Balantanda
JF-Expert Member
- Jul 13, 2008
- 12,484
- 4,821
Hapana, alianza kwa papara......huyu dogo ni pimbi bora atolewe tu..
Sasa hivi kanza kutulia......Kaanza kucheza vizuri
Hapana, alianza kwa papara......huyu dogo ni pimbi bora atolewe tu..
huyu dogo ni pimbi bora atolewe tu..
Hawa watangazaji waSuper Sport wachemfu......Wanasema Kapombe na Kaseja wapo Yanga.....
hahaha, mkuu acha hasira bado hajakosea sana bado anakaba vizuri ingawa kushambulia yupo taratibu...
Naona mashabiki wa kibongo wanawakilisha vema......
Wengi itakuwa ni wanafunzi waliopo Uganda
Hapana, alianza kwa papara......
Sasa hivi kanza kutulia......Kaanza kucheza vizuri
kuna jamaa wengine kama 80 wanatoka Bukoba, walienda huko jana...
dogo boya sana toka kitambo sana ila magazeti ndio yanampaisha tu..
kaka combinenga la bocogoal na ngasa ni hatari...
Safi sana Kaseja
Tunaweza kuona GAME Online???
Hapana mkuu, dogo anacheza vizuri na anujua mpira hasa.....dogo boya sana toka kitambo sana ila magazeti ndio yanampaisha tu..
Tunaweza kuona GAME Online???
Sisi Wa Nje KUNA link ya KUONA GAME???