CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Ahsanteni wakuu kwa kuwa pamoja kwa dakika 90 za mchezo huu tutakutana keshokutwa tena humu ndani Mphamvu kazi nzuri kwa kutuunganisha usisahau mechi inayofuata,ila kama utakuwa mgonjwa utuambie mapema.

Usijali WABHEJASANA!
Mimi na wewe dugu moja, CHAKO CHANGU, CHANGU CHANGU. Mke wako mke wangu, mke wangu shemejiyo.
Nikianguka uniinue, ukianguka nikuangukie...
 
Last edited by a moderator:
Michuano imeanza leo tarehe 24 Novemba huko Uganda.
Stay tuned kujua kinachojiri huko...

399307_255296467929979_797552152_n.jpg



KILIMANJARO STARS 3-0 Sudan
Kilimanjaro Stars imeyaanza kwa kishindo mashindano ya CECAFA Senior Challenge baada ya kuwachapa Mamba wa Nile, Sudan kwa mabao mawili kwa bila. Alikuwa ni mshambuliaji John Bocco Adebayor aliefunga mabao yote mawili baada ya kazi nzuri ya Mrisho Ngassa. Kwa matokeo hayo Stars sasa inashikilia nafasi kwenye kundi B huku Burundi ikiongoza baada ya kuichapa Somalia 5-1 katika mchezo wa kwanza.
 
Shimo la panya halizibwi kwa kipisi cha mkate bro.
Kama unataka paring na mimi funguka...

Huwa sibishani mara mbili........niambie upo pande gani nikuzukie nikupe discpline za uhakika...Kwa taarifa tu aga ukoo wako wote............kwa kuanzia Tanga!
 
Hongereni Watanganyika. Bala, Watu8, Babu V, etc. shukrani kwa kutuhabarisha! Sasa weekend inaishia kwa akina Vettel & Alonso; and City & Chelsea.

we Cynic naitwa Baba V ,sio babu v bana
 
Last edited by a moderator:
Shimo la panya halizibwi kwa kipisi cha mkate bro.
Kama unataka paring na mimi funguka...

huree!! Wewe msomali mtata wewe, mie ntakuwa nakusanya viingilio, platozoom funguka basi nipate dili uzeeni huku
 
Last edited by a moderator:
CECAFA ingewapiga marufuku hawa Burundi kushiriki haya mashindano, maana kila mwaka wamekuwa ni kama punching bag ya timu nyingine.

Halafu ilikuwa bila Kavumbagu hiyo, sijui angetupia ngapi leo?
 
Huwa sibishani mara mbili........niambie upo pande gani nikuzukie nikupe discpline za uhakika...Kwa taarifa tu aga ukoo wako wote............kwa kuanzia Tanga!

Nikienda Tanga kuaga najua utalalamika nimekuchezea faulo...
Kama vipi vipi kivipi!
 
CECAFA ingewapiga marufuku hawa Burundi kushiriki haya mashindano, maana kila mwaka wamekuwa ni kama punching bag ya timu nyingine.

Hapa sio ulikua unataka kuandika Somalia???
 
Huwa sibishani mara mbili........niambie upo pande gani nikuzukie nikupe discpline za uhakika...Kwa taarifa tu aga ukoo wako wote............kwa kuanzia Tanga!
ha ha ha ha ha!!huu mkwara mbuzi jamaa akizuka hautatimua mbio kweli!!!!
 
Back
Top Bottom