CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Asante sana wakuu kutuhabarisha. Sisi huku kijijini hakuna cha umeme wala nini...tunasubiri mtueleze hizo chenga za Ngasa na Boko, vinginevyo...tuko gizani!!! Karibuni maembe huku!
 
kweli kabisa mkuu kwa Mungu hata mimi mwenyewe huwa piliton na kumuachia yeye aamue!!!hata hawa tumewashika kwa nguvu ya huyo aletaye jua na majira ya mwaka!!!

Ni kweli sana mkuu ndio maana hata wao wachezaji kabla ya mpira kuanza unaona musilamu anainua mikono juu na kuanza kuswali,lakini wale wakristu wanaweka mikono kifuani au machoni na kuanza kusali.
 
Asante sana wakuu kutuhabarisha. Sisi huku kijijini hakuna cha umeme wala nini...tunasubiri mtueleze hizo chenga za Ngasa na Boko, vinginevyo...tuko gizani!!! Karibuni maembe huku!

unajua nini mkuu minyoomizima kamchezea vibaya ngasa lakini refa kapeta hicho ni kipindi cha kwanza mpaka ssa tunaongoza...
 
Rwanda wanashambulia sasa.......Niyonzimaaaa......Nhiyimana na Mugiraneza wanajichanganya.....Goal kick
 
Mkuu hiyo pitch ni nzuri sana kuliko hata ya Nelson Mandela (Namboole) na Nakivubo
Vilabu vyetu shida yake vinataka hela pitch kama ile kweli Simba au Yanga wanashindwa kuitengeneza na kuzungushia hata mabati ili mechi ambazo hazina mvuto wachezee huko kuliko kila mechi inachezwa taifa na kuwafaidisha wachina na TFF.
 
Stars wanafanya mabadiliko....

John Bocco anatoka, anaingia Shaaban Nditi

Rwanda wanapata goli...Bilori

Refa anakataa
 
niambie kiongozi kaseja kavaa jezi rangi gani leo,nina uhakika kwa ndani hajavaa kitu hivyo usiniambie kuwa kwa ndani anayo nyekundu!!!

kwani damu yake rangi gani..jamani ndiyo nimeingia mtandaoni magoli ya starz nani kafunga?
 
Back
Top Bottom