CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

CECAFA Senior Challenge: Kutoka Uganda

Kiemba naona anakimbiakimbia tu uwanjani.......Bora angeingia Edward Christopher tu

Mi nilikwambia sub ya Kiemba haikuwa na maana yoyote nafasi ya chuji hapa imeonekana ipo sijajua ni kwa nini kocha hajaliona hili,sijui hayo mashambulizi yamemchanganya????!!!
 
Mpira umeongezwa dk 3.....Bado Kilimanjaro anaongoza 2 - 0
 
Mi nilikwambia sub ya Kiemba haikuwa na maana yoyote nafasi ya chuji hapa imeonekana ipo sijajua ni kwa nini kocha hajaliona hili,sijui hayo mashambulizi yamemchanganya????!!!

Chuji atacheza siku tunawachapa Somalia goli 8...
 
Mpira umeishaaa
Kilimanjaro Stars 2
Sudan Khartoum 0
 
Lakini alikuwa kwenye nafasi nzuri pia ni bahati mbaya tu.

mkuu upande wake wa kulia kulikua na raia wawili ambao hawakua na opponents, kashafunga goal mbili hakuwa na sababu ya kuwa mchoyo.
 
Mpira umeishaaa
Kilimanjaro Stars 2
Sudan Khartoum 0

Ahsanteni wakuu kwa kuwa pamoja kwa dakika 90 za mchezo huu tutakutana keshokutwa tena humu ndani Mphamvu kazi nzuri kwa kutuunganisha usisahau mechi inayofuata,ila kama utakuwa mgonjwa utuambie mapema.
 
Baada ya kusumbua sana macho huko Nambole, ngoja tusafishe macho hapo Darajani
 
Ahsanteni wakuu kwa kuwa pamoja kwa dakika 90 za mchezo huu tutakutana keshokutwa tena humu ndani Mphamvu kazi nzuri kwa kutuunganisha usisahau mechi inayofuata,ila kama utakuwa mgonjwa utuambie mapema.

pamoja sana mkuu...
 
Hongereni Watanganyika. Bala, Watu8, Babu V, etc. shukrani kwa kutuhabarisha! Sasa weekend inaishia kwa akina Vettel & Alonso; and City & Chelsea.
 
Hongereni Watanganyika. Bala, Watu8, Babu V, etc. shukrani kwa kutuhabarisha! Sasa weekend inaishia kwa akina Vettel & Alonso; and City & Chelsea.

pamoja mkuu, huyo Vettel ni mwiba sana kwa timu Ferrari, natamani sana Alonso achukie championship ila sijui kama itawezekana...
 
Back
Top Bottom