CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Fisto Abdul amekosa penati upande wa Burundi....Zanzibar wameshinda penati yao.....Goooooooaaaal...Nusu fainali ya kwanza ni Kilimanjaro Stars vs Uganda or Ethiopia.
 
Fisto Abdul amekosa penati upande wa Burundi....Zanzibar wameshinda penati yao.....Goooooooaaaal...Nusu fainali ya kwanza ni Kilimanjaro Stars vs Zanzibar Heroes..

Wewe Tanganyika Vs Kenya or Malawi
Zanzibar Vs Uganda or Ethiopia
 
Fisto Abdul amekosa penati upande wa Burundi....Zanzibar wameshinda penati yao.....Goooooooaaaal...Nusu fainali ya kwanza ni Kilimanjaro Stars vs Zanzibar Heroes..

Hao wanakutana fainali.
 
mfupa uliotushinda bara kinahamii wameutafuta kudos guys all in all i bet to kill for this trophy kama unabisha andamana..
 
mi naona hapa sasa ndio sehemu nzuri ya kuchukulia wachezaji wa timu ya taifa stars katika hili maana utajua nani mkali na nani anazingua..
 
Mkuu,si kwamba Tanganyika atacheza na mshindi wa kesho kati ya Uganda na Ethiopia?

Ndio tanganyika na zenji wote wanacheza na washindi wa kesho katika nusu fainali. Wote watashinda na watakutana fainali.
 
kwa kweli siku hio wazenji watacheza kama jihadi. maana wanavyokua na hasira na wabongo we acha tu. nazani itakua game kali
 
Wewe Tanganyika Vs Kenya or Malawi
Zanzibar Vs Uganda or Ethiopia

Mkuu Pukudu asante kwa kunishtua niliteleza kidogo kwenye uandishi mpangilio sahihi uko hapo chini kwani hata wako una walakini kidogo(vice versa is true).

Semi-finals 6/12/12:
SF1 - Winner of Match 1 v Winner of Match 2 (1300);
SF2 - Winner of Match 3 v Winner of Match 4 (1600)

Quarter-finals
3/12/12:
Match 1 - Rwanda v Tanzania (1300);
4/12/12
Match 2 - Uganda v Ethiopia (1600)

3/12/12:
Match 3 - Burundi v Zanzibar;
4/12/12
Match 4 - Kenya v Malawi (1300)
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom