CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Mkuu angalia ukamataji wako usije ukadhoofisha sperm duct.
Masuke,hiyo nitaifanyia rehabilitation baada ya mpira!!halafu si unajua kuna physiotherapy center nyingi tu dar!!
 
Last edited by a moderator:
Kwa kweli Refa amechemka vibaya sana.....Haruna Niyonzima alipaswa kulambwa Straight Red card............
 
So far tunaongoza jahazi,ngoja tuone itakuwaje second half.
 
Kwa kweli Refa amechemka vibaya sana.....Haruna Niyonzima alipaswa kulambwa Straight Red card............

Kweli mkuu amefanya malipizi on the spot,na mkono akainua kabisa akim-strike Ngassa...alistahili straight red card.
 
Ngasa sasa anaanza kutafuta matatizo,hayo mambo ya kuanza kuwashika wenake makalio refa akimuona imekula kwake!!!kipindi cha pili kimeanza dakika ya 52.
 
saidia beki kaka waminyie pum.b!huwa inasaidia wasifungwe!!hasa kwenye mipira ya kona!!

mimi nimepishanisha vidole, halafu nimemeza kajiwe kadogo...hakuna kufungwa
 
Ha..ha..ha J.B Adebayor anatuinua tena pale...Kilimanjaro Stars 2-0 Rwanda.
 
Back
Top Bottom