Ritz
JF-Expert Member
- Jan 1, 2011
- 46,933
- 32,342
Wakati wa Uchaguzi Mkuu wa rais mimi sikuwepo Tanzania, kumbe nusu ya waliojiandikisha kupiga kura hawakujotokeza kupiga kura!
Sasa mbona mgombea wa CDM a loser Dr Slaa, anasema alishinda wakati mashabiki wake walikuwa vijiweni wakati Magamba wanakwenda kupiga kura
Sasa mbona mgombea wa CDM a loser Dr Slaa, anasema alishinda wakati mashabiki wake walikuwa vijiweni wakati Magamba wanakwenda kupiga kura