CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Jamani nani ana matokeo ya serengeti boys na congo??
 
1 Desemba 2012, kutoka viwanja vya Lugogogogo na Wankunkulu;

Kundi B

1400 EAT: Tanganyika vs Somalia (Lugogo Stadium)

1400 EAT: Sudan vs Burundi (Wankunkulu)

Kundi C

1600 EAT: Malawi vs Zanzibar (Lugogo)

1600 EAT: Eritrea vs Rwanda (Wankunkulu)

malawi 2 - 0 zanzibar ila kaingia robo fainali kwa tiketi ya asiyefanya vibaya yaani best looser..
 
aiss!unataka kusema kuwa tuna timu nzuri au tulikutana na timu mbovu!


Hahaha mkuu naona bado huamini, Kili hachezi mpira mzuri hata kidogo...na narudia tena kukutabiria Robo fainali tunayaaga haya mashindano amini usiamini.
 
Hahaha mkuu naona bado huamini, Kili hachezi mpira mzuri hata kidogo...na narudia tena kukutabiria Robo fainali tunayaaga haya mashindano amini usiamini.
nakemea kwa jina la Yesu na kunena kwa lugha!!!!tutasonga kiongozi wangu!!
 
Back
Top Bottom