CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

kiongozi hebu fanya summary kabla ya kuondoka kwenye chumba cha kutangazia!!!
matokeo ya mwisho
kumbushia wafungani
kama kuna kadi zilizotoka
na mengine muhimu ya ndani na nje ya uwanja!!!
Hahaaaaaa.......Haya bana....

Na mpira umekwishaa.....Mpira umekwisha ndugu wana JF.....

Tanzania bara, Kilimanjaro Stars wanaondoka na ushindi wa magoli mawili kwa bila dhidi ya Rwanda......Magoli ya Tanzania bara la kwanza limefungwa na Amri Kiemba dakika ya 34 baada ya kupata pasi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto aliyeiwachambua mabeki wa Rwanda kutoka kona ya kushoto na kutoa V pasi ambayo ilimkuta Amri Kiemba ambaye bila ajizi alimuangalia Jean Claude Ndoli amekaaje na kuujaza mpira wavuni, goli la pili limefungwa na John Bocco ambaye alitumia vizuri uzembe wa kipa Jean Claude Ndoli ambaye aliutema mpira(shuti kali) uliopigwa na mtaalamu Mwinyi Kazimoto.......

Kwa ujumla timu zote leo zimecheza vizuri na zilikuwa zikishambuliana kwa kupokezana na kwa maoni yangu Mwinyi Kazimoto ndiye MOTM kwa mchezo wa leo....

Pia pongezi ziwaendee makipa wote wawili Juma Kaseja wa Tanzania bara na Jean Claude Ndoli wa Rwanda ambao wameokoa michomo mingo iliyoelekea katika magoli yao......

Kwa matokeo haya Tanzania imesonga kwenda Nusu Fainali na wanasubiri mshindi kati ya Uganda na Ethiopia hiyo kesho ambaye ndiye watapambana naye katika mechi ya Nusu fainali......

Hongereni sana watanzania....

Kwa niaba ya mtangazaji/mchambuzi mwenzangu watu8 , msimamizi wa matangazo haya Eqlypz na Fundi mitambo Invisible nawarudisha moja kwa moja studio namba moja ya JF kuendelea na matangazo ya mechi kati ya Intamba Murugamba ya Burundi na Zanzibar Heroes......Kia la heri Zanzibar Heroes.....

Wakatabahu.....

Bala.
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaaaa.......Haya bana....

Na mpira umekwishaa.....Mpira umekwisha ndugu wana JF.....

Tanzania bara, Kilimanjaro Stars wanaondoka na ushindi wa magoli mawili kwa bila dhidi ya Rwanda......Magoli ya Tanzania bara la kwanza limefungwa na Amri Kiemba dakika ya 34 baada ya kupata pasi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto aliyeiwachambua mabeki wa Rwanda kutoka kona ya kushoto na kutoa V pasi ambayo ilimkuta Amri Kiemba ambaye bila ajizi alimuangalia Jean Claude Ndoli amekaaje na kuujaza mpira wavuni, goli la pili limefungwa na John Bocco ambaye alitumia vizuri uzembe wa kipa Jean Claude Ndoli ambaye aliutema mpira(shuti kali) uliopigwa na mtaalamu Mwinyi Kazimoto.......

Kwa ujumla timu zote leo zimecheza vizuri na zilikuwa zikishambuliana kwa kupokezana na kwa maoni yangu Mwinyi Kazimoto ndiye MOTM kwa mchezo wa leo....

Pia pongezi ziwaendee makipa wote wawili Juma Kaseja wa Tanzania bara na Jean Claude Ndoli wa Rwanda ambao wameokoa michomo mingo iliyoelekea katika magoli yao......

Kwa matokeo haya Tanzania imesonga kwenda Nusu Fainali na wanasubiri mshindi kati ya Uganda na Ethiopia hiyo kesho ambaye ndiye watapambana naye katika mechi ya Nusu fainali......

Hongereni sana watanzania....

Kwa niaba ya mtangazaji/mchambuzi mwenzangu watu8 , msimamizi wa matangazo haya Eqlypz na Fundi mitambo Invisible nawarudisha moja kwa moja studio namba moja ya JF kuendelea na matangazo ya mechi kati ya Intamba Murugamba ya Burundi na Zanzibar Heroes......Kia la heri Zanzibar Heroes.....

Wakatabahu.....

Bala.

