Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
kiemba goli la kwanzakumbe hujui..naomba wafungaji
kiemba goli la kwanzakumbe hujui..naomba wafungaji
Game over sisi 2 wao 0.wakora,wabhejasana,ahsante,erokamano ahinya,bhiriyeke,wakusarura,kurimaniya,Thenki yu!!!!!!!!
Me naiamin kil stars itashinda leo.
Dogo Mphamvu leo ''kavishwa kanga'' wapi? mbona leo hakuwa mitamboni?Full Time
Rwanda 0-2 Tanzania
Usiseme kwa sauti, Bin Kleb ataanza kumuwinda, maana yeye anatamani amsajili kila mchezaji mzuri wa Simba!...Kazi nzuri sana Mwinyi Kazimoto, Kwangu mimi huyu ndiye MOTM leo
Goli la kwanza limefungwa na Amri Kiemba dakika ya 34.....La pili limefungwa na John Bocco dakika ya 54
Magoli yote yamepikwa na Mwinyi Kazimoto
Full Time
Rwanda 0-2 Tanzania
Usiseme kwa sauti, Bin Kleb ataanza kumuwinda, maana yeye anatamani amsajili kila mchezaji mzuri wa Simba!
Nashukuru sana , sijui tunakutana na nani hatu inayofuata ?
Wakuu wote shukrani sana nimejiona kama naangalia mpira kideoni kumbe ni updates za JF...pamoja sana
Balantanda, Zamaulid, WABHEJASANA, ndetichia, Ambitious, Liverpool FC, Crashwise, Makoye Matale, Chimuguru na wengineo
anafikiri game hii ni ya makundi.