waliyokutana nayo inayosemekana ilikuwa sawaswa kutumiwa.. SASA SI WAKATI WA KULAUMIANA sababu Chadema na pia TL amepambana sana kwa upende wake hata akitoka akikaa pembeni kwangu sitomdai maana anahistoria chungu sana juu ya siasa za Tanzagiza na kiukweli kawafungua wenye akili macho!!Iwapo jambo hili ni kweli, basi ni wazi kwamba CHADEMA imewasaliti Watanzania.
View attachment 3574549ma
Mkuu Lisu huyo asingekuwa bahati yake basi ni zaidi ya oct29. Jamaa bado anatembea na risasi mwilini. Tukio la oct29 Lisu lilishampata nyuma zaidi na bado karudi anapambania hadi kesi ya uhaini kapewa. Unataka afanye nini? Unamdai nini? Sidhani kma majeruhi waliopigwa risasi oct29 wanaweza kurudi kupambana tena kma TL alivyofanya. Lisu aliweza kuacha hizi mambo na shavu likawa dodo zaidi. Usimlaumu mtu alikuwa jela yeye na makamu wake ni wamesimuliwa tu kilichotokea.Hivi we una akili timamu? Amepambana kuliko waliofumuliwa vichwa october 29? Kuna sapoti kubwa kama ile ya october 29?, chadema haikushiriki maandamano lakini vijana waliingia mitaani kwa kupambania ajenda zilizopambaniwa na chadema, hivyo hata lissu ana deni, akitoka huko anatakiwa kuendeleza mapambano, watu wamemwagwa utumbo huku nje , yeye yuko jela lakini shavu dodo, TUNAWADAI
Iwapo jambo hili ni kweli, basi ni wazi kwamba CHADEMA imewasaliti Watanzania.
View attachment 3574549ma
Watu wamepoteza maisha kwa ajili ya nchi hii tarehe 29 October, Lisu bado yupo hai nani kapambana zaidi ya mwingine.!?
Hatuna shida na Lisu, lakini asijaribu kununua uhuru wake kwa kutumia damu ya watanzania waliouawa tarehe 29 October.Mlitaka afie jela?
Hao anaowafia wanafanya nini?
Mnashia kupiga kelele jf tu
Mkiambiwa changia chama hamtaki, lissu amekaa mwaka mzima gerezani
Nyie mmefanya nini?
Mwache atoke tu
Lissu asijaribu kupata uhuru wake wa kisiasa kwa kutumia damu ya Watanzania. Taratibu za kesi zinajulikana: akipatikana na hatia, apewe adhabu kulingana na sheria; na asipopatikana na hatia, aachiwe huru. Hata hivyo, asitumie damu ya Watanzania kununua uhuru wake.Why usimfate aliefanya watu wafe?
Ni mada ya kichokonozi tu; haina lolote jipya..Nadhani kila mmoja kafanya kwa upande wake. Itoshe tu kusema haikutosha hasa kwa upande wa wananchi cause CHADEMA walijitoa kushiriki mpaka uchaguzi mkuu,Chama kikapasuka katikati kama pazia la hekalu, mwenyekiti akakamatwa kwa kesi ya uhaini, Chama kikazuiwa mikutano na shughuli zote za siasa, waliohudhuria kesi ya uhaini walikiona cha moto. Lakini yote kwa yote et Chama hiki kipo hadi leo kana kwamba ndo kimeanzishwa. Wakati wa kielekea uchaguzi mpaka makamu mwenyekiti wa Chama walimshweka ndani. Kwa kifupi ilikuwa kama hamna Chama sabab walidhibitiwa kila kona ila kile chama cha mbogamboga kuna sehemu walijichanganya na hawatoweza kurekebisha bila kutumia nguvu. Watanzania pia kwa upande wao walifanya jambo ingawa halikutosha kulingana na nguvu waliyokutana nayo inayosemekana ilikuwa sawaswa kutumiwa.. SASA SI WAKATI WA KULAUMIANA sababu Chadema na pia TL amepambana sana kwa upende wake hata akitoka akikaa pembeni kwangu sitomdai maana anahistoria chungu sana juu ya siasa za Tanzagiza na kiukweli kawafungua wenye akili macho!!
Wewe ni mpuuzi, unayefaa kupuuzwa.Lissu asijaribu kupata uhuru wake wa kisiasa kwa kutumia damu ya Watanzania. Taratibu za kesi zinajulikana: akipatikana na hatia, apewe adhabu kulingana na sheria; na asipopatikana na hatia, aachiwe huru. Hata hivyo, asitumie damu ya Watanzania kununua uhuru wake.
Hatuna shida na Lisu, lakini asijaribu kununua uhuru wake kwa kutumia damu ya watanzania waliouawa tarehe 29 October.
[/QUwake?
Afie jela?
Wewe uliingia? Mambo huwa yanaenda kwa hatua, nadhani ni muda jamaa apumzike awe anatoa ushauri. Huenda wewe au mwingine umefika muda wako wa kwenda kufikisha hayo makwazo. Sio lazima hata uwe mwanasiasa, unaweza kufanya kwa namna yako. Andika hata vitabu, tengeneza content n.kHivi we una akili timamu? Amepambana kuliko waliofumuliwa vichwa october 29? Kuna sapoti kubwa kama ile ya october 29?, chadema haikushiriki maandamano lakini vijana waliingia mitaani kwa kupambania ajenda zilizopambaniwa na chadema, hivyo hata lissu ana deni, akitoka huko anatakiwa kuendeleza mapambano, watu wamemwagwa utumbo huku nje , yeye yuko jela lakini shavu dodo, TUNAWADAI
Lissu asijaribu kupata uhuru wake wa kisiasa kwa kutumia damu ya Watanzania. Taratibu za kesi zinajulikana: akipatikana na hatia, apewe adhabu kulingana na sheria; na asipopatikana na hatia, aachiwe huru. Hata hivyo, asitumie damu ya Watanzania kununua uhuru wake.
😎 Okay,unakiri watu walikufa? Je nani aliwauwa? Kwa idhini ya nani?Lissu asijaribu kupata uhuru wake wa kisiasa kwa kutumia damu ya Watanzania. Taratibu za kesi zinajulikana: akipatikana na hatia, apewe adhabu kulingana na sheria; na asipopatikana na hatia, aachiwe huru. Hata hivyo, asitumie damu ya Watanzania kununua uhuru wake.
NakaziaHii nchi bora upambanie tumbo lako tu. Watanzania hovyo kabisa, ni wakuachwa tu na taabu zetu zitunyooshe.
Hao Watanzania walio HURU wamefanyia nini hadi sasa kukabiliana na wauaji wa ndugu zetu??Iwapo jambo hili ni kweli, basi ni wazi kwamba CHADEMA imewasaliti Watanzania.
View attachment 3574549ma