Mkuu, dumisha huu utaratibu kila baada ya mechi tafadhali
 
mkuu @Balatanda umetisha mbaya heshima kwako lakini nina swali la kizuri yanga mlikuwa mnaibeza timu hii eti haina wachezaji wengi kutoka kwenu yanga wewe kama mtaalam wa soka la kibongo hasa hapa JF, je una maneno machache juu ya hilo
 
Safi sana kili star.Msivimbe kichwa na kaharibu mechi inayofuata.Ushindi huu ni furaha kwa watanzania wote .Kazi iliyombele ni kutinga fainali na kuwa champion wa CECAFA 2012.

Kila la kheri kili stars na Zanzibar heroes
 
mkuu @Balatanda umetisha mbaya heshima kwako lakini nina swali la kizuri yanga mlikuwa mnaibeza timu hii eti haina wachezaji wengi kutoka kwenu yanga wewe kama mtaalam wa soka la kibongo hasa hapa JF, je una maneno machache juu ya hilo
Ni wapuuzi tu ndo wataibeza timu kwa kuwa na wachezaji wengi kutoka Azam, Simba, Yanga et al........Hao ni mashabiki maandazi/Viazi/Vilaza......Timu ya Taifa ya Hispania huwa ina wachezaji wengi toka Barca ama Real na hakuna hata siku umekuta waspaniola wanaongea mabo hayo ya u Barca wala Real.......

Ninachoangalia mimi ni utaifa......Siangalii kikosi kina wachezaji wangapi wa Yanga, Simba, Azam wala CUSC......

Ni wakati wa watanzania kubadilika sasa....Hayo mambo ya Uyanga na Usimba ndio yametufikisha hapa tulipo....Hatuendelei kisoka.....

Namsifu sana kocha Kim Poulsen kwa kuwaita vijana kwenye kikosi hiki.....Aendelee nao hawahawa na ikiwezekana aongeze wengine......Tutafika mbali sana...

Btw.....Linapokuja suala la kuendeleza vipaji vya vijana, sidhani kama kuna timu Tanzania itawazidi watani wangu Simba(nawapongeza sana kwa hilo) . Angalia Jonas Mkude, Rama Singano, Edward Chrisopher, Shomari Kapombe na wengine wengi........Wanafuatia Azam, Yanga tumeanza sasa hivi baada ya kuona wenzetu wanafaidi matunda ya vijana wao....Timu yetu ya vijana imeshiriki Etihad Cup na jana imetolewa na Etihad FC katika Nusu fainali kwa kufungwa magoli 3-1

Ni kwa kuwaendeleza hawa vijana tu ndio tutakwenda Brazil mwaka 2014 na WC ya 2018..........Si vinginevyo
 
Hahaaaaaa.......Haya bana....

Na mpira umekwishaa.....Mpira umekwisha ndugu wana JF.....

Tanzania bara, Kilimanjaro Stars wanaondoka na ushindi wa magoli mawili kwa bila dhidi ya Rwanda......Magoli ya Tanzania bara la kwanza limefungwa na Amri Kiemba dakika ya 34 baada ya kupata pasi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto aliyeiwachambua mabeki wa Rwanda kutoka kona ya kushoto na kutoa V pasi ambayo ilimkuta Amri Kiemba ambaye bila ajizi alimuangalia Jean Claude Ndoli amekaaje na kuujaza mpira wavuni, goli la pili limefungwa na John Bocco ambaye alitumia vizuri uzembe wa kipa Jean Claude Ndoli ambaye aliutema mpira(shuti kali) uliopigwa na mtaalamu Mwinyi Kazimoto.......

Kwa ujumla timu zote leo zimecheza vizuri na zilikuwa zikishambuliana kwa kupokezana na kwa maoni yangu Mwinyi Kazimoto ndiye MOTM kwa mchezo wa leo....

Pia pongezi ziwaendee makipa wote wawili Juma Kaseja wa Tanzania bara na Jean Claude Ndoli wa Rwanda ambao wameokoa michomo mingo iliyoelekea katika magoli yao......

Kwa matokeo haya Tanzania imesonga kwenda Nusu Fainali na wanasubiri mshindi kati ya Uganda na Ethiopia hiyo kesho ambaye ndiye watapambana naye katika mechi ya Nusu fainali......

Hongereni sana watanzania....

Kwa niaba ya mtangazaji/mchambuzi mwenzangu watu8 , msimamizi wa matangazo haya Eqlypz na Fundi mitambo Invisible nawarudisha moja kwa moja studio namba moja ya JF kuendelea na matangazo ya mechi kati ya Intamba Murugamba ya Burundi na Zanzibar Heroes......Kia la heri Zanzibar Heroes.....

Wakatabahu.....

