ndetichia
JF-Expert Member
- Mar 18, 2011
- 27,769
- 6,585
Hata kama, 2-1 mpira umekwisha............Tunawatakia mpakato mwema Rwanda
mbona bala kasema refa kakataa mkuu vipi tena..
Hata kama, 2-1 mpira umekwisha............Tunawatakia mpakato mwema Rwanda
acha bwana!!usiniambie kumbe hata yanga wote simba damu!!!kwani damu yake rangi gani..jamani ndiyo nimeingia mtandaoni magoli ya starz nani kafunga?
acha bwana!!usiniambie kumbe hata yanga wote simba!!!kwani damu yake rangi gani..jamani ndiyo nimeingia mtandaoni magoli ya starz nani kafunga?
Dakika ya 85
Rwanda 0-2 Tanzania
mmmh!! hivi wale nao wana update za mpira mi nikajua huko ni mahusiano tu!!yupo FB ndio anafuatilia huko mpira...
acha bwana!!usiniambie kumbe hata yanga wote simba damu!!!
kiongozi hebu fanya summary kabla ya kuondoka kwenye chumba cha kutangazia!!!Free kick kuelekea lango la Tanzania.......Goal kick
kumbe hujui..naomba wafungaji
kumbe hujui..naomba wafungaji
kwani damu yake rangi gani..jamani ndiyo nimeingia mtandaoni magoli ya starz nani kafunga?
bocco goli la pilikumbe hujui..naomba wafungaji
Goli la kwanza limefungwa na Amri Kiemba dakika ya 34.....La pili limefungwa na John Bocco dakika ya 54safi sana starz naomba kujua wafungaji..
Full Time
Rwanda 0-2 Tanzania