Zamaulid
JF-Expert Member
- May 25, 2009
- 19,955
- 16,006
Mungu endelea kubariki Tanganyika!John Cocco huyo!!!!!!!
Mungu endelea kubariki Tanganyika!John Cocco huyo!!!!!!!
we huwa hudanganyi.....piga hao Rwanda hureeeee!!!
Wimbo gani wa kushangilia unafaa leo?
2 Desemba 2012, leo ni mapumziko.
Naona watu inbox wanaulizia ratiba...
Ratiba ya Robo fainali
3/12/2012
Tanganyika vs Rwanda
Burundi vs Zanzibar
4/12/2012
Kenya vs Malawi
Uganda vs Ethiopia
Kwa hisani ya Mnyakatari
Ha..ha..ha J.B Adebayor anatuinua tena pale...Kilimanjaro Stars 2-0 Rwanda.
mkuu watu8 tunaweza kuifuta hii kauli au bado mapema mno kuamua hivyo!!!Hahaha mkuu naona bado huamini, Kili hachezi mpira mzuri hata kidogo...na narudia tena kukutabiria Robo fainali tunayaaga haya mashindano amini usiamini.
Dakika ya 60
Rwanda 0-2 Tanzania
Safi sana Bocco.......Kazi nzuri sana Mwinyi Kazimoto, Kwangu mimi huyu ndiye MOTM leo
makoye tolu huwa anaweza akifuatiwa na mie na bala huwa hatudanganyi..
mkuu naomba analysis za kipindi cha kwanza na je chuji kawekwa maana ana nguvu sana... gemu ikoje maana siiangalii..
Wimbo wa Taifa...
Mkuu angalia ukamataji wako usije ukadhoofisha sperm duct.
hivi hatuwezi kupata copy ya huo wimbo kwa mchungaji mt.ikila!Tanganyika, oops Tanzania-bara hatuna.
Tanganyika, oops Tanzania-bara hatuna.
hahaha nawaaminia kaka...