Bala.
Mkuu umetisha, kama Thomas Yule wa supersport.
 
Last edited by a moderator:
Hahaaaaaa.......Haya bana....

Na mpira umekwishaa.....Mpira umekwisha ndugu wana JF.....

Tanzania bara, Kilimanjaro Stars wanaondoka na ushindi wa magoli mawili kwa bila dhidi ya Rwanda......Magoli ya Tanzania bara la kwanza limefungwa na Amri Kiemba dakika ya 34 baada ya kupata pasi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto aliyeiwachambua mabeki wa Rwanda kutoka kona ya kushoto na kutoa V pasi ambayo ilimkuta Amri Kiemba ambaye bila ajizi alimuangalia Jean Claude Ndoli amekaaje na kuujaza mpira wavuni, goli la pili limefungwa na John Bocco ambaye alitumia vizuri uzembe wa kipa Jean Claude Ndoli ambaye aliutema mpira(shuti kali) uliopigwa na mtaalamu Mwinyi Kazimoto.......

Kwa ujumla timu zote leo zimecheza vizuri na zilikuwa zikishambuliana kwa kupokezana na kwa maoni yangu Mwinyi Kazimoto ndiye MOTM kwa mchezo wa leo....

Pia pongezi ziwaendee makipa wote wawili Juma Kaseja wa Tanzania bara na Jean Claude Ndoli wa Rwanda ambao wameokoa michomo mingo iliyoelekea katika magoli yao......

Kwa matokeo haya Tanzania imesonga kwenda Nusu Fainali na wanasubiri mshindi kati ya Uganda na Ethiopia hiyo kesho ambaye ndiye watapambana naye katika mechi ya Nusu fainali......

Hongereni sana watanzania....

Kwa niaba ya mtangazaji/mchambuzi mwenzangu watu8 , msimamizi wa matangazo haya Eqlypz na Fundi mitambo Invisible nawarudisha moja kwa moja studio namba moja ya JF kuendelea na matangazo ya mechi kati ya Intamba Murugamba ya Burundi na Zanzibar Heroes......Kia la heri Zanzibar Heroes.....

Wakatabahu.....

Bala.
mmebahatisha
 
Hahaaaaaa.......Haya bana....

Na mpira umekwishaa.....Mpira umekwisha ndugu wana JF.....

Tanzania bara, Kilimanjaro Stars wanaondoka na ushindi wa magoli mawili kwa bila dhidi ya Rwanda......Magoli ya Tanzania bara la kwanza limefungwa na Amri Kiemba dakika ya 34 baada ya kupata pasi kutoka kwa Mwinyi Kazimoto aliyeiwachambua mabeki wa Rwanda kutoka kona ya kushoto na kutoa V pasi ambayo ilimkuta Amri Kiemba ambaye bila ajizi alimuangalia Jean Claude Ndoli amekaaje na kuujaza mpira wavuni, goli la pili limefungwa na John Bocco ambaye alitumia vizuri uzembe wa kipa Jean Claude Ndoli ambaye aliutema mpira(shuti kali) uliopigwa na mtaalamu Mwinyi Kazimoto.......

Kwa ujumla timu zote leo zimecheza vizuri na zilikuwa zikishambuliana kwa kupokezana na kwa maoni yangu Mwinyi Kazimoto ndiye MOTM kwa mchezo wa leo....

Pia pongezi ziwaendee makipa wote wawili Juma Kaseja wa Tanzania bara na Jean Claude Ndoli wa Rwanda ambao wameokoa michomo mingo iliyoelekea katika magoli yao......

Kwa matokeo haya Tanzania imesonga kwenda Nusu Fainali na wanasubiri mshindi kati ya Uganda na Ethiopia hiyo kesho ambaye ndiye watapambana naye katika mechi ya Nusu fainali......

Hongereni sana watanzania....

Kwa niaba ya mtangazaji/mchambuzi mwenzangu watu8 , msimamizi wa matangazo haya Eqlypz na Fundi mitambo Invisible nawarudisha moja kwa moja studio namba moja ya JF kuendelea na matangazo ya mechi kati ya Intamba Murugamba ya Burundi na Zanzibar Heroes......Kia la heri Zanzibar Heroes.....

Wakatabahu.....

Bala.

Mkuu Bala,

Asante kwa taarifa hii. Wengi tumefarijika na timu yetu kusonga mbele. Hawa vijana wawili waliofunga magoli leo (Amri Kiemba na John Bocco) pamoja na mwenzao Ngassa ndio wachezaji pekee ninao waona wamefikia au wanakaribia viwango vya kimataifa. Nawashauri vijana hawa wasibweteke na kulewa sifa, wakishikiria uzi wanaweza kufika mbali!!!

