Afcon kinanuka
JF-Expert Member
- Apr 5, 2026
- 842
- 2,266
Kwa hiyo wewe huamini kuwa polepole kauliwa na hili genge la CCM?Cha ajabu hivi unajua kabisa kwamba una kundi kubwa tu linaloamini porojo kama hizi
Kwa hiyo wewe huamini kuwa polepole kauliwa na hili genge la CCM?Cha ajabu hivi unajua kabisa kwamba una kundi kubwa tu linaloamini porojo kama hizi
Una uhakika haya ni maneno ya Lisu? Lakini hata Iran kaingia kwenye mazungumzo na viongozi wake wamuawawa, je amekubali kila anachoambiwa na US?Iwapo jambo hili ni kweli, basi ni wazi kwamba CHADEMA imewasaliti Watanzania.
View attachment 3574549ma
Iran viongozi wake wa juu wameuwawa na US, lakini kaingia kwenye mazungumzo. Je anapelekwa hovyo?Lissu anataka aachiwe ili aingie kwenye mazungumzo na serikali iliyoiba kura, imeua watu, wameteka kina Soka, Mdude, Polepole na wengineo . Kama atafanya hivyo utakuwa usaliti mkubwa.
CHADEMA walitoa taarifa rasmi kudhibitisha hilo.Una uhakika haya ni maneno ya Lisu? Lakini hata Iran kaingia kwenye mazungumzo na viongozi wake wamuawawa, je amekubali kila anachoambiwa na US?
Cdm walimsikia Lisu wao wenyewe au wameambiwa hayo?CHADEMA walitoa taarifa rasmi kudhibitisha hilo.
Iwapo kwa mta,amo wako chadema ni wasaliti je vipi utaiona ccm?Bila shaka itakuwa katika mwonekano wa shetani!Iwapo jambo hili ni kweli, basi ni wazi kwamba CHADEMA imewasaliti Watanzania.
View attachment 3574549ma
Hao CCM ni maiti inayotembea.Iwapo kwa mta,amo wako chadema ni wasaliti je vipi utaiona ccm?Bila shaka itakuwa katika mwonekano wa shetani!