<br />Bebii, kojoa ulalewewe ndo hujui lolote kazi kukaa tu vijiweni na kupiga makelele? Kwanza uchaguzi wenyewe zaidi ya nusu hamkupiga kura mlikuwa mnategemea nini amkeni basi asubui siku moja mumpeleke huyo slaa wenu ikulu watanzania mnajua kuongea tuu
wewe unajua serikali kwa mdomomnamlaumu kwa maneno makubwa makubwa ya nini sasa wakati mtu mwenyewe ni mtoto a.k.a. Bebii. Badala ya kumshauri arudi kwa mamaake akamuondolee pampers mnamuambia eti cdm haiongozi serikali, kwani aliwaambia anajua hata hiyo serikali ni nini! Nyie sijui mkoje?
ni kujue wa nini for what? Never sitaki kukujua. Nijue mtu fake?
Karatu mbona mfuko wa Saruji wanauza 5000.Acha dharau wewe majimbo yaliyochukuliwa na cdm hayana kitu kinaitwa njaa, hospital ni nyingi kuliko idadi ya watu, shule usiseme na majimbo yao umeme ni full na mandhari ni kama ulaya ulaya vile si unajua mambo ya magadeni ya kumzikia na mazagazaga kibao ya kupendezesha miji? we chukulia mfano wa hai na karatu huwezi kukuta watu wana shida hata kidogo. !
Acha dharau wewe majimbo yaliyochukuliwa na cdm hayana kitu kinaitwa njaa, hospital ni nyingi kuliko idadi ya watu, shule usiseme na majimbo yao umeme ni full na mandhari ni kama ulaya ulaya vile si unajua mambo ya magadeni ya kumzikia na mazagazaga kibao ya kupendezesha miji? we chukulia mfano wa hai na karatu huwezi kukuta watu wana shida hata kidogo. !
Karatu mbona mfuko wa Saruji wanauza 5000.
Arusha Lema kajenga Machinga Compelex mbili
sikai vijiweni mimi kwanza wewe sio wa type yangu. Si urge na mafool<br />
<br />
mi nimeshakwambia ya kwamba we una mambo makubwa yanayokusumbua ila sitakuambia usije ukanielewa vibaya! Ila hilo kengeza ulilonalo inatosha kwa wanakuona wajuwe ubovu wako. pelekesha mbele nguruwe jike weee!
Ni mara nyingi huwa nasikia makelele kuhusu matatizo mengi yanayotukabili from hicho chama ila sijawai kuona wamefanya action yoyote kama ni shida watu wanaendelea kupata shida.
Hivi kuna mtu anaeweza kusema cdm imemsaidia nini yaani imemtoa sehemu flani kwenda sehemu flani? Tukubali watanzania kila mtu anaishi kwa akili na juhudi zake mwenyewe hamna cha chama kitukufu wala cha CHADEMA hapa, no one cares. Acheni makelele angalieni mbinu mbadala za kujikwamua kimaisha.
Na wewe unafanya nini huku?.......rudi kule MMU huku hawajui kwamba we bado mdogo
ooh hai kule kwa wamachame kuna rotuba toka zamani hawajui njaa kule iyo sio kazi ya chadema ni watu na juhudi zao.na umeme upo toka zamani maji yanatoka mlimani toka zamani sema lingineacha dharau wewe majimbo yaliyochukuliwa na cdm hayana kitu kinaitwa njaa, hospital ni nyingi kuliko idadi ya watu, shule usiseme na majimbo yao umeme ni full na mandhari ni kama ulaya ulaya vile si unajua mambo ya magadeni ya kumzikia na mazagazaga kibao ya kupendezesha miji? We chukulia mfano wa hai na karatu huwezi kukuta watu wana shida hata kidogo. !
so tume ilikunyima kupiga kura?unaweza kumkwamua mtu kutoka katika hali mbaya kwenda hali nzuri kwa tumia sera zako kama chama, na unaweza kuzitumia sera zako mpaka upewe dola, na unaweza kupewa dola mpaka upigiwe kura nyingi na wananchi, na kura nyingi za wananchi zitakufanya ushinde uchaguzi iwapo kutakuwa na tume huru ya uchaguzi, tume huru ya uchaguzi itapatikana iwapo tuu katiba mpya itaandikwa, katiba mpya itaandikwa iwapo tuu wananchi wengi wataonyesha kuihitaji, wananchi wengi watapewa fursa ya kuonyesha kama wanahitaji katiba mpya iwapo tuu utawala uliopo utataka, utawala usipotaka katiba mpya haitapatikana mpaka nguvu ya umma itumike, nguvu ya umma itafanikiwa iwapo tuu umma utataka na umma utatakaa iwapo tuu watu kama bebii wataamka kutoka usingizini
kuna mahali uliniona natafuta mpenzi?bebii yuko jf kutafuta mpenzi na amekiri mara nyingi mume wake lazima atoke huku jf sasa kule mmu wamemuona ni katoto hakajui mapenzi ameamua kukua kwa kuanza politics! Bebii " makalio at it best"
Ni mara nyingi huwa nasikia makelele kuhusu matatizo mengi yanayotukabili from hicho chama ila sijawai kuona wamefanya action yoyote kama ni shida watu wanaendelea kupata shida.
Hivi kuna mtu anaeweza kusema cdm imemsaidia nini yaani imemtoa sehemu flani kwenda sehemu flani? Tukubali watanzania kila mtu anaishi kwa akili na juhudi zake mwenyewe hamna cha chama kitukufu wala cha CHADEMA hapa, no one cares. Acheni makelele angalieni mbinu mbadala za kujikwamua kimaisha.
walivofichua hayo mambo wewe umesaidika vp?chama tawala ni chadema au ccm? Maana nashindwa kuelewa! Umuhimu wa vyama pinzani ni kuchalenge chama tawala, angalia kina zito kabwe na wenzie wamefichua maovu mangapi? tufikirie kwa kina endapo vyama vya upinzani visingekuwepo hii nchi nafikiri ingeuzwa.
<br /><br />i urge na mafool