Hongera Kilimanjaro Stars!!!!!

Tiba
 
Ni wapuuzi tu ndo wataibeza timu kwa kuwa na wachezaji wengi kutoka Azam, Simba, Yanga et al........Hao ni mashabiki maandazi/Viazi/Vilaza......Timu ya Taifa ya Hispania huwa ina wachezaji wengi toka Barca ama Real na hakuna hata siku umekuta waspaniola wanaongea mabo hayo ya u Barca wala Real.......

Ninachoangalia mimi ni utaifa......Siangalii kikosi kina wachezaji wangapi wa Yanga, Simba, Azam wala CUSC......

Ni wakati wa watanzania kubadilika sasa....Hayo mambo ya Uyanga na Usimba ndio yametufikisha hapa tulipo....Hatuendelei kisoka.....

Namsifu sana kocha Kim Poulsen kwa kuwaita vijana kwenye kikosi hiki.....Aendelee nao hawahawa na ikiwezekana aongeze wengine......Tutafika mbali sana...

Btw.....Linapokuja suala la kuendeleza vipaji vya vijana, sidhani kama kuna timu Tanzania itawazidi watani wangu Simba(nawapongeza sana kwa hilo) . Angalia Jonas Mkude, Rama Singano, Edward Chrisopher, Shomari Kapombe na wengine wengi........Wanafuatia Azam, Yanga tumeanza sasa hivi baada ya kuona wenzetu wanafaidi matunda ya vijana wao....Timu yetu ya vijana imeshiriki Etihad Cup na jana imetolewa na Etihad FC katika Nusu fainali kwa kufungwa magoli 3-1

Ni kwa kuwaendeleza hawa vijana tu ndio tutakwenda Brazil mwaka 2014 na WC ya 2018..........Si vinginevyo
Mkuu umejibu kwa busara kama makamu mwenyekiti wako Clement Sanga.
 
Zanzibar bado wana nafasi, wapi Ami, wapi Globu, wapi Dr Barubaru.
 
Nashukuru sana , sijui tunakutana na nani hatu inayofuata ?

Rejea ukurasa wa 40 wa uzi huu kwenye post yangu ya tarehe 2 December 2012 @ 1810 hrs utaona mwelekeo wa mechi za nusu fainali.

Kwa kifupi nusu fainali ni washindi wa QF1 v QF2 na QF3 v QF4.

Fainali ni washindi wa SF1 v SF2.

Nafasi ya 3 ni washindwa wa SF1 v SF2.
 
Ni wapuuzi tu ndo wataibeza timu kwa kuwa na wachezaji wengi kutoka Azam, Simba, Yanga et al........Hao ni mashabiki maandazi/Viazi/Vilaza......Timu ya Taifa ya Hispania huwa ina wachezaji wengi toka Barca ama Real na hakuna hata siku umekuta waspaniola wanaongea mabo hayo ya u Barca wala Real.......

Ninachoangalia mimi ni utaifa......Siangalii kikosi kina wachezaji wangapi wa Yanga, Simba, Azam wala CUSC......

Ni wakati wa watanzania kubadilika sasa....Hayo mambo ya Uyanga na Usimba ndio yametufikisha hapa tulipo....Hatuendelei kisoka.....

Namsifu sana kocha Kim Poulsen kwa kuwaita vijana kwenye kikosi hiki.....Aendelee nao hawahawa na ikiwezekana aongeze wengine......Tutafika mbali sana...

Btw.....Linapokuja suala la kuendeleza vipaji vya vijana, sidhani kama kuna timu Tanzania itawazidi watani wangu Simba(nawapongeza sana kwa hilo) . Angalia Jonas Mkude, Rama Singano, Edward Chrisopher, Shomari Kapombe na wengine wengi........Wanafuatia Azam, Yanga tumeanza sasa hivi baada ya kuona wenzetu wanafaidi matunda ya vijana wao....Timu yetu ya vijana imeshiriki Etihad Cup na jana imetolewa na Etihad FC katika Nusu fainali kwa kufungwa magoli 3-1

Ni kwa kuwaendeleza hawa vijana tu ndio tutakwenda Brazil mwaka 2014 na WC ya 2018..........Si vinginevyo

Asante balatanda kwa mawazo yako juu ya soka la bongo .Ni kweli vijana wakiendelezwa tutanaweza kwenda WC
 
Back
Top Bottom