yeeeeeeeh!
Hicho dk ya 34!
go Tanganyika go!!Dakika ya 33 Kilimanjaro 1 Rwanda 0,Amri Kiemba
tatizo letu huwa katika kulinda gali letu!Dakika ya 35, Starz inaongoza kwa goli 1. Kona kuelekea Rwanda
Huku kwetu mvua inanyesha, nimeshindwa kufatilia kupitia runinga na karedio kangu (kapital fm uganda) ,mzee wa machimbo usitoke
tatizo letu huwa katika kulinda gali letu!
inshaalah kiongozi wangu dua zako na ziwe kweli!!na mimi naisaidia beki kuwakamatia pum.b!inasaidia wasifungwe!!Ni kweli kabisa i gree with u,lakini namini kwamba kam ni yetu ni yetu tu mkuu,kama ilivyokuwa siku ile kwa wazenji.
Dah!!!!!!!!! mkuu huo ni uoga au nini,yani mpake tumepata bao ndio umejitokeza,haya mwanawane karibu humu ndani tuendelee kuwajuza na wengine ambao hawako kenye TV na wala hawako kwenye redio,si unaju humu Jamvini ni kila kitu.
Dakika ya 33 Kilimanjaro 1 Rwanda 0,Amri Kiemba
sasa naona kale kamoyo ka uoga kametulia uhuuuuu!!!
Hapana leo Niyonzima anatokea kushoto lakini anakuwa nyuma ya mtu mwingine,lakini hata hivyo hajaleta madhara kwa sababu huku kulia kuna janaume moja linaitwa Kapombe!!!!
Half time mkuu sisi moja wao bila,lakini refa wa kwao.
saidia beki kaka waminyie pum.b!huwa inasaidia wasifungwe!!hasa kwenye mipira ya kona!!sasa naona kale kamoyo ka uoga kametulia uhuuuuu!!!
hapo kwenye refa hapo sasa ndo imani inaponitoweka!!Half time mkuu sisi moja wao bila,lakini refa wa kwao.
Mkuu angalia ukamataji wako usije ukadhoofisha sperm duct.inshaalah kiongozi wangu dua zako na ziwe kweli!!na mimi naisaidia beki kuwakamatia pum.b!inasaidia wasifungwe!!
Sawa mkuu tuko pamoja upepo wa matangazo unamaanisha unasikilizia kwenye redio au?!