Haya bwana nimekusamehe lakini ungefuatilia vizuri post ungeona jinsi ilivyoanza na ile ilikuwa ni response kwa mkuu Balatanda baada ya kucompare timu ya mwaka jana na ya mwaka huu na alisema ya mwaka jana ilikuwa biased, kwa hiyo usirudie tena kuniita janga la Taifa sitakuripoti kwa invisible badala yake nitakupeleka kwa Ng'wanangwa wa ukoo wenu.Mkuu mimi sikutaki radhi hata kidogo wewe unaleta ushabiki wako humu wakati sisi tunajaribu kuangalia utaifa,we mwambie tu Bwana hata usinitishie nyau!